Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 2,398
- 3,074
Miradi mikubwa kwa midogo inaposuasua utasikia;
Kiongozi ametupa lawama kwa mkandarasi/mzabuni
Mwananchi anamlaumu kiongozi
Mkandarasi anamlaumu serikali
Yaani ni vurugu tu kila mmoja anarusha lawama kwa kutokamilika kwa mradi. Japo lawama kwenda kwa mkandarasi/mzabuni ndiyo huwa kubwa zaidi 'Ooh kachukua tenda na kazi haiwezi, jinga kabisa'
Tulishasema kuwa haki huinua taifa. Je tumemtenda kwa haki huyu mkandarasi? Sikia:
1. Anapochukua tenda kuna vifungu vinambana kuajiri wazawa
2. Anapochukua tenda kuna vifungu vinambana kulindwa na wazawa kulinzi na usalama (haruhusiwi kuja na jeshi lake)
Makadirio na usanifu anaoufanya mkandarasi huwa hauhusiishi eti na mifuko ya simenti, nondo na mafuta dizeli na petroli kwa ajili ya wizi. Mwisho wa siku akiibiwa hesabu zaje zikafeli akashindwa kufanya kazi anaanza kusemwa ooooh anazingua.
Nisiongee sana lakini tunaweza kufanya kitu:
1. Suala la kuajiri wazawa libaki palepale.
2. Suala la ulinzi tuliangalie upya. Inabidi wakandarasi waruhusiwe kuwa na kijeshi chao kidogo kwa ulinzi wa watu na mali zao. Kikundi hicho kiwe na silaha za moto. Kiruhusiwe kuwapiga risasi za miguu wezi. Kiruhusiwe inapobidi kutumia kani iwezayo kuua ili kujilinda (lethal force). Rejea sheria za uvamizi (no tresspassing, tresspassers will be SHOT) kwa baadhi ya nchi ambapo mwenye nyumba anaruhusiwa kumpiga risasi yeyote anayeingia kwenye eneo lake bila ruhusa!
Tunaweza tu kujitahidi kupunguza uonevu kwa kutaka uthibitisho wa video kwamba mtu alikuwa anaiba kweli. Siku hizi kuna teknolojia za Cctv na drones hayo mambo yanawezekana kabisaa.
Mwananchi huyo mwizi akiona kuna marisasi sidhani kama ataendelea kuwakosea heshima kwa kuwaibia mbele ya macho yao. Ni risasi tu pambaf 😕.
Tumechoka miradi kukwamakwama kila siku aaargh! Hatutaki mtu atupiwe lawama. Kila mmoja awajibike kwa majukumu na matendo yake.
Mafuta, simenti, nondo n.k vikiibiwa kwenye miradi sio hasara ya mchina au mturuki au mzungu tu bali ni hasara yetu sote.
Mbona kwenye migodi hakuna wizi wa kijingajinga hivi.
Mfano tukiwapeleka mahakama za uwekezaji kuwadai fidia. Halafu wakasema mradi ulikwama kwa sababu ya upande mmoja wa mkataba kushindwa kutimiza jukumu la kudhibiti wizi hata tulivyouripoti unadhani tutachomoa? Kimsingi tutawalipa tena fidia kwa kuwasababishia hasara wao😳. E eeh endelea kushangaa!
Nimemaliza maoni.
Kiongozi ametupa lawama kwa mkandarasi/mzabuni
Mwananchi anamlaumu kiongozi
Mkandarasi anamlaumu serikali
Yaani ni vurugu tu kila mmoja anarusha lawama kwa kutokamilika kwa mradi. Japo lawama kwenda kwa mkandarasi/mzabuni ndiyo huwa kubwa zaidi 'Ooh kachukua tenda na kazi haiwezi, jinga kabisa'
Tulishasema kuwa haki huinua taifa. Je tumemtenda kwa haki huyu mkandarasi? Sikia:
1. Anapochukua tenda kuna vifungu vinambana kuajiri wazawa
2. Anapochukua tenda kuna vifungu vinambana kulindwa na wazawa kulinzi na usalama (haruhusiwi kuja na jeshi lake)
Makadirio na usanifu anaoufanya mkandarasi huwa hauhusiishi eti na mifuko ya simenti, nondo na mafuta dizeli na petroli kwa ajili ya wizi. Mwisho wa siku akiibiwa hesabu zaje zikafeli akashindwa kufanya kazi anaanza kusemwa ooooh anazingua.
Nisiongee sana lakini tunaweza kufanya kitu:
1. Suala la kuajiri wazawa libaki palepale.
2. Suala la ulinzi tuliangalie upya. Inabidi wakandarasi waruhusiwe kuwa na kijeshi chao kidogo kwa ulinzi wa watu na mali zao. Kikundi hicho kiwe na silaha za moto. Kiruhusiwe kuwapiga risasi za miguu wezi. Kiruhusiwe inapobidi kutumia kani iwezayo kuua ili kujilinda (lethal force). Rejea sheria za uvamizi (no tresspassing, tresspassers will be SHOT) kwa baadhi ya nchi ambapo mwenye nyumba anaruhusiwa kumpiga risasi yeyote anayeingia kwenye eneo lake bila ruhusa!
Tunaweza tu kujitahidi kupunguza uonevu kwa kutaka uthibitisho wa video kwamba mtu alikuwa anaiba kweli. Siku hizi kuna teknolojia za Cctv na drones hayo mambo yanawezekana kabisaa.
Mwananchi huyo mwizi akiona kuna marisasi sidhani kama ataendelea kuwakosea heshima kwa kuwaibia mbele ya macho yao. Ni risasi tu pambaf 😕.
Tumechoka miradi kukwamakwama kila siku aaargh! Hatutaki mtu atupiwe lawama. Kila mmoja awajibike kwa majukumu na matendo yake.
Mafuta, simenti, nondo n.k vikiibiwa kwenye miradi sio hasara ya mchina au mturuki au mzungu tu bali ni hasara yetu sote.
Mbona kwenye migodi hakuna wizi wa kijingajinga hivi.
Mfano tukiwapeleka mahakama za uwekezaji kuwadai fidia. Halafu wakasema mradi ulikwama kwa sababu ya upande mmoja wa mkataba kushindwa kutimiza jukumu la kudhibiti wizi hata tulivyouripoti unadhani tutachomoa? Kimsingi tutawalipa tena fidia kwa kuwasababishia hasara wao😳. E eeh endelea kushangaa!
Nimemaliza maoni.