Suge Knight anasema 2Pac hajafa!!

Jana tu nimetoka kuangalia muvi ya all eyes in me.... ya Demetrius shipp jr, aisee kama ina uhalisia kweli wa tukio la pac bas kupona zile shaba ilikua ngumu. Jamaa hawakua amateurs kama watu wasio julikana,
 
Linapokuja suala la kufananisha na kutofautisha ndio sehemu pekee ya kutambua akili ndogo na kubwa. Inamaana umeshindwa kutofautisha maudhui ya kila jukwaa hapa jf mpaka kufikia kiwango cha kujizalilisha kiasi hichi. Kuuonyesha ujinga wako hadharani haijawahi kua sifa nzuri.
Ile albadir iliompiga "baba" imempiga na huyo!
 
Hey brothers!..2pac sio mtu
2pac ni taasisi ambayo milele haiwezi kufa..

Omar Shakur yeye ameshakufa
na alitabiri kifo chake na itachukia muda sana Dunia kukubali kwamba hayupo.

Kuna watu wanadai yupo Cuba, Pueto Rico au kwenye visiwa Latin America ila sio kweli.

Mwandishi mmoja aliyekuwa maarufu wakati 2pac anafanya vizuri aliwahi kusema kwamba anavyomjua 2pac angekua hai leo asingeweza kunyamaza kimy fake rappers kama Drake, Meek Meel na Rick Ross waisumbue dunia lazima angetoka kiwadiss

Omar is gone we should keep sail and stay with 2pac's 'lyrics and princples because that will stay with us Foever.

Ain't mad at cha &
Dear Mama
My most Favourite; )
Ni Amar mkuu na si omari
 
I'm really cocky - but that's on the low
like Makaveli's intro when it sound like somebody said "Suge shot me" huo ni mstari wa Crooked I kwenye wimbo Illmind
Kuna wanaoamini Suge alipanga kuuawa kwa Pac, wengine wanaamini Diddy alimuua BIG, wengine wanaamini USA gov kupitia FBI ndio wahusika. Mwisho wa siku naamini PAC amekufa hata waseme nini
 
Hey brothers!..2pac sio mtu
2pac ni taasisi ambayo milele haiwezi kufa..

Omar Shakur yeye ameshakufa
na alitabiri kifo chake na itachukia muda sana Dunia kukubali kwamba hayupo.

Kuna watu wanadai yupo Cuba, Pueto Rico au kwenye visiwa Latin America ila sio kweli.

Mwandishi mmoja aliyekuwa maarufu wakati 2pac anafanya vizuri aliwahi kusema kwamba anavyomjua 2pac angekua hai leo asingeweza kunyamaza kimy fake rappers kama Drake, Meek Meel na Rick Ross waisumbue dunia lazima angetoka kiwadiss

Omar is gone we should keep sail and stay with 2pac's 'lyrics and princples because that will stay with us Foever.

Ain't mad at cha &
Dear Mama
My most Favourite; )
All eyes on me
Anakwambia "money bring bitches and bitch bring love"
 
Jana tu nimetoka kuangalia muvi ya all eyes in me.... ya Demetrius shipp jr, aisee kama ina uhalisia kweli wa tukio la pac bas kupona zile shaba ilikua ngumu. Jamaa hawakua amateurs kama watu wasio julikana,
Ni all eyes on me sio in me
 
Ni all eyes on me sio in me


Na ni muvi mbaya sijapata kuona sijui jamaa walikurupuka au.Demetrius shipp jr kafanya kweli waliobaki sasa mmmhhh. Kama yule Snoop D wa humo haaa haaa
Straight outta compton itabakia kuwa the best hip hop biography movie of all time
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom