Sugu amshangaa kikwete!

Kijallo

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
409
61
Akihutubia mamia ya wakazi wa kata za uyole, amemshangaa rais kwa kutomwita mmiliki wa dowans, amesema rais, alisema hamjui mmiliki sasa kajileta mwenyewe kwa nini asimwite ikulu na kumkamata, amesema wasanii wa nje wakija nchini, anawaita na kupiga nao picha, kwa nini asimwite na kumkamata, akashangiliwa sana, yaani na umati we acha tu!
 
:tongue:

Amtolee singo kama Pres. Pastor Roma au aombe verse za simjui za Mwanakijiji
 
Akihutubia mamia ya wakazi wa kata za uyole,amemshangaa rais kwa kutomwita mmiliki wa dowans,amesema rais,alisema hamjui mmiliki sasa kajileta mwenyewe kwa nini asimwite ikulu na kumkamata,amesema wasanii wa nje wakija nchini,anawaita na kupiga nao picha,kwa nini asimwite na kumkamata,akashangiliwa sana,yaani na umati we acha tu!

Amkamate kwa kosa lipi? huyu nae hana sera. Na hivi anaongea utumboo namna hii na watu wanamshangilia?
 
Ndugu umati huu,hata pinda haoni ndani!anaeleza mikakati yake, na anapokea kero na maswali ya wananchi,
 
Amkamate kwa kosa lipi? huyu nae hana sera. Na hivi anaongea utumboo namna hii na watu wanamshangilia?

Mkuu nakuunga mkono. Huyu Sugu anatakiwa kutoa mwelekeo wa maendeleo ya wana mbeya kwa kipindi cha hadi 2015.

Wana mbeya wako gizani kuhusu maendeleo ya mji wao. mji umedorora hata haufai kuitwa city. mambo ya dowans na kina Ali Hashitakiwi ayazungumzie huko dodoma.

Kwa mbeya huu sio wakati wa kumwaga mbwewe za kisiasa. Aseme kama upeo wake wa kuchochea maendeleo Mbeya ndo umeishia katika kumsema JK.
 
Anasema mbeya imepewa jiji kisiasa, lakini si kimaendeleo,anasema ndani ya miaka miaka 5, atajitahidi kuhakikisha linakuwa jiji kiukweli, anakabidhiwa zawad yenye picha yake, TZ KUNA WACHORAJI, kachorwa kama yeye.
 
amkamate kwa kosa lipi? Huyu nae hana sera. Na hivi anaongea utumboo namna hii na watu wanamshangilia?

Nyie wenye sera mlo mbona mnashangiliwa kwa upuuzi tu?
Hata mie ningelikuwepo mbeya ningemshangilia kwa kuwa alichosema ndio kweli. Unasikia wewe mr sijui?!

Kikwete huyo huyo anajua dowans ni chama cha siasa kilichoandikishwa tanzania kuiba. Amekili hivyo kwenye hotuba zake. Lakini anadai hajui mmiliki wa chama hicho. Sasa kajitokeza yeye anakenua meno tu.

Kudadadeki wee
 
Mmiliki wa dowans simjui, Dowans yenyewe sijui.
Kama inamilikiwa na Adawi sijui, kama ni changa la macho sijui.

Kama ni mimi sijui, Kama ni RA sijui
Nimkamate Adawi sijui, Naogopa sijui.

Respect kwa Mwanakijiji.
 
nyie wenye sera mlo mbona mnashangiliwa kwa upuuzi tu?
Hata mie ningelikuwepo mbeya ningemshangilia kwa kuwa alichosema ndio kweli. Unasikia wewe mr sijui?!

kikwete huyo huyo anajua dowans ni chama cha siasa kilichoandikishwa tanzania kuiba. Amekili hivyo kwenye hotuba zake. Lakini anadai hajui mmiliki wa chama hicho. Sasa kajitokeza yeye anakenua meno tu. Kudadadeki wee

teh teh nini tena?
 
Mkuu nakuunga mkono. Huyu Sugu anatakiwa kutoa mwelekeo wa maendeleo ya wana mbeya kwa kipindi cha hadi 2015. Wana mbeya wako gizani kuhusu maendeleo ya mji wao. mji umedorora hata haufai kuitwa city. mambo ya dowans na kina Ali Hashitakiwi ayazungumzie huko dodoma.

Kwa mbeya huu sio wakati wa kumwaga mbwewe za kisiasa. Aseme kama upeo wake wa kuchochea maendeleo Mbeya ndo umeishia katika kumsema JK.

Ufisadi wa Dowans unamgusa kila mwananchi wa Tanzania wakiwemo wanaMbeya kwahiyo anastahili kuliongelea hilo kwa wapiga kura wake.

Haiingii akilini hata kwa mtu wa kawaida kabisa, rais anasema hamjui mmiliki (wamiliki) wa Dowans ila anakubali kuwa Richmond na hatimaye Dowans ni kampuni za mfukoni.

Ni katika misingi hiyo hiyo rais alitakiwa kumkamata Al Adawi baada ya kujileta (kama hakuletwa) mwenyewe na kusema yeye ni mmiliki wa Dowans!

Mr Two yuko sahihi kabisa kuwafafanulia wapiga kura wake kuwa mpinzani nambari 1 wa maendeleo ya Tanzania na hususani jiji la Mbeya ni Jakaya Mrisho Kikwete!
 
Mkuu nakuunga mkono. Huyu Sugu anatakiwa kutoa mwelekeo wa maendeleo ya wana mbeya kwa kipindi cha hadi 2015. Wana mbeya wako gizani kuhusu maendeleo ya mji wao. mji umedorora hata haufai kuitwa city. mambo ya dowans na kina Ali Hashitakiwi ayazungumzie huko dodoma. Kwa mbeya huu sio wakati wa kumwaga mbwewe za kisiasa. Aseme kama upeo wake wa kuchochea maendeleo Mbeya ndo umeishia katika kumsema JK.

Mji wa Mbeya uliitwa jiji kisiasa halafu nakushangaa unapopiga domo wakati huyo Sugu ana miezi kama minne toka achukue ubunge tumpe muda. na ukizingatia Mbeya siku zote ilikuwa chini ya CCm sasa sioni sababu ya wewe kupiga kelele utadhani hujui walio sababisha idorore ni hao hao CCM na hapo kwenye red hivi Mbeya utaifananisha na Chalinze au Msoga ambako Mkwere kwa nyakati tofauti alishawahi kuwa Mbunge?
 
nyie wenye sera mlo mbona mnashangiliwa kwa upuuzi tu?
Hata mie ningelikuwepo mbeya ningemshangilia kwa kuwa alichosema ndio kweli. Unasikia wewe mr sijui?!

kikwete huyo huyo anajua dowans ni chama cha siasa kilichoandikishwa tanzania kuiba. Amekili hivyo kwenye hotuba zake. Lakini anadai hajui mmiliki wa chama hicho. Sasa kajitokeza yeye anakenua meno tu. Kudadadeki wee

Naona hata unachokiandika hukijuwi, unafata mkumbo tu.
 
Akihutubia mamia ya wakazi wa kata za uyole,amemshangaa rais kwa kutomwita mmiliki wa dowans,amesema rais,alisema hamjui mmiliki sasa kajileta mwenyewe kwa nini asimwite ikulu na kumkamata,amesema wasanii wa nje wakija nchini,anawaita na kupiga nao picha,kwa nini asimwite na kumkamata,akashangiliwa sana,yaani na umati we acha tu!

Hivi bado watu wa CCM Mkoa -- yule Mburushi cousin wa Rostam aitwaye Mulla hajaitisha mkutano na waandishi na kusema "Oneni CDM kazi yao matusi!'

Hiyo hpja haijibiki na hivyo itaitwa matusi na wana-CCM! Inasikitisha sana!!!!!
 
Back
Top Bottom