Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,414
- 3,650
Kifo cha Makaveli ni kama tukio la Ben saanane tu.
Hakuna anaeweza kuthibitisha kwa usahihi kama amekufa au hajafa.
Watu wasiojulikana wapo mpaka mbele ndio hao hao walimuua tupace
Kifo cha Makaveli ni kama tukio la Ben saanane tu.
Hakuna anaeweza kuthibitisha kwa usahihi kama amekufa au hajafa.
Sugu tena duuh!Huyo Sugu kinight anatusaidia nini kwenye Tanzania ya Viwanda na kuisoma namba?
Ile albadir iliompiga "baba" imempiga na huyo!Linapokuja suala la kufananisha na kutofautisha ndio sehemu pekee ya kutambua akili ndogo na kubwa. Inamaana umeshindwa kutofautisha maudhui ya kila jukwaa hapa jf mpaka kufikia kiwango cha kujizalilisha kiasi hichi. Kuuonyesha ujinga wako hadharani haijawahi kua sifa nzuri.
Ni Amar mkuu na si omariHey brothers!..2pac sio mtu
2pac ni taasisi ambayo milele haiwezi kufa..
Omar Shakur yeye ameshakufa
na alitabiri kifo chake na itachukia muda sana Dunia kukubali kwamba hayupo.
Kuna watu wanadai yupo Cuba, Pueto Rico au kwenye visiwa Latin America ila sio kweli.
Mwandishi mmoja aliyekuwa maarufu wakati 2pac anafanya vizuri aliwahi kusema kwamba anavyomjua 2pac angekua hai leo asingeweza kunyamaza kimy fake rappers kama Drake, Meek Meel na Rick Ross waisumbue dunia lazima angetoka kiwadiss
Omar is gone we should keep sail and stay with 2pac's 'lyrics and princples because that will stay with us Foever.
Ain't mad at cha &
Dear Mama
My most Favourite; )
All eyes on meHey brothers!..2pac sio mtu
2pac ni taasisi ambayo milele haiwezi kufa..
Omar Shakur yeye ameshakufa
na alitabiri kifo chake na itachukia muda sana Dunia kukubali kwamba hayupo.
Kuna watu wanadai yupo Cuba, Pueto Rico au kwenye visiwa Latin America ila sio kweli.
Mwandishi mmoja aliyekuwa maarufu wakati 2pac anafanya vizuri aliwahi kusema kwamba anavyomjua 2pac angekua hai leo asingeweza kunyamaza kimy fake rappers kama Drake, Meek Meel na Rick Ross waisumbue dunia lazima angetoka kiwadiss
Omar is gone we should keep sail and stay with 2pac's 'lyrics and princples because that will stay with us Foever.
Ain't mad at cha &
Dear Mama
My most Favourite; )
All eyes on me
Anakwambia "money bring bitches and bitch bring love"
Hahahaha so when money goes?Hata Pusha T kwenye diss track alomdiss lil wayne anakwambia they said money over bitches,they dont know bitches loves money
No bitches no loveHahahaha so when money goes?
Hahahaha so when money goes?
No bitches no love
Ni all eyes on me sio in meJana tu nimetoka kuangalia muvi ya all eyes in me.... ya Demetrius shipp jr, aisee kama ina uhalisia kweli wa tukio la pac bas kupona zile shaba ilikua ngumu. Jamaa hawakua amateurs kama watu wasio julikana,
Ni all eyes on me sio in me