tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Katika mkutano CHADEMA wilayani humo. JOSEPH MBILINYI ambaye ni mbunge wa Mbeya mjini amejitolea kuwa mbunge wa jimbo la kyela hadi watakapolichukua rasmi 2015. Sugu alihoji kinachomchelewesha kujiuzulu ikiwa watu waliomchagua ndiyo wanaomkataa leo? Aliwapa pia namba ya simu na kudai wampe kero zao na atazifikisha bungeni. Pia ametoa siku 7 za kukarabati stand, vinginevyo ataongoza maandamano. Amedai pia alitegemea amkute Mwakyembe jimboni lakini amemkimbia... Hiyo ndiyo Kyela na mbunge mpya, SUGU