johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Ni utabiri wangu tu kwamba Spika ajaye wa bunge hatatoka miongoni mwa wabunge bali atakuwa ni mwanaccm ambaye siyo mbunge ama wa kuchaguliwa au kuteuliwa.
Naibu Spika wa sasa ataendelea na nafasi hiyo endapo atamshinda mbunge machachari na mbishi mh Mbilinyi aka Sugu pale Mbeya mjini.
Pia hapatakuwepo chama kikuu cha upinzani wala KUB kwa sababu kura zao na idadi ya wabunge haitatosha kwa mujibu wa kanuni. Yote kwa yote ACT wazalendo watakuwa ndio kioo cha upinzani wakibebwa na Pemba.
Mbatia hawezi kurudi bungeni lakini atapozwa na ukuu wa mkoa.
Ahsanteni.
Maendeleo hayana vyama!
Naibu Spika wa sasa ataendelea na nafasi hiyo endapo atamshinda mbunge machachari na mbishi mh Mbilinyi aka Sugu pale Mbeya mjini.
Pia hapatakuwepo chama kikuu cha upinzani wala KUB kwa sababu kura zao na idadi ya wabunge haitatosha kwa mujibu wa kanuni. Yote kwa yote ACT wazalendo watakuwa ndio kioo cha upinzani wakibebwa na Pemba.
Mbatia hawezi kurudi bungeni lakini atapozwa na ukuu wa mkoa.
Ahsanteni.
Maendeleo hayana vyama!