Kwa haya majibu yako hasa hapo kwenye red, nakushauri usipende kukaa mda mrefu na watoto wako ili wajikomboe kifikra.
An empty head is devil's workshop.
Hebu punguza jazba nikuulize swali la msingi. hapo clouds fm ndo unatangaza kile kipindi cha taarabu??Any fool can criticize, condemn and complain and most fools do.
Mkuu alipokuwa anaongea hayo bungeni sikuweza msikiliza live ila nilipata ile nakala aliyoiweka DM, sasa ingekuwa vizuri kujua majibu ya serikali.Alipozungumza bungeni ulikuwa wapi kutazama tv, kusikiliza redio ama kusoma magazeti na mitandaoni? Nyie ndio mliokuja hapa kulalamika kwamba kwanini azungumzie bungeni ambapo mtuhumiwa ruge hawezi kujitetea. Kama amemuandikia barua na hataki kujibu ulitaka akae kimya? Na hiyo studio si kwa ajili yake bali anaipigania kwa niaba ya wasanii wasiokuwa na uwezo na nafasi ya kusema kama Sugu, na kwakuwa naye ni msanii basi ana kila sababu ya kuwasemea wenzake.
Hebu punguza jazba nikuulize swali la msingi. hapo clouds fm ndo unatangaza kile kipindi cha taarabu??
Umeanza viroja sasa,unaihaibisha avator yako.
Never get angry. Never make a threat. Reason with people.-Mario Puzo
Mkuu alipokuwa anaongea hayo bungeni sikuweza msikiliza live ila nilipata ile nakala aliyoiweka DM, sasa ingekuwa vizuri kujua majibu ya serikali.
Sisi atutaki akae kimya mbona ameongea bungeni hakijabadilika kitu sasa facebook ndio nini kitabadilika, suala ni kutafuta suluhisho sio kutoa taarifa ya tatizo kila mtu anaona hali ya wasanii wetu.
Ndio maana nikasema kwanini asiende mahakamani?
Raisi kikwete alivyokuwa anaandika kwenye facebook jana kuwapa pole wahanga wa mafuriko pamoja na kuwaomba watanzania washiriki kikamilifu katika kuwasaidia waathirika alikuwa anawaandikia wamarekani na ulaya , sio?
Kwahiyo unataka kusema wale waliokumbwa na mafuriko wana account facebook na twitter lakini wasanii wa muziki pamoja na wadau wengine wa muziki hawana? au ulitaka kusemaje hapo ili ueleweke.
You have serious problems mdogo wangu, You need to consult books.
Sugu haruhusiwi kuandika anachohitaji kuandika ktk mitandao ya kijamii??Kumbe hujaelewa Facebook au Twitter hakuna anayekatwazwa kutumia na tuna encourage matumizi yake ila ujumbe uliowekwa pale unawafika watazania wachache.
Hivyo basi ikulu walitumia media nyingine za habari kama redio,tv, n.k, hili ujumbe ufike kwa watanzania wote, suala ni kwamba facebook na twitter inatumiwa na watu wachache sana na wanaotumia pia wengi sio friends au followers wa Sugu
That why nimekuambia punguza jazba, hapo clouds unatangaza kipindi kipi sasa?
Again, go and consult your dictionary utapata ufafanuzi.[/COLOR]
Naamini chombo cha kutumia kudai haki yako ni mahakamani, pia hiyo nimeandika kuonyesha kwanini asifuate sheria kutatua hilo kuliko kubakia anaandika kwenye facebook.
Hapo kwenye red naomba ufafanuzi?
ssueHili la BASATA halimuhusu kama mbunge??
Sugu haruhusiwi kuandika anachohitaji kuandika ktk mitandao ya kijamii?? anaruhusiwa kutumia akitaka
aliandika fiesibuku, ikaletwa humu JF na ndo ukaisoma wewe na hivyo ndo habari zote zinavyosambaa. Sawa
Sasa unataka akapige ukunga shimoni??kama akili yake ikimtuma hivyo sio mbaya
Nini kazi ya mitandao ya kijamii??? Zipo nyingi hiyo pia moja wapo
Are you sure hautumii miguu badala ya mikono kutype haya ninayoyasoma kutoka kwako? Naomba usiwadhiake watu ambao hawana mikono,punguza jazba
Tatizo hapa Tanzania mahakama ni chombo cha mwisho kudai haki, hapa sio kwamba sijaelewa lugha sasa sioni haja ya kufungua kamusi wakati hamna msamiati hapo ,inawezekana bado hujaelimika.Again, go and consult your dictionary utapata ufafanuzi.
Huyo sugu tumeshamchoka kwa kutafuta huruma ya watanzania,hivi yeye kama mbunge anashindwa kumwandikia barua huyo waziri na kujua msimamo wa serikali katika hilo.
Halafu pia anamajukumu huko jimboni kwake kila siku yeye anaugomvi na watu halafu anataka raia tumsaidie vita yake? sugu fanya mambo kama mbunge.
Tatizo sijui huelewi au unasahau haraka, sugu kama kweli anataka kutoa tamko angefanya kama alivyokuwa na show ya vinega angeita waandishi wa habari na kusema dukuduku lake.
Ila hapa ninachopinga ni kwamba kuongea kwenye mitandao ya jamii hakutatui kero za wasanii hasa huu mvutano wa Sugu na Clouds pamoja na Studio hiyo ya serikali.
Je Sugu hana njia nyingine ya kutatua hili suala?
Je anawashirikisha wasanii wengine zaid ya vinega katika kutatua hiyo issue ya studio?
NB: Majibu yako hayo yenye nyekundu
hata mimi namshangaa huyu kaka, hivi hana majukumu mengine huko mbeya zaid ya muziki. Ndo tabu ya kuchagua wahuni kwenye mambo muhimu kama uwakilishi. SUGU WE ARE TIRED OF YOUR NONSENSES.
ujinga wa wabunge kama hawa kwenye hii jf ni bora mka delete