Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,725
- 830,787
- Thread starter
- #41
Ila tache utani hii project ni nzuri
Ni kweli kabisa lakini ina makosa mengi ya kiufundi na gharama kubwa bila sababu kwa mfano hakuna japo vituo vichache vya dharura wakati wa breakdown morogoro Rd zaidi ya Manzese na Jangwani, hili kosa limerekebishwa kwa kipande cha Magomeni -Morocco
Vituo vikubwa na vya gharama kubwa bila sababu zile foundation za vile vituo nilidhani yanajengwa magorofa manake kwa jinsi zilivyo imara unaweza kujenga hata gorofa tatu+