Suala la ardhi halimo kwenye Muungano, Zanzibar wapo makini kulinda ardhi yao lakini wametuzidi akili kuimiliki ardhi ya bara

hakuna alierusiwa kumiliki ardhi kwa mwenzake kwenye muungano isipokua kwenye mambo ya uwekezaji tu.

Shida inapokuja ni wazanzibari kupewa umiliki wa ardhi nje ya matumizi ya uwekezaji.
Binafsi huu muungano huwa siutaki kabisa maana wazanzibar wana haki zote huku bara lakini sisi hatuna haki kwao ni kama watalii wengine
 
Mkivunja muungano mtaishi nchi gani? Tanzania ni hiyo mmeichoka na Tanganyika haipo tena. Sasa nyie machogo wenye chuki na Zanzibar mtakuwa raia wa nchi gani?
 
Siku ya muungano ulichanganywa udongo toka Zanziba na Tanganyika. Hii ina maana.
 
Huu muungano fake uvunjwe haraka sn
Kuna vitu vingine tunalalamika sana wakati vipo wazi lakini sisi tunashindwa kufatilia,

Binafsi nawapongeza wazanzibar p kwa kuwa na uchungu na nchi yao wanafata makubaliano ya muungano hawampi mtu wa bara ardhi yao,

hata sisi huku hairusiwi kuwapa lakini tumekuwa wavivu sana kufata haya makubaliano, kiasi kwamba kuna fikra zimejengeka kuona kana kwamba wao wanarusiwa kumiliki huku ila sisi haturusiwi kumiliki kwao lakini kiukweli sheria ipo wazi hakuna muungano kwenye ardhi.

Huenda tymezidiwa akili tu, maana kila kitu kipo wazi sasa kwanini tushindwe utekelezaji??
 
Yeah 😂😂😂,si wabara wako busy kutukanana na wanadhani sifa.wazenji kamateni fursa kabisa.
 
Ardhi ya huku (bara) ni kubwa mno, acha tu tutumie sote. Watu wenyewe wako milioni moja na nusu, hawawezi kutumalizia "hiyo ardhi yetu".

Khaa, nchi hii.
Mkitukanwa kwamba akili zenu zinawaza usawa wa pua zenu mnakasirika, ardhi haiongezeki, idadi ya watu inaongeseka, hivi unawaza miaka 100 ijayo uwiano wa ardhi na idadi ya watu itakuwaje?

Pili kinachosemwa hapa sio kingine ila matakwa ya kikatiba na kisheria, kwanini inaheshimiwa upande mmoja tu?
 
Hata ajira wamejazana kwenye sekta zote lakini hakuna mbara kule kwao kaajiriwa zaidi ya polisi wachache
 
Ccm inailea kama yai Zanzibar

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 

Nope, hawajatuzidi akili, ipo siku
 
Zanzibar kisiwa
Ardhi yao ndogo
Wangeruhusu wabara wamiliki ardhi
Mpaka sasa kungekwisha

Ova
Kama ni hivyo basi kila mtu akamiliki kule kwao, Wazanzibar wakamiliki ardhi Zanzibar na Watanganyika wamiliki ardhi Tanganyika. Kila mtu asimiliki kwa mwenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…