Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,333
- 24,227
Sasa hivi nchi nzima tuna ukame ambao haujakuwpo kwa miaka kama kumi hivi.
Ukame huu unaleta athari mbili kuu, ukosefu wa maji ya matumizi ya binadamu na hvile vile kukosekana kwa maji ya kutosha kusukuma mitambo ya kutengeneza umeme.
Sasa, ukame unatukosesha maji mijini na umeme kwa pamoja.
Kwa miaka mingi tabia nchi imekuwa ikibadilika kwenda na kuwa hali mbaya zaidi kila mwaka.
Wengine walikuwa watoto, lakini 1973/4 palikuwa na ukame wa kutisha, tulikula ugali wa "yanga", unga wa njano wa msaada.
Kabla ya hapo 1965 napo kulikuwa na ukame( karbia miaka 10 kabla).
Mwaka 1987-89 vile vile kulikuwa na ukme(10 years later)
Mwaka 1997/98 vile vile-miaka kumi baadaye
Tukaja 2011, kwa marudio hayo hayo ya miaka karibia kumi .
Leo 2022, tuna ukame, miaka 11 na ushee baada ya 2011.
Kwa mlio wasomi humu JF, check the mateorogical data kwa miaka hiyo.
Tatizo watanzania tunasahau kwa karibu.
Mbaya zaidi ni kwa wanasiasa wasioweza kutumia scientific data ku plan for the future.
Tukumbuke pia kuwa huko Ulaya, ukame mwaka huu umekuwa mbaya kuliko kipindi chochote kwa miaka 50 iiyopita..
Wenzetu watachukua changamoto hiyo kuplan for the future.
Kwa upande wetu bwawa ka Kidunda lilikuwa lijengwe zaidi ya miaka kumi iliyopita.
Tusimlaumu Mama Samia kwa hili.
Sayansi ilitueleza kuwa ukame utakuja mwaka huu 2022.
Na kwa hii kujirudia rudia ukame, tutapata ukame mwingine miaka ya 2031-2033.
Kwa waliosoma masuala ya Hydrology, hiyo ipo katika Gumbels Return Year Predictions za mvua kubwa na ukame.
Ukame huu unaleta athari mbili kuu, ukosefu wa maji ya matumizi ya binadamu na hvile vile kukosekana kwa maji ya kutosha kusukuma mitambo ya kutengeneza umeme.
Sasa, ukame unatukosesha maji mijini na umeme kwa pamoja.
Kwa miaka mingi tabia nchi imekuwa ikibadilika kwenda na kuwa hali mbaya zaidi kila mwaka.
Wengine walikuwa watoto, lakini 1973/4 palikuwa na ukame wa kutisha, tulikula ugali wa "yanga", unga wa njano wa msaada.
Kabla ya hapo 1965 napo kulikuwa na ukame( karbia miaka 10 kabla).
Mwaka 1987-89 vile vile kulikuwa na ukme(10 years later)
Mwaka 1997/98 vile vile-miaka kumi baadaye
Tukaja 2011, kwa marudio hayo hayo ya miaka karibia kumi .
Leo 2022, tuna ukame, miaka 11 na ushee baada ya 2011.
Kwa mlio wasomi humu JF, check the mateorogical data kwa miaka hiyo.
Tatizo watanzania tunasahau kwa karibu.
Mbaya zaidi ni kwa wanasiasa wasioweza kutumia scientific data ku plan for the future.
Tukumbuke pia kuwa huko Ulaya, ukame mwaka huu umekuwa mbaya kuliko kipindi chochote kwa miaka 50 iiyopita..
Wenzetu watachukua changamoto hiyo kuplan for the future.
Kwa upande wetu bwawa ka Kidunda lilikuwa lijengwe zaidi ya miaka kumi iliyopita.
Tusimlaumu Mama Samia kwa hili.
Sayansi ilitueleza kuwa ukame utakuja mwaka huu 2022.
Na kwa hii kujirudia rudia ukame, tutapata ukame mwingine miaka ya 2031-2033.
Kwa waliosoma masuala ya Hydrology, hiyo ipo katika Gumbels Return Year Predictions za mvua kubwa na ukame.