noma sana hata mimi jamani etimtu anakuona umekaa kabisa juani unaota jua bado anakuliza dada unaota jua nini?ikabidi nimjbu hapana NAOTA NDOTO.
Saa sita usiku anakuuliza umelala? We mjibu hapana niko nje naota jua
Mtu anakukuta unapima uzito,anaukuuliza vipi unapima uzito?Mjibu sipimi uzito napima wepesi.
aliyelala(aliye usingizini),anaweza kujibu chochote?haiendani bana... kuna sauti kabisa unasikia mtu hajalala au amelala...!
hapo mkuu i reject..
aliyelala(aliye usingizini),anaweza kujibu chochote?
Mtu mmekutana njiani mchana sa6 jua la utosini mnasalimiana,tena mmeshikana mikono..yupo "EBWANA UPO,HATUONANI?"tena amekukazia macho hivoo,,me...washa taa au vaa mawani..mwingine nae anakuja kauli yake ya kwanza "SEMA WEWE SIR MIMI NAONA UPO HAPO UMETULIA"
me."sema wewe sir mimi naona upo hapo umetulia."..anakuwa mkali,jamani si umesema niseme "SEMA WEWE SIR MIMI NAONA UPO HAPO UMETULIA"?pia huwa nawajibu "hapana sijatulia nacheza sebene"...kuchoshana tu!
Ha ha ha! daah,we ni nouma! nimecheka sana hiyo ya "Ebwana upo hatuonani"...hahah!! thumb up lol.[/QUOTE
Kibongo bongo tunaelewana sema nikupotezeana mda mkuu.
Mtu anakuja kukupokea stend anakuuliza "umerudi??!"...mpe jibu
mtu anakuulza mzima?unamjibu hapana nimekufa
Mtu anapiga simu saa 8 usiku,alafu anauliza umelala? namjibu "Hapana nipo nje naota jua"