Sugu amvaa Nchimbi

Sugu amvaa Nchimbi

Tatizo hapa Tanzania mahakama ni chombo cha mwisho kudai haki, hapa sio kwamba sijaelewa lugha sasa sioni haja ya kufungua kamusi wakati hamna msamiati hapo ,inawezekana bado hujaelimika.

Aisee consult books tena kwa umakini, usiwe na haraka sana.
 
mbona sasa akina Kusaga wanang'ang'ania kilichotolewa kwa ajiri ya Umma kwa kujimilikisha kama chao??, Sugu yuko sahihi haiwezekani mali umma ikatumiwa ndovyo sivyo, nina wasiwasi na wanaotetea upuuzi unaofanywa na akina Kusaga kwa kutaka kujinufaisha wao tu huku wasanii wanaochipukia kukosa mwelekeo..

Two wrongs do not make a right, we don't want the government to be a nanny state, we don't want either Sugu or Kusaga to freeload.

Kuna culture inaota mizizi Tanzania kila kitu "serikali this, serikali that". Sekta kama ya entertainment serikali inaweza overall strategy tu kama sheria and such framework level protection, other than that watu wajifanyie mambo wenyewe.

Sugu ana risk kuonekana analialia sasa. Nimefurahi kuona ana organize Vinega wanafanya benefit concert Mbeya. Nategemea kuona ukomavu kama huu unaendelea wasanii wanaanzisha studios zao na redio zao.

Nchimbi ni bogus, si ndiye huyu anayetaka totalitalian decrees za kulazimisha national dress?
 
Mkuu alipokuwa anaongea hayo bungeni sikuweza msikiliza live ila nilipata ile nakala aliyoiweka DM, sasa ingekuwa vizuri kujua majibu ya serikali.
Sisi atutaki akae kimya mbona ameongea bungeni hakijabadilika kitu sasa facebook ndio nini kitabadilika, suala ni kutafuta suluhisho sio kutoa taarifa ya tatizo kila mtu anaona hali ya wasanii wetu.
Ndio maana nikasema kwanini asiende mahakamani?

Kwenda mahakamani huo ni mtazamo wako.

Yeye ameamua kutumia njia nyingine ya kuwaeleza wadau wa muziki na taifa kwa ujumla kwamba kuna kitu hakiko sawa. Sasa ni juu yetu wananchi kuona ni kwa namna gani tunaweza kusaidiana nae kulimaliza hili tatizo.

Si kila mara unaweza kuiambia kitu serikali ikatekeleza wakati huo huo. Hata EPA ilipotajwa kwa mara ya kwanza serikali iliziba masikio, lakini watu walivyoendelea kukomaa, hatimaye ilisikia.

Na hapa nikukumbushe kuwa watuhumiwa wamekuwa wakimuandalia sherehe ya "birthday" mwenye serikali, kwahiyo unaweza kuona ugumu wa serikali kuchukua hatua kwa haraka, inabidi kelele ziendelee kupigwa hadi isikie, bila kujali ni redioni, JF, Facebook ama twitter!!
 
wana ccm mkubali ukweli, asilimia 99 ni mafisadi, badilikeni, iko siku mtahukumiwa, kumbukeni jinai haipitwi na wakati
 
Kumbe hujaelewa Facebook au Twitter hakuna anayekatwazwa kutumia na tuna encourage matumizi yake ila ujumbe uliowekwa pale unawafika watazania wachache.

Hivyo basi ikulu walitumia media nyingine za habari kama redio,tv, n.k, hili ujumbe ufike kwa watanzania wote, suala ni kwamba facebook na twitter inatumiwa na watu wachache sana na wanaotumia pia wengi sio friends au followers wa Sugu


Labda useme wewe si friend ama follower wa Sugu. Halafu issue sio kuwa na friends ama follower wengi, issue ni aina ya hao friends and followers.
Watoto wamejazana huko fb, unakuta mtu ana friends zaidi ya 5000 lakini wanachofanya ni kusifiana tu jinsi walivyopendeza!!

Sasa assuming kwamba Sugu ana friends wachache, lakini walio makini, ndio maana ujumbe ameweka facebook na hadi JF umefika, nadhani unaona tofauti hapo.

Pia ningekushauri usisikilize clouds na kuangalia tbc pekee, jitahidi kubadili station usikilize na times fm japo mara moja moja utamsikia tu Sugu kwa kina.
 
Kwenda mahakamani huo ni mtazamo wako.

Yeye ameamua kutumia njia nyingine ya kuwaeleza wadau wa muziki na taifa kwa ujumla kwamba kuna kitu hakiko sawa. Sasa ni juu yetu wananchi kuona ni kwa namna gani tunaweza kusaidiana nae kulimaliza hili tatizo.

Si kila mara unaweza kuiambia kitu serikali ikatekeleza wakati huo huo. Hata EPA ilipotajwa kwa mara ya kwanza serikali iliziba masikio, lakini watu walivyoendelea kukomaa, hatimaye ilisikia.

Na hapa nikukumbushe kuwa watuhumiwa wamekuwa wakimuandalia sherehe ya "birthday" mwenye serikali, kwahiyo unaweza kuona ugumu wa serikali kuchukua hatua kwa haraka, inabidi kelele ziendelee kupigwa hadi isikie, bila kujali ni redioni, JF, Facebook ama twitter!!

Sijakataa kuhusu huo mtazamo wa kelele maana toka tumeanza kupiga kelele za radar,EPA,Richmond bado hao watuhumiwa hawajachukuliwa hatua yeyote sasa sijui kama ni njia nzuri.

Na hilo la kututaarifu wadau wa muziki na taifa linajua hilo,ndio maana tunataka njia ya kutatua tatizo maana tayari linajulikana.
 
Two wrongs do not make a right, we don't want the government to be a nanny state, we don't want either Sugu or Kusaga to freeload.

Kuna culture inaota mizizi Tanzania kila kitu "serikali this, serikali that". Sekta kama ya entertainment serikali inaweza overall strategy tu kama sheria and such framework level protection, other than that watu wajifanyie mambo wenyewe.

Sugu ana risk kuonekana analialia sasa. Nimefurahi kuona ana organize Vinega wanafanya benefit concert Mbeya. Nategemea kuona ukomavu kama huu unaendelea wasanii wanaanzisha studios zao na redio zao.

Nchimbi ni bogus, si ndiye huyu anayetaka totalitalian decrees za kulazimisha national dress?

Mkuu, hilo suala ni serikali yenyewe inapenda liwe hivyo! Sasa uwa humsikii Kikwete akitoa ahadi za kipuuzi kwa wasanii na makundi mbalimbali ya kijamii?!? Jambo hilo ndio linapelekea kwa hiyo culture kuota mizizi. Kwani ilikua lazima kwa Kikwete kusema atawajengea studio wasanii?!? Serikali hii kwa vile inapenda kucheza na jukwaa sana, culture unayoizungumzia mkuu kamwe haitoweza kwisha!!
 
Bado sijaona HOJA ya kueleweka kwa wanaompinga Sugu akiwa kama Waziri kivuli wa michezo sanaa na burudani...hapo alichokuwa analalamika kwenye ukurasa wake wa facebook ni atua ya Nchimbi kuwapa kina Kusaga jukumu la kutuandalia VAZI LA TAIFA wakati kuna watu waliobobea kwenye iyo nyanja wameachwa kama kina Mwanamboka,Ally,Asia nk ambao wangetoa ushauri mzuri tu..

Umeona wapi vazi la taifa watu wakakaa chini na kuwapangia raia?...tena kina Kusaga!!!ujanja ujanja kibao.hapa zinatafunwa pesa tu na ufisadi tu.
 
Two wrongs do not make a right, we don't want the government to be a nanny state, we don't want either Sugu or Kusaga to freeload.

Kuna culture inaota mizizi Tanzania kila kitu "serikali this, serikali that". Sekta kama ya entertainment serikali inaweza overall strategy tu kama sheria and such framework level protection, other than that watu wajifanyie mambo wenyewe.

Sugu ana risk kuonekana analialia sasa. Nimefurahi kuona ana organize Vinega wanafanya benefit concert Mbeya. Nategemea kuona ukomavu kama huu unaendelea wasanii wanaanzisha studios zao na redio zao.

Nchimbi ni bogus, si ndiye huyu anayetaka totalitalian decrees za kulazimisha national dress?

Nchimbi kawateua kina Kusaga watuandalie vazi la taifa..Sugu kwa nafasi yake kama waziri kivuli akichallenge kuna makosa?
 
Nchimbi kawateua kina Kusaga watuandalie vazi la taifa..Sugu kwa nafasi yake kama waziri kivuli akichallenge kuna makosa?

Wazo zima la kwamba vazi la taifa linaweza kuundiwa kamati linachekesha. Huwezi kupata utamaduni kwa kutumia nguvu ya dola.

Vazi la taifa linatoka kwa watu, halitoki kwa wanasiasa, ama sivyo watatuletea propaganda tu.
 
Mkuu, hilo suala ni serikali yenyewe inapenda liwe hivyo! Sasa uwa humsikii Kikwete akitoa ahadi za kipuuzi kwa wasanii na makundi mbalimbali ya kijamii?!? Jambo hilo ndio linapelekea kwa hiyo culture kuota mizizi. Kwani ilikua lazima kwa Kikwete kusema atawajengea studio wasanii?!? Serikali hii kwa vile inapenda kucheza na jukwaa sana, culture unayoizungumzia mkuu kamwe haitoweza kwisha!!

Of course serikali inapenda iwe hivyo. Serikali inajua kwamba, wananchi wakiweza kujitegemea na kujifanyia mambo kivyao, serikali itashindwa kuwadhibiti. Ndiyo maana serikali yetu inapenda kuahidi vitu vikubwa ili wananchi wabweteke, halafu haitekelezi.

Serikali inaweza kuwaambia watu ukweli kwamba "sera ya serikali kwa sasa ni kujitoa katika biashara na itahusika kuhakikisha kuna mazingira mazuri ya kufanya kazi tu" lakini hawasemi hivyo, wanawafanya watu kama watoto wadogo.

Sasa mtu anayezidi kuwa tegemezi kwa serikali hata baada ya kuona hilo anaiwezesha serikali kuzidi kumdhibiti.

Ndiyo maana nasema nataka nione wasanii wanaanzisha studio na redio zao, na kuacha kutumbulia macho sana msaada wa serikali kwa sababu serikali haina nia ya kuwasaidia.
 
Wazo zima la kwamba vazi la taifa linaweza kuundiwa kamati linachekesha. Huwezi kupata utamaduni kwa kutumia nguvu ya dola.

Vazi la taifa linatoka kwa watu, halitoki kwa wanasiasa, ama sivyo watatuletea propaganda tu.

Hapo tupo pamoja muungwana,vazi la taifa ni process huwa linatokea tu,na watu wanalikubali..
Sio kesho eti hawa wahuni kina Kusaga waibuke na kutangaza wameamua 'vizibao' na 'pensi nyanya' ndio vazi rasmi la taifa..
 
sugu simply hajui analolifanya kwa sasa... chuki ya dili la malaria imemfanya aonekane ni mtu wa ku bwabwaja tu...

"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯
 
Safi Mh Sugu, wapeleke puta hao magamba, kazi kusinzia tu bungeni na kusahau kutumikia wananchi.

Mapendekezo yote aliyeyatoa Mh Sugu ni mazuri, natumaini yatasikilizwa kwa manufaa ya nchi.
 
Huyo sugu tumeshamchoka kwa kutafuta huruma ya watanzania,hivi yeye kama mbunge anashindwa kumwandikia barua huyo waziri na kujua msimamo wa serikali katika hilo.
Halafu pia anamajukumu huko jimboni kwake kila siku yeye anaugomvi na watu halafu anataka raia tumsaidie vita yake? sugu fanya mambo kama mbunge.

Hayo anayafanya nje ya kazi ya ubunge sjui utasema je hapo?
 
Back
Top Bottom