Strabag phase III: Kiama cha parking Kariakoo chaja

Strabag phase III: Kiama cha parking Kariakoo chaja

Inasemekana barabara zimekwisha gaiwa baadhi ya watu akiwemo Bakhresa na Simon group
 
Ha ha ha ha! Sio mbaya wajukuu zako wataifaidi! Unajua London underground system Ina miaka zaidi ya 150?! Waliojenga sijui wako wapi sasa hivi!

Hata mifupa yao ineshayeyuka
 
Katika miradi ambayo pesa inapigwa kiulaini mshana jr ni huu wa dart.. Yaan kama wakiamua kufanya auditing nadhani hesabu yake inakimbilia kwenye escrow kule.. Ila kama wameloga vile.. wala hakuna anaewataja au kuwanyoshea vidole lol
 
Last edited by a moderator:
Namaamisha ile barabara yatakuwa yanapita hayo mabasi pekee, walo design hiyo barabara ilipaswa pembeni gari ndogo zin apita kama ilivyo morogoro road na hayo mabasi yapite katika njia yake vinginevyo kutakuwepo na usumbufu mkubwa sana,
 
Katika miradi ambayo pesa inapigwa kiulaini mshana jr ni huu wa dart.. Yaan kama wakiamua kufanya auditing nadhani hesabu yake inakimbilia kwenye escrow kule.. Ila kama wameloga vile.. wala hakuna anaewataja au kuwanyoshea vidole lol

Hii ishu inaongelewa sana ila bado iko chini ya carpet muda ukifika hapatatosha tuombeane u zima
 
Last edited by a moderator:
Nafasi iliopo inatosha kujenga bila kuvunja ghorofa la mtu! Seriously unataka ghorofa la mtu livunjwe ujengewe parking?! Lingekuwa ghorofa lako ungeshauri hivyo hivyo?!

Atakuwa shabiki wa Yanga huyo
 
Namaamisha ile barabara yatakuwa yanapita hayo mabasi pekee, walo design hiyo barabara ilipaswa pembeni gari ndogo zin apita kama ilivyo morogoro road na hayo mabasi yapite katika njia yake vinginevyo kutakuwepo na usumbufu mkubwa sana,

Mchango mzuri ila username Mmh.. . !!!
 
Ha ha ha ha! Sio mbaya wajukuu zako wataifaidi! Unajua London underground system Ina miaka zaidi ya 150?! Waliojenga sijui wako wapi sasa hivi!

Hii miradi ya bongo ni ya kulipua tu, miaka kumi ni mingi sana. Huoni baadhi ya maeneo ya Route ya Kimara-Ferry yameshaanza kuharibika hata kabla ya kuanza kutumika?
 
Hii miradi ya bongo ni ya kulipua tu, miaka kumi ni mingi sana. Huoni baadhi ya maeneo ya Route ya Kimara-Ferry yameshaanza kuharibika hata kabla ya kuanza kutumika?

Uharibifu mnaufanya wananchi. Service road za watembea kwa miguu mnafanya parking,mnauza mihogo,mahindi. Mnatupa takataka kwenye mitaro unategemea Strabag wafanye nini?!
 
Uharibifu mnaufanya wananchi. Service road za watembea kwa miguu mnafanya parking,mnauza mihogo,mahindi. Mnatupa takataka kwenye mitaro unategemea Strabag wafanye nini?!

Mpaka imebidi barabara iwekewe vigingi ambavyo hata hivyo vingi vimeshagongwa
 
Mpaka imebidi barabara iwekewe vigingi ambavyo hata hivyo vingi vimeshagongwa

Pale manzese ukiwa unaelekea ubungo kuna foleni kubwa sana inasababishwa na daladala kusimama njiani kwasababu chinga wameweka bidhaa zao kuanzia service road mpaka chini barabarani ambapo daladala zilitakiwa zisimame na kuacha Barbara free!
 
Pale manzese ukiwa unaelekea ubungo kuna foleni kubwa sana inasababishwa na daladala kusimama njiani kwasababu chinga wameweka bidhaa zao kuanzia service road mpaka chini barabarani ambapo daladala zilitakiwa zisimame na kuacha Barbara free!

Ile sehemu ni kimeo kuna barabara nzuri tu ya lami pale inayoelekea mburahati imeshabinafsishwa na hawa jamaa haipitiki kabisa hasa kwa gari
 
Kuna parking itakuwa jangwani ...hapo mtaacha Magari ....mje na bus

Pia kuna Makaburi ya Karume ...Mara zote Serikali inataka kukamilika kuhamisha ...mwanzoni walihamisha baadhi kwenda Segerea Barabara ipite ..Sasa yaliyobaki yatatoka
 
Back
Top Bottom