Strabag phase III: Kiama cha parking Kariakoo chaja

Strabag phase III: Kiama cha parking Kariakoo chaja

Picha!

paking zinazopakiwa saivi na baadae itavokua tutadhimini nini hasara yake na faida yake kabla ya ujenzi.

Tummeeona makosa mengi tujifunze kwa yaliyopita hata hao watakaotengenza wanaweza kupitia hapa hata kwa bahati mbaya kupats michango yetu.
 
Picha!

paking zinazopakiwa saivi na baadae itavokua tutadhimini nini hasara yake na faida yake kabla ya ujenzi.

Tummeeona makosa mengi tujifunze kwa yaliyopita hata hao watakaotengenza wanaweza kupitia hapa hata kwa bahati mbaya kupats michango yetu.

Hasara kubwa zaidi itakuwa kwa manispaa ya Ilala kukosa chanzo muhimu cha mapato yatokanayo na maegesho
 
namkubali sana Sabodo kujenga Parking ya Ghorofa, tungekua na Parking zaidi kama zile ingekua safi sana.
 
Katika hali ya kawaida hii barabara itakua kwa ajili ya mabasi tu maana itakua nyembamba kuanzia fire hadi kamata. Sasa magari ya kawaida itakuaje?
 
Katika hali ya kawaida hii barabara itakua kwa ajili ya mabasi tu maana itakua nyembamba kuanzia fire hadi kamata. Sasa magari ya kawaida itakuaje?

Zitafanyika modifications za kufa mtu kama ilivyotokea Morogoro Rd kuanzia bibi titi
 
Zitafanyika modifications za kufa mtu kama ilivyotokea Morogoro Rd kuanzia bibi titi
Nachojiulza hiyo foleni ya msimbazi wakat wa ujenzi itakuwaje?na pia hizi daladala za kawaida zitapita wapi?pale kisutu naona chemba zinatema maji ambayo yanapenya kwenye barabara za mradi je kariakoo na chemba zake zile itakuaje?
 
Nachojiulza hiyo foleni ya msimbazi wakat wa ujenzi itakuwaje?na pia hizi daladala za kawaida zitapita wapi?pale kisutu naona chemba zinatema maji ambayo yanapenya kwenye barabara za mradi je kariakoo na chemba zake zile itakuaje?

Kutakuwa na dirvation jangwani kupitia mitàa ya nyuma mpaka msimbazi
 
Huwa mnanishangaza sana nyie wenye magari madogo! Mnajifikiria nyie tu kukosa parking kwa nini hamfikirii mamia watakaonufaika na hayo mabasi?! Wewe na gari yako kukosa parking na bus la watu 150 linaloweza kupakia watu 3000 kwa siku kipi muhimu?! Ni bora wewe ukose parking lakini watu 3000 wafike kariakoo kwa raha sasa utachagua wewe mmoja uwa join hawa 3000 au uache maanake wao hawawezi kuku join we we!
 
Naona bado ni mradi tata kwasababu wanaotaka mfano mbezi au kibaha wakifika Kimara magari yao wanapaki wapi? pia wanaokuja na daladala watatumia stendi gani kimara? au wanaotoka mjini wakifika kimara wanandia wapi magari ya kwenda mbezi au mlandizi? Ni hayo tuu
 
Naona bado ni mradi tata kwasababu wanaotaka mfano mbezi au kibaha wakifika Kimara magari yao wanapaki wapi? pia wanaokuja na daladala watatumia stendi gani kimara? au wanaotoka mjini wakifika kimara wanandia wapi magari ya kwenda mbezi au mlandizi? Ni hayo tuu

Kila siku tunaelimishana kuhusu hili na tusichoke. Sehemu ambazo mradi haufiki kutakuwa na smaller buses zinafika huko. Kuhusu parking huoni ni fursa hio imejitokeza?! Pale mradi unapoanzia nunua kiwanja weka uzio,kibanda cha mlinzi gari moja 2000 au 3000 kwa siku! Ukilaza gari 100 minimum una 200,000 au 300,000 per day!
 
Kila siku tunaelimishana kuhusu hili na tusichoke. Sehemu ambazo mradi haufiki kutakuwa na smaller buses zinafika huko. Kuhusu parking huoni ni fursa hio imejitokeza?! Pale mradi unapoanzia nunua kiwanja weka uzio,kibanda cha mlinzi gari moja 2000 au 3000 kwa siku! Ukilaza gari 100 minimum una 200,000 au 300,000 per day!

Seriously umenifungua macho RRONDO kuna fursa hapo
 
Last edited by a moderator:
Itabidi wenye magari wa pande mabasi tu
Siyo lazima kila mtu aende na gari kko
 
Back
Top Bottom