Tumpara Dudu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 662
- 606
Salamu kwenu wakuu.
Ammaabaad. Wakuu mm nauza duka la mangi lkn Nina changamoto katika upimaji wa mafuta ya kula.
Kwenye mazingira lilipo duka langu wakazi wa huku wamezoea vipimo vya 300,500, robo nusu na Lita. Sasa robo,nusu na Lita si tatizo lakini changamoto ni vipimo vya TSH 300 na 500. Nimepiga hesabu vizuri Kwa Bei ya 5'000 Kwa Lita basi kipimo Cha 300 kutakuwa ni ml 60 na 500 ni ml 100.
Sasa naomba mnijulishe,wapi naweza kupata instrument za kupima kuanzia ml 60 kwenda juu Ili niepukane na maswala ya kukadiria yanayonipa hasara?
Ammaabaad. Wakuu mm nauza duka la mangi lkn Nina changamoto katika upimaji wa mafuta ya kula.
Kwenye mazingira lilipo duka langu wakazi wa huku wamezoea vipimo vya 300,500, robo nusu na Lita. Sasa robo,nusu na Lita si tatizo lakini changamoto ni vipimo vya TSH 300 na 500. Nimepiga hesabu vizuri Kwa Bei ya 5'000 Kwa Lita basi kipimo Cha 300 kutakuwa ni ml 60 na 500 ni ml 100.
Sasa naomba mnijulishe,wapi naweza kupata instrument za kupima kuanzia ml 60 kwenda juu Ili niepukane na maswala ya kukadiria yanayonipa hasara?