Strategies for Tanzania's Economic Development

Oohhh I thought "mali ya umma" ni empowerement kwa umma kama si hivyo basi nimekosea. Basi hiyo aliyotuletea nyerere nadhani ilikuwa ni ufisadi.

Zomba,

Inaelekea hulijui kabisa Azimio la Arusha. Pia lazima ujue Ujamaa kwa miaka ya 60 ilikuwa ndio siasa iliyokuwa inafuatwa na nchi zilizo nyingi, ikiwa ni matokeo ya ubaya wa ubepari wa miaka ya 50 pamoja na matatizo yaliyokuwa yametokana na ukoloni. Kama huna habari, Nyerere mwenyewe alikuwa muumini wa siasa za kimagharibi mpaka alipobadilika baada ya Tanganyika kupata uhuru.

Pia kama umebahatika kuishi Europe, nchi kama UK, Holland au Scandinavia, utagundua kwamba ni wajamaa kuliko Tanzania ya miaka ya 80. Upebari wa sasa wa Ulaya umechukua nusu ya sura ya ujamaa kwa maana ya kwamba raia kuwa access kwenye vitu muhimu katika maisha kama elimu, afya na chakula. Huhitaji kufanya kazi au pesa ili kupata huduma hizo.

Lakini pia siasa zao zimechukua misingi ya kibepari kwenye ownership kwa maana ya kwamba individual ownership inaongeza ufanisi kuliko government ownership. Pia naona unachanganya kati ya productivity na innovation. Angalia vizuri maana ya maneno hayo mawili na huenda yakasaidia kwenye mijadala yako.

80% ya innovation inakuja kutokana na kitu kinachoitwa continous improvement na labda hiyo 20% ndio mawazo mapya kabisa. Hii nafikiri ni ishara tosha kuonyesha kwamba katika kila system kuna mambo mengi tu mazuri, hivyo huui kabisa na badala yake una improve. Azimio la Arusha lilikuwa na mambo mengi mazuri kama alivyoandika Kichuguu. Kosa tulilolifanya sisi ni kuua Azimio la Arusha na kuanzisha kitu kingine kipya kabisa. Hakukuwa na learning ya aina yoyote na ndio maana tumeanguka vibaya mno na huo ubepari wetu.

Kumuita Nyerere fisadi ni kwenda too low, unaonyesha kwa kiasi gani hata unashindwa kuelewa hata maana ya neno fisadi. At least Nyerere alituletea uhuru Watanzania, je wewe umefanya nini cha maana mpaka umuite Nyerere fisadi?
 
Ninaposema Azimio la Arusha sina maana ya exact image ya Azimio la Arusha, ila kuzingatia tena yale mambo makuu yaliyokuwa msingi wa Azimio hilo: Maendeleo kwa Msingi wa Ujamaa na Kujitegemea.

Tunachohitaji hapo ni kuangalia tena hilo neno Ujamaa katika mazingira ya leo. Ila maendeleo na kujitegemea ni mambo ambayo hayajabadilika.

Azimio lilisema: "Kujitawala ni Kujitegemea, kujitawala kwa kweli hakuwezakani iwapoa taifa moja linategemea misaada na mikopo ya taifa jingine kwa maendeleo yake." This is still true today and it will remain true even in next centrury.


Azimio lile lilisema ili tuendelee tunahitaji: Watu, Ardhi, Siasa Safi, na Uongozi Bora.

Hapa tunahitaji kunyambulisha neno Watu na kuweka bayana kuwa tunahitaji watu wenye afya thabiti, akili nzuri za ubunifu, na nguvu za kazi. Kuhusu ardhi, tunahitaji kuwa clear kuwa mali asili au raslimali za nchi, na badala ya kutumia neno Siasa safi tuseme sera sahihi za uchumi na maendeleo. Swala la Uongozi bora linabaki pale pale.

Baada ya hapo tutarudia kweka focus kwenye kuimarisha hayo mambo manne; na hasa zaidi investment kwenye watu na kuweka clear checks and balances katika mfumo wa uongozi wetu ili kuhakikisha kuwa tuna uongozi bora utakaotoa sera nzuri za uchumi na maendeleo.


Kwa ujumla ukitaka maendeleo unahitaji MTAJI (CAPITAL). Hayo mambo mengine yatakuja yenyewe.
 
..Azimio la Arusha lilikuwa ni tamko la chama, halikuwa na nguvu za kisheria. hiyo ndiyo sababu baada ya Azimio la Zenj, Jenerali Ulimwengu aliwasilisha mswaada binafsi wa maadili ya viongozi. Mswaada huo ndiyo chimbuko la sheria ya maadili ya viongozi tuliyonayo sasa hivi.

..Mimi nafikiri tatizo letu ni kujaribu kupambanisha itikadi za Ujamaa na ile ya Ubepari. Hakuna nchi ambayo ni ya Kijamaa 100% au Kibepari.

..Tujiwekee malengo ya kitaifa yanayopimika. Kusema tu tunataka kujitegemea haitoshi. Tuweke malengo, say in the next 10 years tuwe na uwezo wa kujilisha etc etc.

..Pia tuache tabia ya kutekeleza mipango ya Uchumi na Kijamii kwa njia ya Kampeni. Hii ndiyo staili ya utendaji ya awamu ya kwanza iliyotuponza. Inaelekea bado hatujakoma.

..Kwa kuanza nafikiri tuhakikishe kila mkoa na wilaya inafikiwa kwa barabara ya lami. Pia tuhakikishe tunaweza kuzifikia nchi majirani zetu kwa barabara za lami.

..Tujiwekee time line ya kuhakikisha kwamba hatusafirishi madini ghafi nje ya nchi.

..Tuhakikishe mazao ya kilimo hayaozei mashambani--ulazima wa kuwa na food processing industry.

..Vyuo vya Ufundi, Teknolojia, na Kilimo, navyo ni muhimu kwa uchumi wetu. Sijaridhika na juhudi za serikali ktk kuanzisha vyuo vya taaluma hizo.

..Pia tuachane na hii mentality ya kusema serikali haiwezi kufanya hiki ama kile, au Private sector haiwezi hili na lile. Kama kuna mahali serikali inalegalega basi tuingize msaada wa private sector. Vilevile kama private sector inashindwa kutoa msukumo na kufikia malengo basi serikali haina budi kusaidia.

NB:

..Tutafute njia za kuhakikisha tuna-maximize mapato yetu/serikali toka ktk sekta ya madini. How come China na Saudia wana makampuni ya mafuta ya serikali? How come Tanzania haina shirika/kampuni ya kuchimba dhahabu?
 
Zomba,

Inaelekea hulijui kabisa Azimio la Arusha. Pia lazima ujue Ujamaa kwa miaka ya 60 ilikuwa ndio siasa iliyokuwa inafuatwa na nchi zilizo nyingi, ikiwa ni matokeo ya ubaya wa ubepari wa miaka ya 50 pamoja na matatizo yaliyokuwa yametokana na ukoloni. Kama huna habari, Nyerere mwenyewe alikuwa muumini wa siasa za kimagharibi mpaka alipobadilika baada ya Tanganyika kupata uhuru.

Pia kama umebahatika kuishi Europe, nchi kama UK, Holland au Scandinavia, utagundua kwamba ni wajamaa kuliko Tanzania ya miaka ya 80. Upebari wa sasa wa Ulaya umechukua nusu ya sura ya ujamaa kwa maana ya kwamba raia kuwa access kwenye vitu muhimu katika maisha kama elimu, afya na chakula. Huhitaji kufanya kazi au pesa ili kupata huduma hizo.

Lakini pia siasa zao zimechukua misingi ya kibepari kwenye ownership kwa maana ya kwamba individual ownership inaongeza ufanisi kuliko government ownership. Pia naona unachanganya kati ya productivity na innovation. Angalia vizuri maana ya maneno hayo mawili na huenda yakasaidia kwenye mijadala yako.

80% ya innovation inakuja kutokana na kitu kinachoitwa continous improvement na labda hiyo 20% ndio mawazo mapya kabisa. Hii nafikiri ni ishara tosha kuonyesha kwamba katika kila system kuna mambo mengi tu mazuri, hivyo huui kabisa na badala yake una improve. Azimio la Arusha lilikuwa na mambo mengi mazuri kama alivyoandika Kichuguu. Kosa tulilolifanya sisi ni kuua Azimio la Arusha na kuanzisha kitu kingine kipya kabisa. Hakukuwa na learning ya aina yoyote na ndio maana tumeanguka vibaya mno na huo ubepari wetu.

Kumuita Nyerere fisadi ni kwenda too low, unaonyesha kwa kiasi gani hata unashindwa kuelewa hata maana ya neno fisadi. At least Nyerere alituletea uhuru Watanzania, je wewe umefanya nini cha maana mpaka umuite Nyerere fisadi?

Silijuwi lakini nilikuwepo na madhila tuliyoyapata yanatosha kunifanya nisilijuwe wala nisitake kulijuwa.
 
Zomba,

Inaelekea hulijui kabisa Azimio la Arusha. Pia lazima ujue Ujamaa kwa miaka ya 60 ilikuwa ndio siasa iliyokuwa inafuatwa na nchi zilizo nyingi, ikiwa ni matokeo ya ubaya wa ubepari wa miaka ya 50 pamoja na matatizo yaliyokuwa yametokana na ukoloni. Kama huna habari, Nyerere mwenyewe alikuwa muumini wa siasa za kimagharibi mpaka alipobadilika baada ya Tanganyika kupata uhuru.

Pia kama umebahatika kuishi Europe, nchi kama UK, Holland au Scandinavia, utagundua kwamba ni wajamaa kuliko Tanzania ya miaka ya 80. Upebari wa sasa wa Ulaya umechukua nusu ya sura ya ujamaa kwa maana ya kwamba raia kuwa access kwenye vitu muhimu katika maisha kama elimu, afya na chakula. Huhitaji kufanya kazi au pesa ili kupata huduma hizo.

Lakini pia siasa zao zimechukua misingi ya kibepari kwenye ownership kwa maana ya kwamba individual ownership inaongeza ufanisi kuliko government ownership. Pia naona unachanganya kati ya productivity na innovation. Angalia vizuri maana ya maneno hayo mawili na huenda yakasaidia kwenye mijadala yako.

80% ya innovation inakuja kutokana na kitu kinachoitwa continous improvement na labda hiyo 20% ndio mawazo mapya kabisa. Hii nafikiri ni ishara tosha kuonyesha kwamba katika kila system kuna mambo mengi tu mazuri, hivyo huui kabisa na badala yake una improve. Azimio la Arusha lilikuwa na mambo mengi mazuri kama alivyoandika Kichuguu. Kosa tulilolifanya sisi ni kuua Azimio la Arusha na kuanzisha kitu kingine kipya kabisa. Hakukuwa na learning ya aina yoyote na ndio maana tumeanguka vibaya mno na huo ubepari wetu.

Kumuita Nyerere fisadi ni kwenda too low, unaonyesha kwa kiasi gani hata unashindwa kuelewa hata maana ya neno fisadi. At least Nyerere alituletea uhuru Watanzania, je wewe umefanya nini cha maana mpaka umuite Nyerere fisadi?

Vyovyote itavyokuwa nyerere was a big failure in economy and many other things too.
 
Zomba,

Inaelekea hulijui kabisa Azimio la Arusha. Pia lazima ujue Ujamaa kwa miaka ya 60 ilikuwa ndio siasa iliyokuwa inafuatwa na nchi zilizo nyingi, ikiwa ni matokeo ya ubaya wa ubepari wa miaka ya 50 pamoja na matatizo yaliyokuwa yametokana na ukoloni. Kama huna habari, Nyerere mwenyewe alikuwa muumini wa siasa za kimagharibi mpaka alipobadilika baada ya Tanganyika kupata uhuru.

Pia kama umebahatika kuishi Europe, nchi kama UK, Holland au Scandinavia, utagundua kwamba ni wajamaa kuliko Tanzania ya miaka ya 80. Upebari wa sasa wa Ulaya umechukua nusu ya sura ya ujamaa kwa maana ya kwamba raia kuwa access kwenye vitu muhimu katika maisha kama elimu, afya na chakula. Huhitaji kufanya kazi au pesa ili kupata huduma hizo.

Lakini pia siasa zao zimechukua misingi ya kibepari kwenye ownership kwa maana ya kwamba individual ownership inaongeza ufanisi kuliko government ownership. Pia naona unachanganya kati ya productivity na innovation. Angalia vizuri maana ya maneno hayo mawili na huenda yakasaidia kwenye mijadala yako.

80% ya innovation inakuja kutokana na kitu kinachoitwa continous improvement na labda hiyo 20% ndio mawazo mapya kabisa. Hii nafikiri ni ishara tosha kuonyesha kwamba katika kila system kuna mambo mengi tu mazuri, hivyo huui kabisa na badala yake una improve. Azimio la Arusha lilikuwa na mambo mengi mazuri kama alivyoandika Kichuguu. Kosa tulilolifanya sisi ni kuua Azimio la Arusha na kuanzisha kitu kingine kipya kabisa. Hakukuwa na learning ya aina yoyote na ndio maana tumeanguka vibaya mno na huo ubepari wetu.

Kumuita Nyerere fisadi ni kwenda too low, unaonyesha kwa kiasi gani hata unashindwa kuelewa hata maana ya neno fisadi. At least Nyerere alituletea uhuru Watanzania, je wewe umefanya nini cha maana mpaka umuite Nyerere fisadi?

Man in order to succeed you have to look at your history, where you have gone wrong hutakiwi uparudie, ujamaa, azimio la arusha was a mistake and we do not want to repeat the mistakes.

Soma kidogo hapa kuhusu hizo ..ism;

"2. Human history is full of so-called solutions to the problems of human society. Each time a solution was found, the efficacy and infallibility of the solution was accepted as being beyond doubt. Those who espouse the solution will permit no criticism or opposition. They become so fanatical that they would figuratively and sometimes literally burn the heretics at the stakes.

3. The Feudal system, Republicanism, Capitalism, Socialism and Communism are among the ideas invented by men to deal with the inequities and injustices in his society. When first introduced each was regarded as perfect by those who espouse them. They were all practised as articles of faith and anything done in their name were accepted unquestioningly. They were embellished, interpreted and reinterpreted until their originators could not recognise them anymore. But as long as the name remains, questioning or condemning them would make one a heretic.

4. But over the years their imperfections would show and result in negating the very objectives they were supposed to achieve. Unfortunately at this stage it is not the original objectives which count. The important thing is faith in the solution. Even if it destroys the society whose ills it was supposed to cure, it does not matter. It does not matter because the solution is correct."

Mahathir Muhamad.
 
Kwa ujumla ukitaka maendeleo unahitaji MTAJI (CAPITAL). Hayo mambo mengine yatakuja yenyewe.

Wow? Capital ya pesa au ya watu?

Najua kuwa capital ya pesa bila kuwa na plan ya kuzitumia, na wala watu wenye kujua kuzisimamia ziwe profitable ni as good as nothing. Zaidi ya miaka ishirini iliyopita tangu baada ya Azimio la Arusha kufa, Tanzania imepewa mapesa mengi sana na nchi za nje lakini yameshindwa kuleta manedeleo.

You need Watu wenye elimu na ubunifu, sera nzuri za uchumi, natural reseources, na uongozi wa uwazi usiokuwa corrupt; financial capital itakuja yenyewe. Hata katika level ya mtu mmoja, huwezi kupata financial capital kutoka benki kama huonyeshi kuwa na collateral na plani nzuri ya kutumia pesa hizo profitable.
 
Zomba,

Inaelekea hulijui kabisa Azimio la Arusha. Pia lazima ujue Ujamaa kwa miaka ya 60 ilikuwa ndio siasa iliyokuwa inafuatwa na nchi zilizo nyingi, ikiwa ni matokeo ya ubaya wa ubepari wa miaka ya 50 pamoja na matatizo yaliyokuwa yametokana na ukoloni. Kama huna habari, Nyerere mwenyewe alikuwa muumini wa siasa za kimagharibi mpaka alipobadilika baada ya Tanganyika kupata uhuru.

Pia kama umebahatika kuishi Europe, nchi kama UK, Holland au Scandinavia, utagundua kwamba ni wajamaa kuliko Tanzania ya miaka ya 80. Upebari wa sasa wa Ulaya umechukua nusu ya sura ya ujamaa kwa maana ya kwamba raia kuwa access kwenye vitu muhimu katika maisha kama elimu, afya na chakula. Huhitaji kufanya kazi au pesa ili kupata huduma hizo.

Lakini pia siasa zao zimechukua misingi ya kibepari kwenye ownership kwa maana ya kwamba individual ownership inaongeza ufanisi kuliko government ownership. Pia naona unachanganya kati ya productivity na innovation. Angalia vizuri maana ya maneno hayo mawili na huenda yakasaidia kwenye mijadala yako.

80% ya innovation inakuja kutokana na kitu kinachoitwa continous improvement na labda hiyo 20% ndio mawazo mapya kabisa. Hii nafikiri ni ishara tosha kuonyesha kwamba katika kila system kuna mambo mengi tu mazuri, hivyo huui kabisa na badala yake una improve. Azimio la Arusha lilikuwa na mambo mengi mazuri kama alivyoandika Kichuguu. Kosa tulilolifanya sisi ni kuua Azimio la Arusha na kuanzisha kitu kingine kipya kabisa. Hakukuwa na learning ya aina yoyote na ndio maana tumeanguka vibaya mno na huo ubepari wetu.

Kumuita Nyerere fisadi ni kwenda too low, unaonyesha kwa kiasi gani hata unashindwa kuelewa hata maana ya neno fisadi. At least Nyerere alituletea uhuru Watanzania, je wewe umefanya nini cha maana mpaka umuite Nyerere fisadi?

Tusifungane kamba sasa. Ujamaa una aina zake. Na ule wa Scandinavia ni tofauti sana na wa Tanzania. Na hiki ndio kitu cha kuangalia wakati huu wa sasa tunapotafuta dira za kuendeleza nchi kiuchumi.

Nchi ulizozitaja hazikuwa na centralized economy katika ujamaa wao. Kilichofanyika kutoa huduma za jamii kwa wote na bure.

Ujamaa wa Tanzania ulikuwa wa centralized economy. Serikali ilijishughulisha moja kwa moja na uzalishaji kama ilivyokuwa Korea ya kaskazini, Cuba, Urusi.

Usawa wa binadamu uishie kwenye kula, kulala na kunywa maji. Lakini kwenye historia na uwezo wa mataifa usawa haupo. Nchi za Scandinavia zilitawala Urusi, zilitawala UK na viking walikuwa wa kwanza kwenda Marekani kabla ya Columbus. Holland walikuwa ni Merchant wazuri tu, wamejenga New York, Indonesia na tukijaribu kuwaiga siasa zao tutapasuka msamba tu.

Ujamaa ni siasa zinazoongezea taifa matumizi ya serikali. Nchi hizi walikuwa wanatumia kile kilichozalishwa toka enzi za mababu zao. Na gharama zikizidi serikali zao ziliweza kupandisha kodi na kulipa madeni na gharama za ziada bila kutegemea wahisani (Kujitegemea).

Tanzania hili itoe huduma za shule tu inabidi kuomba au kukopa madeni yasiolipwa. Na ukiwaongezea kodi watu ili walipe gharama zao, wengi wako tayari kurudi kwenye maisha yao ya ujima kuliko kulipa gharama zenyewe.

Azimio la Arusha halina uzuri wake (period). Ukienda kwa watu masikini na kuwapa ahadi nzuri za maisha bora, wapo tayari kukubali mawazo yao. Na kukubaliana kwao kutatokana na wao kufikiri kuwa wanaweza kuruka umasikini wao bila kufanya juhudi kubwa.
 
Wow? Capital ya pesa au ya watu?

Najua kuwa capital ya pesa bila kuwa na plan ya kuzitumia, na wala watu wenye kujua kuzisimamia ziwe profitable ni as good as nothing. Zaidi ya miaka ishirini iliyopita tangu baada ya Azimio la Arusha kufa, Tanzania imepewa mapesa mengi sana na nchi za nje lakini yameshindwa kuleta manedeleo.

You need Watu wenye elimu na ubunifu, sera nzuri za uchumi, natural reseources, na uongozi wa uwazi usiokuwa corrupt; financial capital itakuja yenyewe. Hata katika level ya mtu mmoja, huwezi kupata financial capital kutoka benki kama huonyeshi kuwa na collateral na plani nzuri ya kutumia pesa hizo profitable.


Kichuguu:

Mbona unajikanyaga sasa. Wa-communist wali-invent term Human Capital. Kwa hiyo capital ni neno pana sana. Na ukiangalia Human Capital utaona siasa za kijamaa na azimio la arusha zilivurunda sana katika Human Capital. Na hii ni tofauti kubwa sana na nchi zingine za kijamaa kama China au Cuba.

Nyie mlicho kazania ni uzalishaji wa pamoja ulioleta kuzorota kwa maendeleo. Kwa mfano mtu mmoja akiwa ana uwezo wa kulima robo heka kwa siku (wastani). Na watu 4 wenye uwezo sawa na wakifanya kazi pamoja watalima heka moja. Ufanyaji kazi wao hauongezi uzalishaji kwa sababu kwa wastani kila mtu bado atalima robo heka. Hivyo miaka ya Ujamaa Tanzania haikufanya lolote zaidi ya kuvurunda tu.


Katika miaka 20 ya kuachana na Ujamaa Tanzania ilikuwa inatumia sehemu kubwa ya mapato ya nchi kulipa madeni ambayo yanatokana na Ujamaa na Azimio la Arusha. Deni lililokuwa linalipwa ni mara nne ya bajeti ya wizara ya elimu. Siku zote mnaomba Azimio la Arusha lirudi lakini hamtaki kuongelea madeni yaliochwa na azimio hilo.

Kuhusu ubunifu nakubaliana na wewe kabisa tunahitaji watu wenye ubunifu. Lakini kurudisha au ku-recycle azimio la Arusha huo sio ubunifu.
 
..Azimio la Arusha lilikuwa ni tamko la chama, halikuwa na nguvu za kisheria. hiyo ndiyo sababu baada ya Azimio la Zenj, Jenerali Ulimwengu aliwasilisha mswaada binafsi wa maadili ya viongozi. Mswaada huo ndiyo chimbuko la sheria ya maadili ya viongozi tuliyonayo sasa hivi.

..Mimi nafikiri tatizo letu ni kujaribu kupambanisha itikadi za Ujamaa na ile ya Ubepari. Hakuna nchi ambayo ni ya Kijamaa 100% au Kibepari.

..Tujiwekee malengo ya kitaifa yanayopimika. Kusema tu tunataka kujitegemea haitoshi. Tuweke malengo, say in the next 10 years tuwe na uwezo wa kujilisha etc etc.

..Pia tuache tabia ya kutekeleza mipango ya Uchumi na Kijamii kwa njia ya Kampeni. Hii ndiyo staili ya utendaji ya awamu ya kwanza iliyotuponza. Inaelekea bado hatujakoma.

..Kwa kuanza nafikiri tuhakikishe kila mkoa na wilaya inafikiwa kwa barabara ya lami. Pia tuhakikishe tunaweza kuzifikia nchi majirani zetu kwa barabara za lami.

..Tujiwekee time line ya kuhakikisha kwamba hatusafirishi madini ghafi nje ya nchi.

..Tuhakikishe mazao ya kilimo hayaozei mashambani--ulazima wa kuwa na food processing industry.

..Vyuo vya Ufundi, Teknolojia, na Kilimo, navyo ni muhimu kwa uchumi wetu. Sijaridhika na juhudi za serikali ktk kuanzisha vyuo vya taaluma hizo.

..Pia tuachane na hii mentality ya kusema serikali haiwezi kufanya hiki ama kile, au Private sector haiwezi hili na lile. Kama kuna mahali serikali inalegalega basi tuingize msaada wa private sector. Vilevile kama private sector inashindwa kutoa msukumo na kufikia malengo basi serikali haina budi kusaidia.

NB:

..Tutafute njia za kuhakikisha tuna-maximize mapato yetu/serikali toka ktk sekta ya madini. How come China na Saudia wana makampuni ya mafuta ya serikali? How come Tanzania haina shirika/kampuni ya kuchimba dhahabu?


JokaKuu:

Unagusa patamu sasa. Matakwa ya chama yabakie matakwa ya chama. Azimio la Arusha yalikuwa matakwa ya chama. Nchi iendeshwe kisheria.
 
Wow? Capital ya pesa au ya watu?

Najua kuwa capital ya pesa bila kuwa na plan ya kuzitumia, na wala watu wenye kujua kuzisimamia ziwe profitable ni as good as nothing. Zaidi ya miaka ishirini iliyopita tangu baada ya Azimio la Arusha kufa, Tanzania imepewa mapesa mengi sana na nchi za nje lakini yameshindwa kuleta manedeleo.

You need Watu wenye elimu na ubunifu, sera nzuri za uchumi, natural reseources, na uongozi wa uwazi usiokuwa corrupt; financial capital itakuja yenyewe. Hata katika level ya mtu mmoja, huwezi kupata financial capital kutoka benki kama huonyeshi kuwa na collateral na plani nzuri ya kutumia pesa hizo profitable.

Kichuguu,

Yaani! we acha tu. Hii mijadala mingine, inafika mahali wakati mwingine ni bora kukaa kimya kwi kwi kwi!!!

Ungemwambia huyo mheshimiwa kwamba kwa wenzetu Capital ndio kitu cha mwisho maana ukiwa na vitu hivyo vingine ulivyovitaji, capital ipo tu, maana bank wana mapesa ambayo wanataka kuwapa wenye ubunifu, sera nzuri na organisational structure nzuri. Lakini Mtanzania anasema nipe mapesa mengine yatakuja, wooh!kama hili lingelikuwa kweli, mtu anaweza kupata noble prize ya economics.

Kuna haja ya kuanzisha somo la ujasiriamali tokea secondary schools maana inaelekea vijana wetu wengi wanaota ndoto za Alinacha. Kumbe ndio maana JK alikuja na mabilioni ya JK, yametumbukia kwenye maji na hali ya wananchi bado iko pale pale.
 
Kichuguu:

Mbona unajikanyaga sasa. Wa-communist wali-invent term Human Capital. Kwa hiyo capital ni neno pana sana. Na ukiangalia Human Capital utaona siasa za kijamaa na azimio la arusha zilivurunda sana katika Human Capital. Na hii ni tofauti kubwa sana na nchi zingine za kijamaa kama China au Cuba.

Nyie mlicho kazania ni uzalishaji wa pamoja ulioleta kuzorota kwa maendeleo. Kwa mfano mtu mmoja akiwa ana uwezo wa kulima robo heka kwa siku (wastani). Na watu 4 wenye uwezo sawa na wakifanya kazi pamoja watalima heka moja. Ufanyaji kazi wao hauongezi uzalishaji kwa sababu kwa wastani kila mtu bado atalima robo heka. Hivyo miaka ya Ujamaa Tanzania haikufanya lolote zaidi ya kuvurunda tu.

Angalia tena postings zangu; sikusema kuwa twende tukopi Azimio la Arusha la 1967 kama homoemorphism, yaani one to one mapping kama lilivyo. Nilikubaliana na Steve kuwa kuna haja ya kurudia Azimio lile na kuondoa mapungufu yake. Mapungufu makubwa katika Azimio lile yalikuwa ni yale ya kuendesha uchumi wa nchi nzima kijamaa na hivyo kuua moyo wa ubunifu wa watu. Lakini mambo mengine kama vile investment katika watu kwa kupambana na maadui wa ujinga magonjwa na dhuluma yanatakiwa yarudishwa. Vile vile tunatakiwa kujenga uongozi wa wazi unaowajibiki kwa nchi ikiwa ni pamoja kuimarisha utawala wa kisheria, kujenda demokrasi thabiti ambamo mipango ya nchi inapangwa kwa uwazi ikiangalia maslahi ya nchi, na hivyo kuondokana na rushwa kama hizi za Richmond.

Katika miaka 20 ya kuachana na Ujamaa Tanzania ilikuwa inatumia sehemu kubwa ya mapato ya nchi kulipa madeni ambayo yanatokana na Ujamaa na Azimio la Arusha. Deni lililokuwa linalipwa ni mara nne ya bajeti ya wizara ya elimu. Siku zote mnaomba Azimio la Arusha lirudi lakini hamtaki kuongelea madeni yaliochwa na azimio hilo.

Nimeshasema kuwa tatizo lilikuwa kwenye Ujamaa. Nadhani umeelewa.

Pamoja na ubaya wa ujamaa, napenda kukumbusha kuwa ukuaji wa deni la nje la Tanzania ulianza haraka sana baada ya Nyerere kuondoka madarakani. Mara tu baada ya kutangazwa kwa Azimio la Arusha na kutaifisha mali za binafsi (ambayo kweli ilikuwa ni kosa kubwa sana) Tanzania haikupata mikopo sana kutoka nchi za nje; kukosekana kwa mikopo hiyo ndiko kulikopelekea nchi kushindwa kujiendesha mara baada ya vita, na hasa baada ya Nyerere kukataa masharti ya IMF. Tanzania ilianza kupata mikopo tena wakati wa Mwinyi baada ya kufikia makubaliano na IMF.

Kuhusu ubunifu nakubaliana na wewe kabisa tunahitaji watu wenye ubunifu. Lakini kurudisha au ku-recycle azimio la Arusha huo sio ubunifu.

Microsoft Windows Operating System ilianza kama Microsoft DOS mwaka 1984. Baadaye ikafanyiwa ukarabati na kuwa MS DOS 2.0, ikaendelea na kufanyiwa ukarabati kidogo kidogo kwa kuondoa mapungufu yaliyoonekana na kuongeza features mpaka mwanzoni mwa miaka ya 90 ikabadilika kuwa MS Windows ambayo nayo iliendelea mkiufanyiwa ukarabati mpka leo hii tuna Windows Vista. Recycling kwa kuondoa mabaya na kuongeza mazuri ni sehemu ya ubunifu. Magari yote unayoendesha leo hii ni matokeo ya kurecycle Quadracycle ya Ford ya mwaka 1896.
 
Kichuguu,
You need Watu wenye elimu na ubunifu, sera nzuri za uchumi, natural reseources, na uongozi wa uwazi usiokuwa corrupt; financial capital itakuja yenyewe. Hata katika level ya mtu mmoja, huwezi kupata financial capital kutoka benki kama huonyeshi kuwa na collateral na plani nzuri ya kutumia pesa hizo profitable

Hii inatosha kabisa mkuu wangu...

Na hilo Azimio la Arusha kama mtu anashindwa kuelewa kuwa tupo ktk dunia ya Utandawazi hivyo kuna mambo yanayotakiwa kuwa edited basi huyo ana matatizo yake binafsi...

Kifupi hata hao CCM wenyewe bado wanadai kuwa Azimio la Zanzibar halipo kutengua Azimio la Arushwa isipokuwa kufanya marekebisho muhimu kwa sababu ya Utandawazi. Ukweli tumekuja gundua ni Azimio linalowabeba viongozi na yalipitishwa na chama kimoja.

Sasa tunaporudisha Azimio la Arusha ni lazima litazamwe kupitia mifumo tofauti ya kisiasa na pia kibiashara. Pengine lugha nzuri sio kutumia Azimio maanake hii inakuwa kama sera za chama zaidi ya dira ya kitaifa..

Tunachohitaji ni sheria zinazowafunga viongozi na wananchi wote kuwa ktk sysytem ambayo haina msalie. Kazi kazi hakuna cha lelelmama wala ufisadi. Pengine kuanzisha malipo kwa saa unazoshiriki kazini ama kuzalisha. Kilimo kiwe uti wa mgongo ambapo tumaini la trickle down lipo wazi kufufua viwanda vyetu... NI muhimu kuazia chini kutafuta maendeleo sio juu kama tunavyofanya leo hii kiasi kwamba Utalii na madini yamepewa kipaumbele hali infractrure yetu mbovu sana ktk sekta nyinginezo...

Nitakubaliana na mawazo ya Steve mara mia na ndiyo njia pekee ya kukomesha uzembe na ufujaji wa mali zetu. Nje ya hapo maendeleo yatakuwa sawa na Mkerewe alokosa samaki, akaamua kumchora ukutani kusindikiza tonge la ugali..machungu gani hayo jamani mweee!
 
  • one: - Destruction of the current oligopolistic-oligarchical system.


  • two: - Bring in Azimio la Arusha.


  • three: - Re-evaluate and modernise ujamaa na kujitegemea policy.


SteveD.

..naona unataka kuturudisha stone age wewe,this time wote wajanja na hakuna mtu mtaforce ahamie sehemu mnayotaka nyie kwa promise kanyaboya ya maji na umeme,yaani mawazo haya ya kutiana umaskini ya 1947 ni ajabu sana kuna watu bado wanataka kuturudisha huko kwenye mambo ya chama kushika hatamu na hata kumiliki guest house au kufanya kazi mbili is a crime...mungu atusaidie!
 
Angalia tena postings zangu; sikusema kuwa twende tukopi Azimio la Arusha la 1967 kama homoemorphism, yaani one to one mapping kama lilivyo. Nilikubaliana na Steve kuwa kuna haja ya kurudia Azimio lile na kuondoa mapungufu yake. Mapungufu makubwa katika Azimio lile yalikuwa ni yale ya kuendesha uchumi wa nchi nzima kijamaa na hivyo kuua moyo wa ubunifu wa watu. Lakini mambo mengine kama vile investment katika watu kwa kupambana na maadui wa ujinga magonjwa na dhuluma yanatakiwa yarudishwa. Vile vile tunatakiwa kujenga uongozi wa wazi unaowajibiki kwa nchi ikiwa ni pamoja kuimarisha utawala wa kisheria, kujenda demokrasi thabiti ambamo mipango ya nchi inapangwa kwa uwazi ikiangalia maslahi ya nchi, na hivyo kuondokana na rushwa kama hizi za Richmond.



Nimeshasema kuwa tatizo lilikuwa kwenye Ujamaa. Nadhani umeelewa.

Pamoja na ubaya wa ujamaa, napenda kukumbusha kuwa ukuaji wa deni la nje la Tanzania ulianza haraka sana baada ya Nyerere kuondoka madarakani. Mara tu baada ya kutangazwa kwa Azimio la Arusha na kutaifisha mali za binafsi (ambayo kweli ilikuwa ni kosa kubwa sana) Tanzania haikupata mikopo sana kutoka nchi za nje; kukosekana kwa mikopo hiyo ndiko kulikopelekea nchi kushindwa kujiendesha mara baada ya vita, na hasa baada ya Nyerere kukataa masharti ya IMF. Tanzania ilianza kupata mikopo tena wakati wa Mwinyi baada ya kufikia makubaliano na IMF.



Microsoft Windows Operating System ilianza kama Microsoft DOS mwaka 1984. Baadaye ikafanyiwa ukarabati na kuwa MS DOS 2.0, ikaendelea na kufanyiwa ukarabati kidogo kidogo kwa kuondoa mapungufu yaliyoonekana na kuongeza features mpaka mwanzoni mwa miaka ya 90 ikabadilika kuwa MS Windows ambayo nayo iliendelea mkiufanyiwa ukarabati mpka leo hii tuna Windows Vista. Recycling kwa kuondoa mabaya na kuongeza mazuri ni sehemu ya ubunifu. Magari yote unayoendesha leo hii ni matokeo ya kurecycle Quadracycle ya Ford ya mwaka 1896.


Kichuguu:

IMF mara nyingi sio chombo cha mikopo. Chombo cha mikopo ni World Bank. IMF wanachoangalia ni Miundo ya uchumi wa nchi na nini nifanyike.

Tanzania ilikopeshwa sana na World Bank kabla ya uchumi wetu kuanguka kabisa. Kasome sera za Robert MacNarama, aliyekuwa rais wa Benki ya dunia kati ya 1968 mpaka 1981. Jamaa huyu alitoa mikopo mingi kwa nchi za dunia ya Tatu hili kuongeza huduma za jamii. Na alikuwa anasema Benki ya dunia ikiweza kusomesha watu na kutoa huduma za afya basi nchi za dunia ya tatu zinaweza kuendelea. Lakini wakati anaondoka madarakani nchi zote alizokopesha zilikuwa kwenye madeni makubwa ikiwemo Tanzania. Hizi data zipo, jaribu ku-google zitakuja tu.

Kuna critics wa namna mbili wa Robert MacNarama. Wale wa upande wa kulia wanasema kuwa Benki ya dunia ingeshugulikia kazi zake za kibenki kama ilivyo miaka ya nyuma na kuachana na kutoa huduma za jamii. Kumbuka kabla Robert MacNarama ajakuwa rais wa benki ya dunia, benki hiyo ilikuwa inamkatalia kumpa mikopo kwa sababu ya sera zake.

Critics wa upande wa kushoto wanasema Robert MacNarama alikuwa ni waziri wa ulinzi wa Marekani. Na aliacha kazi hiyo na kuwa rais wa benki ya dunia hili kupambana na nchi za kijamaa kwa kutumia mikopo. Hivyo Marekani haikuwa na haja ya kupambana kijeshi na Ujamaa wa Kitanzania na walitumia mikopo.

Kwa vyovyote vile watanzania mlikuwa naive na mikopo na ikatumika vizuri ku-prove kuwa ujamaa ulikuwa ni wrong.

Kuhusu MS-DOS. Kuna tofauti kubwa sana. Kwa wewe mtumiaji unayepewa look and feel unaona DOS iliendelea mpaka kufikia Vista. Lakini architecture ni tofauti sana.

Vilevile kuhusu magari naona umechukua mfano kutoka kwenye kile kitabu cha Nyerere cha hotuba zake za UJAMAA. Na hapo babu kifimbo alikuwa wrong. Ford hakufanya invention ya magari. Kabla ya 1896 Magari yalikuwa yanatembelea duniani. Alichofanya Ford katika utengenezaji wa magari ni kutumia falsafa ya Adam Smith. Adam Smith alisema kuwa uzalishaji unaongezeka kwa watu ku-specialize na kufanya kitu kimoja. Ukiwa na kiwanda cha viatu, basi mtu mmoja kazi yake iwe kutengeza soli, mwingine kushona ngozi, mwingine kukata ngozi na mwingine kuunganisha vitu vyote. Lakini ikiwa mtu mmoja anatengeza viatu kuanza mwanzo mpaka mwisho basi uzalishaji unakuwa mdogo.

Kwa mtaji wa Adam Smith, Ford alichofanya ni kuanzisha assembly line katika utengenezaji wa magari. Kina mfanyakazi alikuwa na kazi moja tu na mtindo huu ulizidisha uzalishaji wa magari na kupunguza bei.

Ujamaa na Azimio la Arusha ni kitu kimoja. Ujamaa ilikuwa ni nadharia na Azimio la Arusha implementation.
 
Hii inatosha kabisa mkuu wangu...

Na hilo Azimio la Arusha kama mtu anashindwa kuelewa kuwa tupo ktk dunia ya Utandawazi hivyo kuna mambo yanayotakiwa kuwa edited basi huyo ana matatizo yake binafsi...

Kifupi hata hao CCM wenyewe bado wanadai kuwa Azimio la Zanzibar halipo kutengua Azimio la Arushwa isipokuwa kufanya marekebisho muhimu kwa sababu ya Utandawazi. Ukweli tumekuja gundua ni Azimio linalowabeba viongozi na yalipitishwa na chama kimoja.

Sasa tunaporudisha Azimio la Arusha ni lazima litazamwe kupitia mifumo tofauti ya kisiasa na pia kibiashara. Pengine lugha nzuri sio kutumia Azimio maanake hii inakuwa kama sera za chama zaidi ya dira ya kitaifa..

Tunachohitaji ni sheria zinazowafunga viongozi na wananchi wote kuwa ktk sysytem ambayo haina msalie. Kazi kazi hakuna cha lelelmama wala ufisadi. Pengine kuanzisha malipo kwa saa unazoshiriki kazini ama kuzalisha. Kilimo kiwe uti wa mgongo ambapo tumaini la trickle down lipo wazi kufufua viwanda vyetu... NI muhimu kuazia chini kutafuta maendeleo sio juu kama tunavyofanya leo hii kiasi kwamba Utalii na madini yamepewa kipaumbele hali infractrure yetu mbovu sana ktk sekta nyinginezo...

Nitakubaliana na mawazo ya Steve mara mia na ndiyo njia pekee ya kukomesha uzembe na ufujaji wa mali zetu. Nje ya hapo maendeleo yatakuwa sawa na Mkerewe alokosa samaki, akaamua kumchora ukutani kusindikiza tonge la ugali..machungu gani hayo jamani mweee!


Mkandara:

Siku zote wanasiasa wanacheza na vichwa vya masikini. Ukiwa rais na kusema kuanzia leo hakuna matajiri kuendesha magari, uhakika ni kuwa wananchi wa kawaida wasio na magari watakushangilia.

Maazimio yoyote yalikuwa ni ya kuwapa masikini matumaini ya uongo kwa sababu za kisiasa. Na miaka ilivyokwenda masikini wamebaki masikini.

Watanzania wengi tumefumbuka macho na mambo ya maazimio yawekwe pembeni na utawala wa sheria ufuate mkondo hili masikini ajione kuwa ni wajibu wake na sio wa serikali kutafutia furaha (Pursuit of Happiness).
 
Mambo ya Azimia la Arusha ni typical dictatorship, kwa wale ambao practically wanajua/wamefanya/wamewekeza business Tanzania wanajua kitu kinachorudisha nyuma maendeleo ya kukua kwa biashara zao ni serikali kutokana na non sense regulations/policy zao ambazo nyingi ni za kutaka kuwa na control katika uchumi wa nchi kitu ambacho ndio mwanzo wa udikteta katika uchumi na mwanzo wa umaskini.

Serikali haizalishi chochote na wakati huo huo ina supress wazalishaji ambao ndio walipaji wa kodi unategemea nini? Na lazima mjue Tax code yetu ni disaster kwa uchumi wetu sio tuu TRA ni tatizo hata kodi iko juu sana na ndio maana corruption is all over kwa sababu ukifanya deals legally profit yote itaishia kwenye fees & taxes na bila kusahau takrima/rushwa sasa ni cost of doing business.

Jaribuni kufanya study ndogo tuu ya biashara ya aina yeyote Tanzania kama Hotel au daladala mtagundua kitu kinachoua na kufanya watu wawe failure ni serikali & high taxes...tuanze kwa serikali kubadilisha udikteta wake na kuwapa watu uhuru wa kujifanyia mambo yao kihalali bila kuingiliwa na stupid regulations na kupunguza kodi nafikiri itasaidia sana.
 
Koba na Bin Maryam,

Naomba liweke Azimio la Arusha hapa kisha tujadili maanake unachojaribu kujenga hapa ni jinsi tulivyojenga Azimio hilo badala ya kutazama Azimio lenyewe..

Mthalan, Ukiwa na Azimio la kujenga Nyumba kwa familia yako, haina maana utatazama Azimio hilo kulingana na nyumba ya Mjamaa mzee kibule aliyeezeka nyumba yake kwa udongo. Laa Azimio ni zile fikra za ujenzi wa nyumba na kwa ajili gani sasa unaweza jenga nyumba leo hii kwa azma hiyo hiyo na ikawa ktk hali ya kileo na kwa ajili ya falimia yako..

Pili, Msisitizo kwa wana familia nzima kushiriki ktk ujenzi wa nyumba hiyo haina maana ni lazima kila mmoja abebe tofali kama ilivyosemwa na Michuzi kule kwenye uchumi wa Kirusi...COWMATICS - Laa hasha, kushirki kwa wananchi ktk azma hiyo kunaweza kuwa ktk hali nyingi na tofauti maadam wananchi wote wenye uwezo wa kufanya kazi wanawezeshwa ili kujenga kile mlichokusudia.

Kama alivyoelezea mwandishi kule kwa Michuzi, tatizo la Tanzania tuna ng'ombe wawili tunakula wote kisha tunaomba msaada.... Azimio ni kuhakikisha ng'ombe hao wanaboresha maisha ya wananchi, mikakati itakayo tumika ni sera za kila chama lakini tukiwa na malengo endelevu.

Mwisho mkuu wangu, swala hapa ni kuondoa - Confict of interest, Azimio la Zanzibar halikuja na hoja yoyote mpya zaidi ya kuhakikisha ngo'mbe wote tunaopata wanaliwa...

Nimeshangazwa na hivi vifijo vya ujio wa Bush kuwa tumepata mikopo hali Wadanganyika wanafahamu kuwa Tanzania tumekuwa tukipata mikopo ya Mellenium Challenge toka utawala wa Mkapa, Bush alipounda Account hiyo. Tumepokea mabillioni enzi ya Mkapa na tena kapewa sifa kubwa kuwa ni kiongozi pekee ktk Africa na nchi masikini aliyepigana na Corruption,.. hiyo ni 2003 -2004! sasa leo hii tunashangilia haya bila kufahamu kuwa Bush kampa mgonjwa wa Kijugu (drug addict), fedha za kwenda lewa zaidi.

Tuwe wakweli mkuu wangu let's face the truth na sio kusingizia Azimio la Arusha kwa kigezo cha mbinu alizotumia Mwalimu, bado tunao ng'ombe wetu wawili kinachotakiwa ni kuweka Azimio litakalo hakikisha ng'ombe hao wapo kwa faida ya wananachi wote na sio fungu la watu wachache.

Mkuu wangu give me a break, Mkapa kuwa kiongozi wa kusifiwa kweli?...
 
Mkandara,Azimio la Arusha was a sad and failure chapter for our country,sasa halipo na believe me halitarudi tena labda insane people waamue kulirudisha lakini ujue it'll be blood kuja kuchukua shamba na nyumba yangu kama mlivyofanya 1967,na sijui kwanini mnataka kurudisha stupid policy za 1967 ambazo ukweli ndio zimetuongezea njaa tuu,sasa tunaenda mbele with free market Economy AKA capitalism...low taxes + less regulations + small government = innovations,freedom and prosperity,upo hapo mkuu sasa tuache hadithi za kudhulumiana mashamba na nyumba za 1967 hapa!
 
Hii inatosha kabisa mkuu wangu...

Na hilo Azimio la Arusha kama mtu anashindwa kuelewa kuwa tupo ktk dunia ya Utandawazi hivyo kuna mambo yanayotakiwa kuwa edited basi huyo ana matatizo yake binafsi...

Kifupi hata hao CCM wenyewe bado wanadai kuwa Azimio la Zanzibar halipo kutengua Azimio la Arushwa isipokuwa kufanya marekebisho muhimu kwa sababu ya Utandawazi. Ukweli tumekuja gundua ni Azimio linalowabeba viongozi na yalipitishwa na chama kimoja.

Sasa tunaporudisha Azimio la Arusha ni lazima litazamwe kupitia mifumo tofauti ya kisiasa na pia kibiashara. Pengine lugha nzuri sio kutumia Azimio maanake hii inakuwa kama sera za chama zaidi ya dira ya kitaifa..

Tunachohitaji ni sheria zinazowafunga viongozi na wananchi wote kuwa ktk sysytem ambayo haina msalie. Kazi kazi hakuna cha lelelmama wala ufisadi. Pengine kuanzisha malipo kwa saa unazoshiriki kazini ama kuzalisha. Kilimo kiwe uti wa mgongo ambapo tumaini la trickle down lipo wazi kufufua viwanda vyetu... NI muhimu kuazia chini kutafuta maendeleo sio juu kama tunavyofanya leo hii kiasi kwamba Utalii na madini yamepewa kipaumbele hali infractrure yetu mbovu sana ktk sekta nyinginezo...

Nitakubaliana na mawazo ya Steve mara mia na ndiyo njia pekee ya kukomesha uzembe na ufujaji wa mali zetu. Nje ya hapo maendeleo yatakuwa sawa na Mkerewe alokosa samaki, akaamua kumchora ukutani kusindikiza tonge la ugali..machungu gani hayo jamani mweee!
I believe in Education nothing else,

Maana strategies must be configured in hierarchical model with full of protocols.

Kama huna wasomi hizo protocol hawatazielewa wala kuzifuata na hatma yake the failure of whole system.
 
Back
Top Bottom