Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,861
- 93,648
Binafsi huu muungano huwa siutaki kabisa maana wazanzibar wana haki zote huku bara lakini sisi hatuna haki kwao ni kama watalii wenginehakuna alierusiwa kumiliki ardhi kwa mwenzake kwenye muungano isipokua kwenye mambo ya uwekezaji tu.
Shida inapokuja ni wazanzibari kupewa umiliki wa ardhi nje ya matumizi ya uwekezaji.
Na sisi wabara tushituke mapemaKwenye hili suala ni uzembe wa Tanzania bara kutokuwa na uchungu na ardhi yao kwa kuigawa kama pipi, sheria zipo wazi kabisa, wenzetu wanazifuata lakini huku tunazibeza.
Hatumtaki hukuYaonesha pamoja na maneno matamu ya mama:
View attachment 2041965
Kungali kuna tashwishi ya kuchezana shere kiaina. Kumbuka kuna wahuni na viroboto wanaorushiana makombora pia.
Usisahau mama amesisitiza zaidi maridhiano kwao si bara:
View attachment 2041973
Mtu wa kawaida anayaona haya:
View attachment 2041967
Mama angejikita zaidi kimaridhiano vinginevyo ya Joyce Banda yanaweza kumhusu.
Hatumtaki huku
NonsenseMkivunja muungano mtaishi nchi gani? Tanzania ni hiyo mmeichoka na Tanganyika haipo tena. Sasa nyie machogo wenye chuki na Zanzibar mtakuwa raia wa nchi gani?
Arudi kwaoKimeumana 😁😁
Mchukueni mtu wenu aje kuongoza huko hatumtaki huku kwetuMkivunja muungano mtaishi nchi gani? Tanzania ni hiyo mmeichoka na Tanganyika haipo tena. Sasa nyie machogo wenye chuki na Zanzibar mtakuwa raia wa nchi gani?
Siku ya muungano ulichanganywa udongo toka Zanziba na Tanganyika. Hii ina maana.Kwenye katiba ya Tanzania hakuna sehemu iliyohusisha ardhi kwenye muungano, Ardhi ya Tanzania bara ni kwajili ya raia wake na ardhi ya Zanzibar ni ya raia wake, Pongezi nyingi ziende kwa wazanzibari maana hawana mchezo kwenye kulitekeleza hili kwa kulinda ardhi yao iwe kwajili yao, Lakini sasa huku bara hatupo siriazi (serious) kutekeleza hili jukumu maana wazanzibari wanapewa umiliki wa ardhi huku katiba imeweka wazi kabisa hairusiwi, kiuhalisia tukubali kwamba Wazanzibar wametuzidi akili.
Mtu wa bara ukienda huko Zanzibar hata uwe na pesa vipi utapigwa stop, ukilazimisha kuimiliki kijanja janja basi utakuwa umevunja Sheria kwa kujua au kutojua , wakienda mahakamani huna haki ya kumiliki hio ardhi na hutolipwa fidia yoyote
Ajabu ni kwamba Kigamboni karibu yote, Temeke, Buguruni, Wazanzibar wanamiliki ardhi bila bugudha. Msingi wa hoja yangu ni kwanini Wazanzibari wanamiliki ardhi Bara kwa sababu zisizokua ni uwekezaji?
Kimsingi Tanganyika imekuwa kama shamba la bibi au yatima, haina mwenyewe wala mtetezi.
kuna kila sababu ya kuona kwamba Zanzibar "wametuzidi akili", Sizungumzii akili za kukariri darasani what is physics, ni akili ya kawaida kabisa ambayo mtu inabidi awe nayo, kwa kiingereza huitwa "common sense"
View attachment 2041966
Kuna vitu vingine tunalalamika sana wakati vipo wazi lakini sisi tunashindwa kufatilia,Huu muungano fake uvunjwe haraka sn
Mkitukanwa kwamba akili zenu zinawaza usawa wa pua zenu mnakasirika, ardhi haiongezeki, idadi ya watu inaongeseka, hivi unawaza miaka 100 ijayo uwiano wa ardhi na idadi ya watu itakuwaje?Ardhi ya huku (bara) ni kubwa mno, acha tu tutumie sote. Watu wenyewe wako milioni moja na nusu, hawawezi kutumalizia "hiyo ardhi yetu".
Khaa, nchi hii.
Hata ajira wamejazana kwenye sekta zote lakini hakuna mbara kule kwao kaajiriwa zaidi ya polisi wachacheKuna vitu vingine tunalalamika sana wakati vipo wazi lakini sisi tunashindwa kufatilia,
Binafsi nawapongeza wazanzibar p kwa kuwa na uchungu na nchi yao wanafata makubaliano ya muungano hawampi mtu wa bara ardhi yao,
hata sisi huku hairusiwi kuwapa lakini tumekuwa wavivu sana kufata haya makubaliano, kiasi kwamba kuna fikra zimejengeka kuona kana kwamba wao wanarusiwa kumiliki huku ila sisi haturusiwi kumiliki kwao lakini kiukweli sheria ipo wazi hakuna muungano kwenye ardhi.
Huenda tymezidiwa akili tu, maana kila kitu kipo wazi sasa kwanini tushindwe utekelezaji??
Ccm inailea kama yai ZanzibarKwenye katiba ya Tanzania hakuna sehemu iliyohusisha ardhi kwenye muungano, Ardhi ya Tanzania bara ni kwajili ya raia wake na ardhi ya Zanzibar ni ya raia wake.
Hatuna budi kuwapongeza wazanzibari maana hawana mchezo kwenye kulitekeleza hili kwa kulinda ardhi yao iwe kwajili yao, Lakini sasa huku bara ni kama vile tuna upofu katika kusimamia haki yetu kwasababu katiba imeshaweka wazi hii ardhi ni ya raia wa bara pekee lakini cha ajabu wazanzibari wanapewa umiliki wa ardhi, ndugu zangu hata nisiwafiche, hapa tukubali tu kwamba Wazanzibari wametuzidi akili.
Mtu wa bara ukienda huko Zanzibar hata uwe na pesa vipi utapigwa stop, ukilazimisha kuimiliki kijanja janja basi utakuwa umevunja Sheria kwa kujua au kutojua , wakienda mahakamani huna haki ya kumiliki hio ardhi na hutolipwa fidia yoyote
Ajabu ni kwamba Kigamboni karibu yote, Temeke, Buguruni, Wazanzibar wanamiliki ardhi bila bugudha. Msingi wa hoja yangu ni kwanini Wazanzibari wanamiliki ardhi Bara kwa sababu zisizokua ni uwekezaji?
Kimsingi Tanganyika imekuwa kama shamba la bibi au yatima, haina mwenyewe wala mtetezi.
kuna kila sababu ya kuona kwamba Zanzibar "wametuzidi akili", Sizungumzii akili za kukariri darasani what is physics, ni akili ya kawaida kabisa ambayo mtu inabidi awe nayo, kwa kiingereza huitwa "common sense"
View attachment 2041966
Hoja mfuZanzibar kisiwa
Ardhi yao ndogo
Wangeruhusu wabara wamiliki ardhi
Mpaka sasa kungekwisha
Ova
Kwenye katiba ya Tanzania hakuna sehemu iliyohusisha ardhi kwenye muungano, Ardhi ya Tanzania bara ni kwajili ya raia wake na ardhi ya Zanzibar ni ya raia wake.
Hatuna budi kuwapongeza wazanzibari maana hawana mchezo kwenye kulitekeleza hili kwa kulinda ardhi yao iwe kwajili yao, Lakini sasa huku bara ni kama vile tuna upofu katika kusimamia haki yetu kwasababu katiba imeshaweka wazi hii ardhi ni ya raia wa bara pekee lakini cha ajabu wazanzibari wanapewa umiliki wa ardhi, ndugu zangu hata nisiwafiche, hapa tukubali tu kwamba Wazanzibari wametuzidi akili, Wenzetu hawatoi ardhi yao kirahisi rahisi aisee, hio sahau.
Mtu wa bara ukienda huko Zanzibar hata uwe na pesa vipi utapigwa stop, ukiona unamilikishwa kirahisbi rahisi jua ya kwamba umekutana na wajanja wa kipemba, watakufojia hadi hati za ardhi feki ilimradi uingie kingi, utatapeliwa pesa zako mchana kweupe, siku unaanza shughuli zako ndipo unakuja kugundua umetapeliwa.
Ajabu ni kwamba Kigamboni karibu yote, Temeke, Buguruni, Wazanzibar wanamiliki ardhi bila bugudha. Msingi wa hoja yangu ni kwanini Wazanzibari wanamiliki ardhi Bara licha ya kwamba katiba hata ya sasa ipo wazi haiwaruhusu ?
Kimsingi Tanganyika imekuwa kama shamba la bibi au yatima, haina mwenyewe wala mtetezi.
kuna kila sababu ya kuona kwamba Zanzibar "wametuzidi akili", Sizungumzii akili za kukariri darasani what is physics, ni akili ya kawaida kabisa ambayo mtu inabidi awe nayo, kwa kiingereza huitwa "common sense"
View attachment 2041966
Kama ni hivyo basi kila mtu akamiliki kule kwao, Wazanzibar wakamiliki ardhi Zanzibar na Watanganyika wamiliki ardhi Tanganyika. Kila mtu asimiliki kwa mwenzieZanzibar kisiwa
Ardhi yao ndogo
Wangeruhusu wabara wamiliki ardhi
Mpaka sasa kungekwisha
Ova