Stupid question, stupid answer

Mtu anakukuta unapima uzito,anaukuuliza vipi unapima uzito?Mjibu sipimi uzito napima wepesi.
 
noma sana hata mimi jamani etimtu anakuona umekaa kabisa juani unaota jua bado anakuliza dada unaota jua nini?ikabidi nimjbu hapana NAOTA NDOTO.
 
noma sana hata mimi jamani etimtu anakuona umekaa kabisa juani unaota jua bado anakuliza dada unaota jua nini?ikabidi nimjbu hapana NAOTA NDOTO.

na ukiwa unaota ndoto akakuuliza unaota nini?

utajibu mavu.zi au?
 
Aliye lala anaweza kujibu...ila alie usingizini manake kasinzia hawezi kujibu chochote!!
Sio wote saa sita wamesinzia...nipo pamoja na excel kama mtoa jibu hapo mwanzo alimaanisha kucnzia...na akiamka inabidi ajibu swali km kalala au hajalala ila asiseme amesinzia wakati hauwezi kujibu ukiwa umesinzia!!
 
Mtu mmekutana njiani mchana sa6 jua la utosini mnasalimiana,tena mmeshikana mikono..yupo "EBWANA UPO,HATUONANI?"tena amekukazia macho hivoo,,me...washa taa au vaa mawani..mwingine nae anakuja kauli yake ya kwanza "SEMA WEWE SIR MIMI NAONA UPO HAPO UMETULIA"
me."sema wewe sir mimi naona upo hapo umetulia."..anakuwa mkali,jamani si umesema niseme "SEMA WEWE SIR MIMI NAONA UPO HAPO UMETULIA"?pia huwa nawajibu "hapana sijatulia nacheza sebene"...kuchoshana tu!
 
mtu anakuona unacheka afu anakuuliza unacheka nini? unajibu kicheko.
mtu unakuta mlikuwa wote mitaa flan,yeye anaondoka na kwenda sehemu nyingine! baada ya muda anarudi na anakukuta palepale afu anakuuliza; oya bado upo? unamjibu sipo,nimeondoka.
 
Mtu mmekutana njiani mchana sa6 jua la utosini mnasalimiana,tena mmeshikana mikono..yupo "EBWANA UPO,HATUONANI?"tena amekukazia macho hivoo,,me...washa taa au vaa mawani..mwingine nae anakuja kauli yake ya kwanza "SEMA WEWE SIR MIMI NAONA UPO HAPO UMETULIA"
me."sema wewe sir mimi naona upo hapo umetulia."..anakuwa mkali,jamani si umesema niseme "SEMA WEWE SIR MIMI NAONA UPO HAPO UMETULIA"?pia huwa nawajibu "hapana sijatulia nacheza sebene"...kuchoshana tu!

Ha ha ha! daah,we ni nouma! nimecheka sana hiyo ya "Ebwana upo hatuonani"...hahah!! thumb up lol.
 
hahahaaa....tena mwingine anaongezea tena kwa msisitizo "mzima wewe.....mzima kabisa" :A S-frusty:aaaggrr kwani kuna mzima nusu nusu...mimi nakereka sana. au mtu anakupigia simu anakuuliza "naona upo" au "upo eeeh" kwani ulisikia sipo? :msela:
mtu anakuulza mzima?unamjibu hapana nimekufa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom