Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Hahahahahaaa Tized hapo ndo huwa nakupendea, halafu mbona anakazania kuwa wewe ni kimbau mbau? Mwambie kimbau mbau raha yake apate nyama nyama za size ya kati sio ile tipwa tipwa, Ntuzu inabidi ukubali yaishe tuu maana Tized kamaliza kila kitu looh
Tajitahidi nipate picha yako kasinde nijue siri
Hahahahaaaaa hapa nimekubali yaishe maana hichi kitambi changu kinavyo ning'inia Ni shida sn eti! Yani mpk kuokota kitu chini shida!
Kasinde nenda tu kwa huyo huyo kimbaumbau!
Point of interaction, Tized aliniambia Mr Rocky ni mzee mwenzie labda sikuelewa mzee mwenzie in what terms, why Mr Rocky atutenganishe na Tized??? there is some information that is missing in the story............., somebody to explain pls
jamani mbona hivooo??? walau sema basi nenda tu kwa Tized, upumzishe neno kimbaumbau loooh
Ila fanya juhudi kitambi ukitoe hicho maana mie huwa nawaza wajawazito wanavochoka na matumbo yao ambapo wanajipa matumaini baada ya miezi 9 wanakuwa flat, sasa wanaume kitambi ndo kinakuwa chake huwa nawaonea huruma wanavobeba vitambi vyao, naona kama wamebeba mizigo bila sababu looh
Boasting
Being stingy
Jealous
Thinking they are the best
Thinking they are truly loved
They never learn from previous mistakes
Cheaters
Pls don crack over me! This is a personal opinion
Hahahaaaa.... Mkuu siku hizi hela ukiwa na hela hata kama uko under 18 utasikia ''MZEE TIZED'' Ukimbao mbao ndio habari ya mujini... hahahahaaaKwa hiyo sifa Mkuu Uko juu! Alafu ukiongeza na sifa ya uzee Sasa inakua ndio nzuri Zaidi maana wazee wanasifika sn kwa kuhudumia Vzr!
Mkuu sibanduki apo... nimejishikisha na supa GLUU. Ukizingatia yeye ana nyama kidogo tunamatch sana. Wewe kwa kuwa ni ndugu yangu unaruhusiwa kula kwa macho tu (kitu kizuri kula na ndugu yako, kibaya mpe Mbwa)
Uko peke yako sweetheart!!!!! nimekaa jangwani kwenye ukame muda sana, at least wewe umejitokeza walau unidondoshee tone moja kuuburudisha ulimi wangu!!!!! With me you are prudently secured.Tized Tized usijefanya nikaviziwa saa ya kutoka ofcn nikapigwa mie au nikiwa club nikamwagiwa tindikali oohoooo ugomvi siuwezi mie. Halafu ma handsome huwa wanafwatwa fwatwa sana na waschana warembo mie siwezi kugombania bwana au kushea bwana looh, Kasinde wa watu mpoleee ila nakula ujana
My dear upendo wako ulivyo juu mbona ntanona mie? nshachekwa sana kamwili hako sijui nini nini? wewe kunenepa ni sawa la barabara ya lami kuota majani etc etc. Njoo nijiburudikie mieee walahiiiii!!!Hahahahahaaa Tized hapo ndo huwa nakupendea, halafu mbona anakazania kuwa wewe ni kimbau mbau? Mwambie kimbau mbau raha yake apate nyama nyama za size ya kati sio ile tipwa tipwa, Ntuzu inabidi ukubali yaishe tuu maana Tized kamaliza kila kitu looh
shindwa na ulegee mshana jrTajitahidi nipate picha yako kasinde nijue siri
huyu jamaa anapenda vitu vizuri ale tu yeye... Naye ashindwe na kulegea
hahahahaha nasikia iko kinachoning'inia ndio kinachopoozaga vizuri. na wadada wanavipenda maana ni multipurpose... anaweza kutumia kama mto pia (pillow)Hahahahaaaaa hapa nimekubali yaishe maana hichi kitambi changu kinavyo ning'inia Ni shida sn eti! Yani mpk kuokota kitu chini shida! Kasinde nenda tu kwa huyo huyo kimbaumbau!
Comfirmed!!!!picha ya Kasinde haichezi mbali sana na avatar yake
, Huyu jamaa hela zimemfanya aitwe mzee bado ni mbichi sana kama ExcelPoint of interaction, Tized aliniambia Mr Rocky ni mzee mwenzie labda sikuelewa mzee mwenzie in what terms, why Mr Rocky atutenganishe na Tized??? there is some information that is missing in the story............., somebody to explain pls
hahahahaaaa... umeniacha sana hoi eti unawahurumia wajawazito....kama wazee wa enzi zetu wenye vitambi.... inhiinhiiii... ngoja waje!!!!!jamani mbona hivooo??? walau sema basi nenda tu kwa Tized, upumzishe neno kimbaumbau loooh Ila fanya juhudi kitambi ukitoe hicho maana mie huwa nawaza wajawazito wanavochoka na matumbo yao ambapo wanajipa matumaini baada ya miezi 9 wanakuwa flat, sasa wanaume kitambi ndo kinakuwa chake huwa nawaonea huruma wanavobeba vitambi vyao, naona kama wamebeba mizigo bila sababu looh
Kifriza changu kwa kitaalamu huitwa ''SIX PACKS'' hahahahhaahaaaaa....
Yeahhhh a bit innocent... ngoja aje mzee wa fujo uone anavyoleta za kuleta apa cc Mr RockyHahahaaaaaaa
Ngoja waje uone vurugu zao! Yule mwingine kitambi kimemzidi Lkn anavurugu huyo? Lkn huyu Tized Ni mpole sn hana shida kabisa!
Ila wanaume jelous khaa mpaka kero,mtu asitoke kidogo..where are you na nani?kwa dakika ngapi?tuma picha nione!!
Usiombe ukapigiwa simu hata na bussiness patner hee kwa wivu wanaume nawapa salute.
Lakini wao mbona wana mambo mazito ya chinichini?
bado nimetega sikio..........:ear: