lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,181
- 2,680
Kuna wengine wakienda supermarkets pesa iko na kubaki inabaki wanawapa tipu wahudumu kwahiyo hata mafuta yauzwe 10,000 Lita moja wala haiwasumbui pesa iko sio tatizo ni hivi to whom it may concern.
Sijui ni Waziri wa kilimo au viwanda mafuta yako juu mno Au mko group ya pesa sio tatizo kwahiyo hakiwatachi? Jamani hebu kaeni mtafakari mnafanyaje walau hali..ikae.shwari kidogo, vifurushi juu, mafuta juu sasa tukaejekaeje?
Sijui ni Waziri wa kilimo au viwanda mafuta yako juu mno Au mko group ya pesa sio tatizo kwahiyo hakiwatachi? Jamani hebu kaeni mtafakari mnafanyaje walau hali..ikae.shwari kidogo, vifurushi juu, mafuta juu sasa tukaejekaeje?