Kuna msemo ya kiswahili usemao "kuchamba kwingi......"
Sasa hata sifa zikizidi hupelekea dhihaka.
Mwaka 2016 kitovu cha kupatwa kwa mwezi dunia nzima kilikuwa mkoani Njombe eneo la Wanging'ombe. Wageni mbalimbali toka pande zote za dunia walikwenda Njombe ili kuona tukio la kupatwa kwa jua na kuchukua picha zake.
Mwananchi mmoja aliposogezewa microphone na media alisikika akimshukuru sana rais Magufuli kwa tukio lile. Watu wakabakia midomo wazi kwa mshangao.
Leo huko Hanang mwancnhi mmoja baada ya kupokea msaada wa godoro amesikika akimshukuru mama Samia kwa tope lililotokea nakupelekea watu/makampuni/serikali kutoa misaada mbalimbali huko.
N.B . Siyo kila sifa ni sifa.
Sasa hata sifa zikizidi hupelekea dhihaka.
Mwaka 2016 kitovu cha kupatwa kwa mwezi dunia nzima kilikuwa mkoani Njombe eneo la Wanging'ombe. Wageni mbalimbali toka pande zote za dunia walikwenda Njombe ili kuona tukio la kupatwa kwa jua na kuchukua picha zake.
Mwananchi mmoja aliposogezewa microphone na media alisikika akimshukuru sana rais Magufuli kwa tukio lile. Watu wakabakia midomo wazi kwa mshangao.
Leo huko Hanang mwancnhi mmoja baada ya kupokea msaada wa godoro amesikika akimshukuru mama Samia kwa tope lililotokea nakupelekea watu/makampuni/serikali kutoa misaada mbalimbali huko.
N.B . Siyo kila sifa ni sifa.