Mwakyembe na Mwandosya ni watu kama wengine,wao sio miungu ya Mby,na wao sio Mby!wana Mbeya tunamweshimu MUNGU PEKEE,Ukitaka kujipunguzia umaarufu wa kisiasa kyela na sehemu kubwa ya mkoa wa mbeya mzodoe Mwakyembe na Mwandosya ni sawa na kujitafutia matatizo ya kisiasa mkoani humo.