lameckkawawa
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 944
- 665
MISS TANZANIA
SEHEMU YA 52
MTUNZI: PATRICK.CK
CONTACT : 0764294499
ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA
“Pole Patrick.Mambo haya yote yatakwisha japokuwa ni ngumu na itachukua muda kumsahau Vero lakini naomba ujitahidi kwa kila namna kuizoea hali hii na kuiona ya kawaida”
“Nitajitahidi Savanna.I’ll be ok” akasema Patrick halafu wakazungukia nyumba yake yote na walipomaliza wakaingia garini na kuondoka kurejea katika makazi ya Savanna
ENDELEA……………..
Siku zilizidi kusonga huku Patrick akijitahidi kujaribu kusahau mambo yote ya nyuma na kuanza maisha mapya.Bado aliendelea kuishi nyumbani kwa Savanna.Maisha ndani ya nyumba hii yalikuwa mazuri,aliishi yeye,Savanna pamoja na mtumishi wa ndani,.
Siku moja mwishoni mwa wiki Savanna alimuomba Patrick watoke kwa ajili ya matembezi.Walikwenda katika hoteli moja kubwa na tulivu iliyokuwa na ufukwe mzuri na msafi.Savanna alikuwa amejitahidi sana kwa kila namna alivyoweza ili kumsahaulisha Patrick yaliyopita na kumfanya awe na furaha lakini bado alionekana kuna jambo linamnyima raha.
“Patrick ni jambo gani hasa linalokunyima raha? Tafadhani naomba unieleze .Mimi ni rafiki yako na kama kuna jambo lolote ambalio linakufanya usie na furaha naomba unieleze mimi nitakusaidia.” Akasema Savanna wakiwa ufukweni.
“Savanna wewe ni zaidi ya rafiki yangu kwa hiyo siwezi kukuficha kitu.Kitu kinachoninyima raha ni pale ninapowaza kuhusu maisha yangu.Kama unavyojua nimepoteza kila kitu pamoja na mwelekeo mzima wa maisha yangu.Nimepoteza kazi yangu na mpaka sasa hakuna hata kampuni moja iliyoonyesha dalili za kuniajiri tena.Ninajiona kama nina laana vile lakini hata hivyo nahitaji kusahau kilichotokea na kuanza maisha mapya lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda najikuta nikishindwa namna ya kuweza kuanza tena maisha yangu na kujitegemea mimi mwenyewe.Sijisikii vizuri ninapokutegemea wewe katika kila jambo”
Savanna akatabasamu na kusema
“Pole Patrick lakini hukupaswa kuumiza kichwa chako namna hiyo.Ulipaswa kunieleza kuhusu jambo hilo kwani tayari ninalifahamu hilo na nina mipango mizuri kwa ajili yako ila sikuweza kukueleza mapema kwa sababu nilikuwa nataka nikwambie wakati kila kitu kimekamilika.Kwa ufupi tu ni kwamba nimeanzisha kiwanda cha kusindika nyama na muda wowote kuanzia sasa kitaanza kazi.Wewe ndiye utakayekuwa meneja wa kiwanda hicho.
.majukumu yote ya uendeshaji wa kiwanda hiki yako juu yako kwa hiyo usiumize kichwa chako kuhusiana na ajira,you are a manager now.” Akasema Savanna huku akicheka.Patrick akashindwa kujizuia akasimama akamkumbatia Savanna kwa furaha.
“Savanna ni kitu gani nimekufanyia hadi ukanifanyia mambo yote haya? Nitakulipa kitu gani? Patrick akasema huku akimtazama Savanna
“Ni wajibu wangu kufanya hivi nifanyavyo Patrick na hutakiwi kunilipa chochote .Nina imani hata mimi ningekuwa katika hali kama yako ungefanya kama nifanyavyo mimi.Isnt it Patrick?
“Ndiyo Savanna .Ningefanya kama ufanyavyo.Nisingethubutu kukuona ukiwa katika hali kama yangu.Naomba nikiri kwamba ni hali ngumu sana lakini nimeweza kuvumilia na kufika hapa kutokana na jitihada za watu wachache wanaonuipenda na kunijali wakiongozwa na wewe Savanna ,watu ambao wamesimama nami toka dakika ya kwanza ya matatizo yangu na hadi leo bado wako nami.Nina deni kubwa kwako Savanna na sijui nitalilipaje.” akasema Patrick halafu akainamisha kichwa chini akazama katika mawazo ghafla.
“Patrick unawaza nini? Akauliza Savanna baada ya kumuona Patrick amebadilika ghafla
“Savanna nimekumbuka kesi yangu.Kila mara niwazapo kuhusu kesi hii ninashindwa kujizuia kuogopa.Ninafikiria itakuwaje endapo nitahukumiwa kifungo gerezani na kushindwa kutimiza malengo yangu.Sitaki kufungwa jela kwa sababu ya mtu asiyekuwa na thamani kwangu hata kidogo.”
“Patrick siku zote nimekuwa nikikwambia kwamba usiwaze chochote kuhusiana na kesi hii. Mambo yote niachie mimi na nitalishughulikia suala hili na litakwisha.I give you my word Patrick” akasema Savanna huku akitabasamu .Kikapita kimya cha dakika mbili kila mmoja akiwaza lake
“Patrick ..!! akaita Savanna.Patrick akamtazama usoni
“Kuna jambo ambalo nataka kukueleza”
“Jambo gani Savanna?
“Patrick najua ni namna gani unavyoumia kila siku moyoni kwa haya yaliyotokea.Ninayaona maumivu yako na kuyahisi na kunifanya na mimi pia niumwe kwa kukuona ukiwa katika hali hii ya mateso makubwa ya moyo.Patrick nafahamu kwamba si rahisi kuyasahau yaliyotokea na kuanza maisha mapya kwa haraka.Itachukua muda kuwasahau wapendwa wako,vero,Happy na baba yako.Hawa ni watu uliowazoea na kuwapenda lakini leo hii hawako tena nawe.Pamoja na kwamba kumbu kumbu zao bado zinakujia ,lakini ni wakati sasa wa kuwaacha waende na wewe uuruhusu moyo wako uanze maisha mapya.Its time now to let them go.Kuondoka kwao si mwisho wa maisha yako wala ndoto zako .Bado unayo maisha marefu na yenye furaha lakini pale tu utakapoufungua moyo wako na kuuruhusu uanze maisha mapya.Ufungue moyo wako sasa kwa wale wanaokupenda na kukujali na kuwa tayari kusimama nawe katika nyakati zote za shida au raha.Pamoja na yaliyotokea lakini bado unahitaji kuwa na marafiki na hata mtu ambaye unaweza tena kumwamini na kumkabidhi moyo wako.” Akasema Savanna.Patrick akamuangalia kwa makini halafu akatabasamu na kusema
“Unamaanisha nini Savanna unaposema mtu ambaye ninaweza kumwamini na kumkabidhi moyo wangu?
“Ninamaanisha kwamba you have to learn to love again.Only love can help you forget the past” Akasema Savanna na kumfanya Patrick atabasamu na kucheka kidogo
“Mbona unacheka Patrick? Ni kosa la jinai kupenda? Akauliza Savanna
“Si kosa la jinai lakini…………………………”
“ Lakini ……………? Akauliza Savanna
“Sina hakaika kama moyo wangu uko tayari kupenda tena Savanna.Kidonda nilichonacho moyoni kilichosababishwa na mapenzi kitachukua muda mrefu kupona..Nimeumizwa sana na pengine sintaweza kupenda tena.Pengine nitaishi maisha yangu yote yaliyobakia nikiwa mwenyewe.Sintavumilia tena maumivu yoyote ya kuumizwa.Kuna watu katika dunia hii hawajaumbwa ili kupenda na ninaamini mimi ni mmoja wao” akasema Patrick katika hali ya kukata tamaa kabisa
“Patrick nafahamu ni namna gani ulivyoumizwa. Sisi sote tunaumizwa na mapenzi .Lakini mimi bado nasisitiza kwamba kuuruhus moyo wako kupenda tena kutakusaidia sana katika kusahau mambo yaliyopita.Find yourself someone who truly loves you and I swear you’ll be Happy again” akasema Savanna
“Hata kama nikiamua kupenda tena ni nani nitakayempenda? Nani ambaye nitamuamini katika ulimwengu huu wa sasa na kumkabidhi moyo wangu tena? Savanna naomba niwe wazi kwako kwamba sioni sababu ya kupenda tena kwani kila mara nilipojaribu kupenda nimeishia kuumizwa moyo wangu tu.Nilimpenda mno Happy na nilikuwa tayari kufanya lolote kwa ajili yake,niliwahi hadi kuua kwa ajili yake lakini ona jeraha alilonitia moyoni..I’m hurt Savanna..’m deeply hurt.”Akasema Patrick.Savanna akamshika mikono na kumuangalia usoni.
“Patrick si wanawake wote ni wabaya na wanaweza kukuumiza kama ulivyoumizwa.Usiuamini ule msemo usemao samaki mmoja akioza na wote wameoza.Bado kuna wnawake wazuri ,wenye kukupenda ,kukujali na kukuthamini,wanawake ambao kwao una maana kubwa sana.Tafadhali usiufunge moyo wako kwa mwanamke kama huyu”
“Savanna hata wale niliokuwa nao Happy na Vero walinipenda kwa mioyo yao yote.Walinijali na kunithamini.Kwa ufupi ni kwamba sina tatizo na wanawake hata kidogo lakini sina uhakika wa kupenda tena kwa sababu niliwapenda kwa moyo wangu wote.Kuna nyakati ninahisi kama dunia inaniadhibu.The world has been so cruel to me so even if I’ll start a new relationship it wont work out and I’ll get hurt again.Sitaki kuumia tena” akaendelea kusisitiza Patrick
“Patrick,Mungu ametuleta hapa duniani tuyafurahie maisha na ndiyo maana akaumba mwanamke na mwanaume kwa hiyo si sahihi kusema au kuamini kwamba kuna watu ambao wameshushwa katika hii dunia kwa ajili ya kuishi wao wenyewe bila kuwa na mahusiano.Kama kuna watu wa namna hiyo basi Mungu angewaumba bila kuwa na jinsia” akasema Savanna halafu wote wawili wakacheka sana.Savanna akaendelea
“Ninavyoamini mimi ni kwamba kila mtu ana haki ya kuwa katika mahusiano labda upende mwenyewe kutokujihusisha na mahusiano kama vile watawa na makasisi lakini hata hao watawa wanaishi chini ya uangalizi maalum tena mkali ili kuwasaida wasiweze kuingia katika vishawishi vya kimahusiano.Tukirudi katika swala lako lingine,si kweli kwamba dunia imekuwa katili sana kwako ,dunia si mbaya hata kidogo ,dunia inatupenda wote na ndiyo maana wote tunavuta hewa sawa,inatupa mazao na kila kitu.Binadamu waishio juu ya dunia ndiyo wabaya na kwa upande wako ni kwamba you fell I love with wrong people.People whom you’re not meant to be with” akasema Savanna,Patrick akatabasamu halafu akasema
“Maneno yako yanaweza kuwa na ukweli Savanna kwa sababu kuna usemi usemao kwamba kila jambo linafanyika kwa sababu maalum.Inawezekana ni kweli nilipenda watu ambao hawakuwa sahihi kwangu.Hata hivyo nahitaji kulifikiri tena suala hili kabla ya kuamua kuingia katika mahusiano mengine na nina hakika inaweza ikanichukua muda mrefu sana.Kwa sasa nataka nielekeze nguv na akili yangu katika kazi yangu mpya” akasema Patrick
“Hilo ni jambo la msingi sana Patrick.Hutakiwi kuidhulumu nafsi yako.You need to be Happy and to be be Happy you need to love and be loved ” Akasema Savanna .Patrick hakujibu kitu
“It’s getting late Patrick.Twende tuondoke .Leo nataka tukaandae pamoja chakula cha usiku.Unakumbuka ni muda mrefu sana umepita toka tulipoandaa kwa pamoja chakula cha usiku?” Akasema Savanna
“Wow ! That’s great Idea.Ni siku nyingi sana sijaingia jikoni kupika .Nakumbuka sana nyakati zile tulizokuwa tukiandaa chakula pamoja. “ akasema Patrick huku akicheka kidogo
“Unapenda tupike nini kwa ajili ya usiku wa leo? Akauliza Savanna
“Kitu chochote utakachopenda tupike Savanna mimi niko tayari.” Akajibu Patrick na kumfanya Savanna atabasamu
“Today we’re going to have a very special dinner just for two of us.Lets make this night a wonderful and memorable one.” Akasema Savanna kisha wakaondoka.
Kabla ya kuelekea nyumbani walipita kwanza kununua vitu mbali mbali ambavyo wangependa kuvitumia kwa ajili ya usku huo.Walipofika nyumbani,waliingia jikoni na kuanza maandalizi kwa pamoja.Kitendo cha kushirikiana kuandaa chakula kile kilimpa Patrick furaha ya ajabu sana na kumkumbusha nyakati zile wakati bado alikuwa katika mahusiano ya sirina Savanna
Mpaka kufika saa mbili za usiku,chakula kilikuwa tayari.Savanna akamuomba Patrick amuachie yeye kazi zilizobakia na yeye aende akajiandae kabla ya kupata mlo huo wa usiku wazo ambalo Patrick alilikubali na kwenda kujiandaa
“Tonight is the night .I’ve been waiting for this night for so long.Leo hii Patrick lazima awe wangu tena” akawaza Savanna huku akitabasamu baada ya Patrick kuondoka mle jikoni
“Baada ya usiku wa leo nitaamka nikiwa mikononi mwa mwanaume ninayempenda sana kuliko wote.After tonight I’ll be complete and no one than death can separate us again.Patrick will be mine forever” akawaza Savanna wakati akiandaa meza
Kwa upande wake Patrick baada ya kuingia chumbani kwake,moja kwa moja aliingia bafuni akajimwagia maji
“Namshukuru sana Savanna kwani kwa sasa najisikia vizuri na nina nguvu ya kuendelea na maisha yangu mapya. Bila yeye sijui ningekuwa katika hali gani hivi sasa” akawaza Patrick halafu akaendelea kujimwagia maji .Wakati akiendelea kuoga akakumbuka kitu halafu akatabasamu
“ Katika siku zote ambazo nimekuwa na Savanna ,siku ya leo nimejikuta nikiwa na furaha sana na hasa zoezi la kupika pamoja,zoezi ambalo limenikumbusha nyakati zile nilizokuwa naye katika mahusiano ya siri .Niliwahi kuwa katika mapenzi mazito na Savanna,nakumbuka wakati ule nilikuwa na furaha sana japokuwa nilikuwa tayari katika mahusiano na Vero.Savanna alinionyesha mapenzi ya dhati na moyo wangu ulifurahi .Nilikubali kuachana naye kwa shingo upande pale alipompata George.Kama nisingekuwa katika mahusiano na Vero kwa wakati ule basi tayari ningekuwa nimekwisha funga ndoa na Savanna kwani ni mwanamke mwenye kila sifa ya kuwa mke bora .Zaidi ya yote bado ananipenda kwa dhati ya moyo wake na ndiyo maana amejitolea kwa hali na mali katika kuhakikisha kwamba suala la kesi yangu linakwisha na ninakuwa huru tena.” Akawaza Patrick na kisha akaendelea kuoga
“Hata mimi toka ndani kabisa ya moyo wangu ninakiri kwamba bado ninampenda Savanna.Ninahisi yeye anaweza kuwa ndiye mwanamke anayenifaa,lakini kutokana na msaada mkubwa alionisaidia ninasita kuziamsha tena hisia za mapenzi kati yetu” akawaza Patrick halafu akaendelea kuoga.Sura ya Savanna wakiwa jikoni wakipika pamoja ikamjia kichwani akatabasamu
“She have a pretty face,macho mazuri,shepu nzuri na sauti kama malaika.Savanna ni mwanamke bora na mzuri kupita kiasi” akawaza Patrick kisha akatoka mle bafuni
Savanna aliendelea na zoezi la kuandaa meza kwa ajili ya chakula cha usiku.Alizima taa na kuwasha mishumaa na kupafanya mahala pale pawe pa kuvutia sana.Alipohakikisha kila kitu kiko sawa akaenda chumbani kwake kujiandaa kwa ajili ya usiku huo ambao aliupanga uwe maalum kwake
* * * *
“Huu ni usiku wangu wa pekee kabisa ni usiku ambao nimekuwa nikiuota kwa muda mrefu.Ni usiku ambao nitalala nikiwa kifuani kwa Patrick.” Mawazo hayakumkauka Savanna wakati akimalizia kujipaka rangi ya mdomo halafu akajitazama katika kioo na kutabasamu.Alikuwa amependeza sana.Alivaa gauni refu jepesi la rangi jeupe ambalo lilionyesha hadi nguo ya ndani.Akageuka akajitazama na kutabasamu halafu akachukua uturi wa gharama kubwa na kujipulizia kisha akatoka mle chumbani.Patrick alikuwa bado chumbani kwake wakati Savanna alipowasili sebuleni.Savanna akampigia simu na kumtaarifu kwamba muda wa kupata chakula cha usiku umewadia.
Patrick akatoka chumbani na kuelekea sebuleni.Mara tu alipoingia ,akapigwa na mshangao kwa alichokikuta.Sebule ilikuwa imebadilika na kuwa na mandhari ya kuvutia mno.Taa zote zilikuwa zimezimwa na kilichokuwa kinawaka ni mishumaa iliyopapendezesha mahala pale na kupafanya pa pekee kabisa.
“Wow ! amazing “ akasema Patrick huku akitabasamu
“karibu Patrick” akasema Savanna kwa sauti laini huku akiinuka pale sofani alipokuwa amekaa na kwenda kumshika Patrick mkono akaumuongoza kuelekea katika meza ya chakula.Japokuwa mwanga ulikuwa hafifu lakini Patrick aliweza kulishuhudia vyema vazi la Savanna na kusisimka mwili kwani aliweza kuiona hadi nguo ya ndani aliyokuwa amevaa .Mapigo ya moyo wake yakaanza kumuenda kasi.Ni muda mrefu sasa umepita hajawahi kusisimkwa mwili.Savanna na Patrick wakaangaliana kwa sekunde kadhaa Savanna akauliza
“Mbona unaniangalia hivyo Patrick?
“You are so amazing tonight” akajibu Patrick
“Thank you” akajibu Savanna kisha wakaelekea katika meza iliyokuwa imesheheni vyakula vya aina mbali mbali walivyoviandaa
“Karibu chakula Patrick,chakula ambacho ni maalum kwetu.Just for tonight let us forget the world and enjoy the night.Let us make our own world ” Akasema Savanna.
Waliendelea kula taratibu huku wakisindikizwa na muziki laini.Kila Patrick alipomtazama Savanna alisisimka mwili wake kutokana na kuzishuhuhudia chuchu za kuvutia za Savanna ambazo zilikuwa zinaonekana kwa urahisi kutokana na vazi lile alilokuwa amevaa lililoonyesha kila kitu.Taratibu akahisi mtafaruku katika sehemu za ikulu ambazo zilikuwa zimechachamaa kupita maelezo.
“Gosh ! haya ni majaribu makubwa sana.Savanna ananiweka katika wakati mgumu mn😵uh jamani nitafanya nini mimi? Akawaza Patrick huku akiendelea kumtazama Savanna ambaye alikuwa ameinamisha kichwa.Ghafla akainua kichwa na kugundua kwamba Patrick alikuwa anamuangalia akatabasamu
Baada ya kumaliza kula Savanna akamuomba Patrick waelekee katika sofa lililokuwa na meza ndogo pembeni iliyokuwa na chupa tatu za mvinyo pamoja na glasi mbili.
“Na tunywe kwa furaha huku tukitakiana maisha marefu” akasema Savanna huku akiisogelea glasi yake iliyokuwa na mvinyo karibu na Patrick wakagonganisha glasi.Waliendelea kunywa na kadiri muda ulivyozidi kusonga ndivyo maongezi na vicheko vilivyozidi.Walikumbushana mambo mengi na hasa nyakati zile walizokuwa wapenzi,Ulikuwa ni wakati wa furaha mno kwa wote.Maongezi yalikolea na kulikuwa na kila dalili kwamba walianza kulemewa na kilevi.Savanna akainuka pale alipokuwa amekaa na kuelekea katika redio akaweka muziki laini sana halafu akamfuata Patrick
“Patrick can we dance?
Bila ubishi Patrick akainuka akakumbatiana na Savanna wakaanza kucheza.Patrick akahisi kama chaji za umeme zinapita mwilini mwake pale kifua cha Savanna kilichobeba chuchu laini kilipokigusana na kifua chake.Kadiri muziki ulivyokuwa ukienda ndivyo walivyojikuta wakikumbatiana kwa nguvu zaidi.Muziki ulimalizika lakini bado waliendelea kukumbatiana kwa nguvu .Taratibu Savanna akaupeleka mkono wake wa kulia chini kidogo ya kiuno cha Patrick na kukutana na kitu kigumu kilichotuna.Taratibu na kwa ufundi Savanna akakishika kitu kile kilichotuna na kumfanya Patrick atoe mguno na kuhema kwa nguvu kisha akampiga Savanna busu zito lililomfanya aweweseke.Taratibu Patrick akausogeza mdomo wake karibu na Savanna na kuutoa ulimi wake na zoezi la kunyonyana ndimi likaanza huku wakishikana na kutomasana sehemu mbali mbali za mwili.Wote wawili walikuwa wakihema kwa nguvu na kila mmoja akiongea maneno ambayo mwenzie hakuweza kuyaelewa.
“Ouh,Ouh,ouh Patrick take ..m.me..to ..parr….r..paradise” akasema Savanna kwa sauti yenye kukwama kwama.Alikuwa hajiwezi tena kwa raha alizozisikia.Patrick akamuinua na kwenda naye chumbani.Kilichoendelea huko ni miguno na vilio vya utamu uliopitiliza
* * * *
Mlio wa saa ya ukutani ndio uliomstua Patrick akafumbua macho na kutazama ukutani kulikokuwa na saa kubwa.Ilikuwa ni saa mbili za asubuhi.Pembeni yake alikuwa amelala Savanna akiwa katika usingizi mzito.Patrick akamtazama na kutabasamu
“Gosh ! Usiku wa jana kamwe sintausahau katika maisha yangu.Sijawahi kuwa na usiku wa kipekee kama ule.Nilijihisi kama nimetoka kabisa katika ulimwengu huu.Ouh Savanna I didn’t know how much I still love you.Umenirudishia tena furaha yangu iliyopotea.” akawaza Patrick halafu akainama na kumbusu Savanna shavuni na mara Savanna akafumbua macho.
“Ouh Patrick thank you so much.You are so sweet” akasema Savanna
“Thank you for the wonderfull night.Sijawahi kuwa na usiku mzuri kama wa jana.Nimekuwa nikiuota usiku kama ule kwa miaka mingi.Ahsante sana Patrick..Ahsante sana” akasema Savanna akamvuta tena Patrick kwake na kumpa busu zito.Patrick akatabasamu na kusema
“Savanna you are wonderfull,you are amazing.Baada ya usiku wa jana,najiona mtu mpya.Savanna naomba nitamke kwamba najiona ni kama mfalme mwenye nguvu mwenye uwezo wa kufanya chochote nikiwa nawe.Umenipa nguvu na matumaini.Siku zote nitaendelea kumshukuru Mungu kwa kunikutanisha nawe.Nina uhakika mkubwa kwamba kukutana kwetu haikuwa kwa bahati mbaya.Mungu alikuwa na makusudi yake na ndiyo maana leo hii ninathubutu kutamka kwamba pamoja na kwamba tuliachana na kila mmoja akaendelea na maisha yake ,lakini bado moyoni mwangu una nafasi ya kipekee kabisa.Bado ninakupenda Savanna na hata siku moja upendo wangu kwako haujapungua.Sitaki kubishana na moyo wangu kwamba wewe ndiye mwanamke ambaye umeumbwa kwa ajili yangu.Savanna ninaombi moja kwako” Patrick akanyamaza akamtazama Savanna ambaye machozi yalikuwa yanamtoka
“Omba chochote Patrick nitakupatia” akasema Savanna huku akifuta machozi yale ya furaha
“Savanna pengine ombi langu kwako linaweza kuwa gumu hasa kutokana na matukio ambayo yamekuwa yananitokea lakini napenda kuwa wazi kwako kwamba ninaomba nafasi nyingine katika moyo wangu.Ninakubaliana na maneno uliyoniambia jana kwamba natakiwa kuufungua moyo wangu tena.Nimeufungua moyo wangu kwako na nina imani wewe ndiye pekee ambaye utaweza kunisahaulisha mambo yote yaliyopita na kunifanya niwe na maisha yenye furaha sana hapa duniani.Naomba uwe malkia wangu Savanna.” Patrick aliyasema maneno haya taratibu na kwa hisia kubwa.Mara tu alipomaliza kusema ya moyoni mwake,Savanna aliinuka kwa kasi na kulitupa shuka pembeni kisha akamkumbatia Patrick kwa nguvu.Alikuwa akiweweseka huku akimpiga Patrick mabusu mfululizo
“Patrick unataka kunipa uchizi.Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikiota kuusikia mdomo wako ukitamka meneo haya mazito uliyonitamkia sasa hivi.Patrick nashukuru sana na sina cha kusema zaidi ya kukuhakikishia kwamba siku zote moyo wangu ulikuwa na nafasi kwa ajili yako pekee.Niliamini siku moja mimi na wewe tutakuwa pamoja hata kama si katika maisha haya basi katika maisha mengine baada ya kufa.Nimekuwa nikimuomba sana Mungu kwa jambo hili lakini hatimaye leo hii limekuwa kweli.Huu ni kama muujiza kwangu.Patrick nakukabidhi moyo wangu na kila kilicho changu.Naomba unitawale ee mfalme wangu.Niamuru chochote nitakutii” akasema Savanna kwa hisia kali huku akitokwa na machozi ya furaha.Ilikuwa ni kama ndoto.Hakuamini kama ile ndoto yake ya siku nyingi ya kuwa na Patrick leo hii imekuwa kweli.Walikumbatiana kwa furaha huku wakiepeana mabusu mfululizo na taratibu wakajikuta wakianza kuhama katika ulimwengu huu na kwenda katika ulimwengu uliojaa mahaba mazito.Migumo na mihemo ya kimahaba ndivyo vilitawala chumba hiki.Patrick akaufungua mpya wa mapenzi na Savanna.
TUKUTANE SEHEMU IJAYO...............
SEHEMU YA 52
MTUNZI: PATRICK.CK
CONTACT : 0764294499
ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA
“Pole Patrick.Mambo haya yote yatakwisha japokuwa ni ngumu na itachukua muda kumsahau Vero lakini naomba ujitahidi kwa kila namna kuizoea hali hii na kuiona ya kawaida”
“Nitajitahidi Savanna.I’ll be ok” akasema Patrick halafu wakazungukia nyumba yake yote na walipomaliza wakaingia garini na kuondoka kurejea katika makazi ya Savanna
ENDELEA……………..
Siku zilizidi kusonga huku Patrick akijitahidi kujaribu kusahau mambo yote ya nyuma na kuanza maisha mapya.Bado aliendelea kuishi nyumbani kwa Savanna.Maisha ndani ya nyumba hii yalikuwa mazuri,aliishi yeye,Savanna pamoja na mtumishi wa ndani,.
Siku moja mwishoni mwa wiki Savanna alimuomba Patrick watoke kwa ajili ya matembezi.Walikwenda katika hoteli moja kubwa na tulivu iliyokuwa na ufukwe mzuri na msafi.Savanna alikuwa amejitahidi sana kwa kila namna alivyoweza ili kumsahaulisha Patrick yaliyopita na kumfanya awe na furaha lakini bado alionekana kuna jambo linamnyima raha.
“Patrick ni jambo gani hasa linalokunyima raha? Tafadhani naomba unieleze .Mimi ni rafiki yako na kama kuna jambo lolote ambalio linakufanya usie na furaha naomba unieleze mimi nitakusaidia.” Akasema Savanna wakiwa ufukweni.
“Savanna wewe ni zaidi ya rafiki yangu kwa hiyo siwezi kukuficha kitu.Kitu kinachoninyima raha ni pale ninapowaza kuhusu maisha yangu.Kama unavyojua nimepoteza kila kitu pamoja na mwelekeo mzima wa maisha yangu.Nimepoteza kazi yangu na mpaka sasa hakuna hata kampuni moja iliyoonyesha dalili za kuniajiri tena.Ninajiona kama nina laana vile lakini hata hivyo nahitaji kusahau kilichotokea na kuanza maisha mapya lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda najikuta nikishindwa namna ya kuweza kuanza tena maisha yangu na kujitegemea mimi mwenyewe.Sijisikii vizuri ninapokutegemea wewe katika kila jambo”
Savanna akatabasamu na kusema
“Pole Patrick lakini hukupaswa kuumiza kichwa chako namna hiyo.Ulipaswa kunieleza kuhusu jambo hilo kwani tayari ninalifahamu hilo na nina mipango mizuri kwa ajili yako ila sikuweza kukueleza mapema kwa sababu nilikuwa nataka nikwambie wakati kila kitu kimekamilika.Kwa ufupi tu ni kwamba nimeanzisha kiwanda cha kusindika nyama na muda wowote kuanzia sasa kitaanza kazi.Wewe ndiye utakayekuwa meneja wa kiwanda hicho.
.majukumu yote ya uendeshaji wa kiwanda hiki yako juu yako kwa hiyo usiumize kichwa chako kuhusiana na ajira,you are a manager now.” Akasema Savanna huku akicheka.Patrick akashindwa kujizuia akasimama akamkumbatia Savanna kwa furaha.
“Savanna ni kitu gani nimekufanyia hadi ukanifanyia mambo yote haya? Nitakulipa kitu gani? Patrick akasema huku akimtazama Savanna
“Ni wajibu wangu kufanya hivi nifanyavyo Patrick na hutakiwi kunilipa chochote .Nina imani hata mimi ningekuwa katika hali kama yako ungefanya kama nifanyavyo mimi.Isnt it Patrick?
“Ndiyo Savanna .Ningefanya kama ufanyavyo.Nisingethubutu kukuona ukiwa katika hali kama yangu.Naomba nikiri kwamba ni hali ngumu sana lakini nimeweza kuvumilia na kufika hapa kutokana na jitihada za watu wachache wanaonuipenda na kunijali wakiongozwa na wewe Savanna ,watu ambao wamesimama nami toka dakika ya kwanza ya matatizo yangu na hadi leo bado wako nami.Nina deni kubwa kwako Savanna na sijui nitalilipaje.” akasema Patrick halafu akainamisha kichwa chini akazama katika mawazo ghafla.
“Patrick unawaza nini? Akauliza Savanna baada ya kumuona Patrick amebadilika ghafla
“Savanna nimekumbuka kesi yangu.Kila mara niwazapo kuhusu kesi hii ninashindwa kujizuia kuogopa.Ninafikiria itakuwaje endapo nitahukumiwa kifungo gerezani na kushindwa kutimiza malengo yangu.Sitaki kufungwa jela kwa sababu ya mtu asiyekuwa na thamani kwangu hata kidogo.”
“Patrick siku zote nimekuwa nikikwambia kwamba usiwaze chochote kuhusiana na kesi hii. Mambo yote niachie mimi na nitalishughulikia suala hili na litakwisha.I give you my word Patrick” akasema Savanna huku akitabasamu .Kikapita kimya cha dakika mbili kila mmoja akiwaza lake
“Patrick ..!! akaita Savanna.Patrick akamtazama usoni
“Kuna jambo ambalo nataka kukueleza”
“Jambo gani Savanna?
“Patrick najua ni namna gani unavyoumia kila siku moyoni kwa haya yaliyotokea.Ninayaona maumivu yako na kuyahisi na kunifanya na mimi pia niumwe kwa kukuona ukiwa katika hali hii ya mateso makubwa ya moyo.Patrick nafahamu kwamba si rahisi kuyasahau yaliyotokea na kuanza maisha mapya kwa haraka.Itachukua muda kuwasahau wapendwa wako,vero,Happy na baba yako.Hawa ni watu uliowazoea na kuwapenda lakini leo hii hawako tena nawe.Pamoja na kwamba kumbu kumbu zao bado zinakujia ,lakini ni wakati sasa wa kuwaacha waende na wewe uuruhusu moyo wako uanze maisha mapya.Its time now to let them go.Kuondoka kwao si mwisho wa maisha yako wala ndoto zako .Bado unayo maisha marefu na yenye furaha lakini pale tu utakapoufungua moyo wako na kuuruhusu uanze maisha mapya.Ufungue moyo wako sasa kwa wale wanaokupenda na kukujali na kuwa tayari kusimama nawe katika nyakati zote za shida au raha.Pamoja na yaliyotokea lakini bado unahitaji kuwa na marafiki na hata mtu ambaye unaweza tena kumwamini na kumkabidhi moyo wako.” Akasema Savanna.Patrick akamuangalia kwa makini halafu akatabasamu na kusema
“Unamaanisha nini Savanna unaposema mtu ambaye ninaweza kumwamini na kumkabidhi moyo wangu?
“Ninamaanisha kwamba you have to learn to love again.Only love can help you forget the past” Akasema Savanna na kumfanya Patrick atabasamu na kucheka kidogo
“Mbona unacheka Patrick? Ni kosa la jinai kupenda? Akauliza Savanna
“Si kosa la jinai lakini…………………………”
“ Lakini ……………? Akauliza Savanna
“Sina hakaika kama moyo wangu uko tayari kupenda tena Savanna.Kidonda nilichonacho moyoni kilichosababishwa na mapenzi kitachukua muda mrefu kupona..Nimeumizwa sana na pengine sintaweza kupenda tena.Pengine nitaishi maisha yangu yote yaliyobakia nikiwa mwenyewe.Sintavumilia tena maumivu yoyote ya kuumizwa.Kuna watu katika dunia hii hawajaumbwa ili kupenda na ninaamini mimi ni mmoja wao” akasema Patrick katika hali ya kukata tamaa kabisa
“Patrick nafahamu ni namna gani ulivyoumizwa. Sisi sote tunaumizwa na mapenzi .Lakini mimi bado nasisitiza kwamba kuuruhus moyo wako kupenda tena kutakusaidia sana katika kusahau mambo yaliyopita.Find yourself someone who truly loves you and I swear you’ll be Happy again” akasema Savanna
“Hata kama nikiamua kupenda tena ni nani nitakayempenda? Nani ambaye nitamuamini katika ulimwengu huu wa sasa na kumkabidhi moyo wangu tena? Savanna naomba niwe wazi kwako kwamba sioni sababu ya kupenda tena kwani kila mara nilipojaribu kupenda nimeishia kuumizwa moyo wangu tu.Nilimpenda mno Happy na nilikuwa tayari kufanya lolote kwa ajili yake,niliwahi hadi kuua kwa ajili yake lakini ona jeraha alilonitia moyoni..I’m hurt Savanna..’m deeply hurt.”Akasema Patrick.Savanna akamshika mikono na kumuangalia usoni.
“Patrick si wanawake wote ni wabaya na wanaweza kukuumiza kama ulivyoumizwa.Usiuamini ule msemo usemao samaki mmoja akioza na wote wameoza.Bado kuna wnawake wazuri ,wenye kukupenda ,kukujali na kukuthamini,wanawake ambao kwao una maana kubwa sana.Tafadhali usiufunge moyo wako kwa mwanamke kama huyu”
“Savanna hata wale niliokuwa nao Happy na Vero walinipenda kwa mioyo yao yote.Walinijali na kunithamini.Kwa ufupi ni kwamba sina tatizo na wanawake hata kidogo lakini sina uhakika wa kupenda tena kwa sababu niliwapenda kwa moyo wangu wote.Kuna nyakati ninahisi kama dunia inaniadhibu.The world has been so cruel to me so even if I’ll start a new relationship it wont work out and I’ll get hurt again.Sitaki kuumia tena” akaendelea kusisitiza Patrick
“Patrick,Mungu ametuleta hapa duniani tuyafurahie maisha na ndiyo maana akaumba mwanamke na mwanaume kwa hiyo si sahihi kusema au kuamini kwamba kuna watu ambao wameshushwa katika hii dunia kwa ajili ya kuishi wao wenyewe bila kuwa na mahusiano.Kama kuna watu wa namna hiyo basi Mungu angewaumba bila kuwa na jinsia” akasema Savanna halafu wote wawili wakacheka sana.Savanna akaendelea
“Ninavyoamini mimi ni kwamba kila mtu ana haki ya kuwa katika mahusiano labda upende mwenyewe kutokujihusisha na mahusiano kama vile watawa na makasisi lakini hata hao watawa wanaishi chini ya uangalizi maalum tena mkali ili kuwasaida wasiweze kuingia katika vishawishi vya kimahusiano.Tukirudi katika swala lako lingine,si kweli kwamba dunia imekuwa katili sana kwako ,dunia si mbaya hata kidogo ,dunia inatupenda wote na ndiyo maana wote tunavuta hewa sawa,inatupa mazao na kila kitu.Binadamu waishio juu ya dunia ndiyo wabaya na kwa upande wako ni kwamba you fell I love with wrong people.People whom you’re not meant to be with” akasema Savanna,Patrick akatabasamu halafu akasema
“Maneno yako yanaweza kuwa na ukweli Savanna kwa sababu kuna usemi usemao kwamba kila jambo linafanyika kwa sababu maalum.Inawezekana ni kweli nilipenda watu ambao hawakuwa sahihi kwangu.Hata hivyo nahitaji kulifikiri tena suala hili kabla ya kuamua kuingia katika mahusiano mengine na nina hakika inaweza ikanichukua muda mrefu sana.Kwa sasa nataka nielekeze nguv na akili yangu katika kazi yangu mpya” akasema Patrick
“Hilo ni jambo la msingi sana Patrick.Hutakiwi kuidhulumu nafsi yako.You need to be Happy and to be be Happy you need to love and be loved ” Akasema Savanna .Patrick hakujibu kitu
“It’s getting late Patrick.Twende tuondoke .Leo nataka tukaandae pamoja chakula cha usiku.Unakumbuka ni muda mrefu sana umepita toka tulipoandaa kwa pamoja chakula cha usiku?” Akasema Savanna
“Wow ! That’s great Idea.Ni siku nyingi sana sijaingia jikoni kupika .Nakumbuka sana nyakati zile tulizokuwa tukiandaa chakula pamoja. “ akasema Patrick huku akicheka kidogo
“Unapenda tupike nini kwa ajili ya usiku wa leo? Akauliza Savanna
“Kitu chochote utakachopenda tupike Savanna mimi niko tayari.” Akajibu Patrick na kumfanya Savanna atabasamu
“Today we’re going to have a very special dinner just for two of us.Lets make this night a wonderful and memorable one.” Akasema Savanna kisha wakaondoka.
Kabla ya kuelekea nyumbani walipita kwanza kununua vitu mbali mbali ambavyo wangependa kuvitumia kwa ajili ya usku huo.Walipofika nyumbani,waliingia jikoni na kuanza maandalizi kwa pamoja.Kitendo cha kushirikiana kuandaa chakula kile kilimpa Patrick furaha ya ajabu sana na kumkumbusha nyakati zile wakati bado alikuwa katika mahusiano ya sirina Savanna
Mpaka kufika saa mbili za usiku,chakula kilikuwa tayari.Savanna akamuomba Patrick amuachie yeye kazi zilizobakia na yeye aende akajiandae kabla ya kupata mlo huo wa usiku wazo ambalo Patrick alilikubali na kwenda kujiandaa
“Tonight is the night .I’ve been waiting for this night for so long.Leo hii Patrick lazima awe wangu tena” akawaza Savanna huku akitabasamu baada ya Patrick kuondoka mle jikoni
“Baada ya usiku wa leo nitaamka nikiwa mikononi mwa mwanaume ninayempenda sana kuliko wote.After tonight I’ll be complete and no one than death can separate us again.Patrick will be mine forever” akawaza Savanna wakati akiandaa meza
Kwa upande wake Patrick baada ya kuingia chumbani kwake,moja kwa moja aliingia bafuni akajimwagia maji
“Namshukuru sana Savanna kwani kwa sasa najisikia vizuri na nina nguvu ya kuendelea na maisha yangu mapya. Bila yeye sijui ningekuwa katika hali gani hivi sasa” akawaza Patrick halafu akaendelea kujimwagia maji .Wakati akiendelea kuoga akakumbuka kitu halafu akatabasamu
“ Katika siku zote ambazo nimekuwa na Savanna ,siku ya leo nimejikuta nikiwa na furaha sana na hasa zoezi la kupika pamoja,zoezi ambalo limenikumbusha nyakati zile nilizokuwa naye katika mahusiano ya siri .Niliwahi kuwa katika mapenzi mazito na Savanna,nakumbuka wakati ule nilikuwa na furaha sana japokuwa nilikuwa tayari katika mahusiano na Vero.Savanna alinionyesha mapenzi ya dhati na moyo wangu ulifurahi .Nilikubali kuachana naye kwa shingo upande pale alipompata George.Kama nisingekuwa katika mahusiano na Vero kwa wakati ule basi tayari ningekuwa nimekwisha funga ndoa na Savanna kwani ni mwanamke mwenye kila sifa ya kuwa mke bora .Zaidi ya yote bado ananipenda kwa dhati ya moyo wake na ndiyo maana amejitolea kwa hali na mali katika kuhakikisha kwamba suala la kesi yangu linakwisha na ninakuwa huru tena.” Akawaza Patrick na kisha akaendelea kuoga
“Hata mimi toka ndani kabisa ya moyo wangu ninakiri kwamba bado ninampenda Savanna.Ninahisi yeye anaweza kuwa ndiye mwanamke anayenifaa,lakini kutokana na msaada mkubwa alionisaidia ninasita kuziamsha tena hisia za mapenzi kati yetu” akawaza Patrick halafu akaendelea kuoga.Sura ya Savanna wakiwa jikoni wakipika pamoja ikamjia kichwani akatabasamu
“She have a pretty face,macho mazuri,shepu nzuri na sauti kama malaika.Savanna ni mwanamke bora na mzuri kupita kiasi” akawaza Patrick kisha akatoka mle bafuni
Savanna aliendelea na zoezi la kuandaa meza kwa ajili ya chakula cha usiku.Alizima taa na kuwasha mishumaa na kupafanya mahala pale pawe pa kuvutia sana.Alipohakikisha kila kitu kiko sawa akaenda chumbani kwake kujiandaa kwa ajili ya usiku huo ambao aliupanga uwe maalum kwake
* * * *
“Huu ni usiku wangu wa pekee kabisa ni usiku ambao nimekuwa nikiuota kwa muda mrefu.Ni usiku ambao nitalala nikiwa kifuani kwa Patrick.” Mawazo hayakumkauka Savanna wakati akimalizia kujipaka rangi ya mdomo halafu akajitazama katika kioo na kutabasamu.Alikuwa amependeza sana.Alivaa gauni refu jepesi la rangi jeupe ambalo lilionyesha hadi nguo ya ndani.Akageuka akajitazama na kutabasamu halafu akachukua uturi wa gharama kubwa na kujipulizia kisha akatoka mle chumbani.Patrick alikuwa bado chumbani kwake wakati Savanna alipowasili sebuleni.Savanna akampigia simu na kumtaarifu kwamba muda wa kupata chakula cha usiku umewadia.
Patrick akatoka chumbani na kuelekea sebuleni.Mara tu alipoingia ,akapigwa na mshangao kwa alichokikuta.Sebule ilikuwa imebadilika na kuwa na mandhari ya kuvutia mno.Taa zote zilikuwa zimezimwa na kilichokuwa kinawaka ni mishumaa iliyopapendezesha mahala pale na kupafanya pa pekee kabisa.
“Wow ! amazing “ akasema Patrick huku akitabasamu
“karibu Patrick” akasema Savanna kwa sauti laini huku akiinuka pale sofani alipokuwa amekaa na kwenda kumshika Patrick mkono akaumuongoza kuelekea katika meza ya chakula.Japokuwa mwanga ulikuwa hafifu lakini Patrick aliweza kulishuhudia vyema vazi la Savanna na kusisimka mwili kwani aliweza kuiona hadi nguo ya ndani aliyokuwa amevaa .Mapigo ya moyo wake yakaanza kumuenda kasi.Ni muda mrefu sasa umepita hajawahi kusisimkwa mwili.Savanna na Patrick wakaangaliana kwa sekunde kadhaa Savanna akauliza
“Mbona unaniangalia hivyo Patrick?
“You are so amazing tonight” akajibu Patrick
“Thank you” akajibu Savanna kisha wakaelekea katika meza iliyokuwa imesheheni vyakula vya aina mbali mbali walivyoviandaa
“Karibu chakula Patrick,chakula ambacho ni maalum kwetu.Just for tonight let us forget the world and enjoy the night.Let us make our own world ” Akasema Savanna.
Waliendelea kula taratibu huku wakisindikizwa na muziki laini.Kila Patrick alipomtazama Savanna alisisimka mwili wake kutokana na kuzishuhuhudia chuchu za kuvutia za Savanna ambazo zilikuwa zinaonekana kwa urahisi kutokana na vazi lile alilokuwa amevaa lililoonyesha kila kitu.Taratibu akahisi mtafaruku katika sehemu za ikulu ambazo zilikuwa zimechachamaa kupita maelezo.
“Gosh ! haya ni majaribu makubwa sana.Savanna ananiweka katika wakati mgumu mn😵uh jamani nitafanya nini mimi? Akawaza Patrick huku akiendelea kumtazama Savanna ambaye alikuwa ameinamisha kichwa.Ghafla akainua kichwa na kugundua kwamba Patrick alikuwa anamuangalia akatabasamu
Baada ya kumaliza kula Savanna akamuomba Patrick waelekee katika sofa lililokuwa na meza ndogo pembeni iliyokuwa na chupa tatu za mvinyo pamoja na glasi mbili.
“Na tunywe kwa furaha huku tukitakiana maisha marefu” akasema Savanna huku akiisogelea glasi yake iliyokuwa na mvinyo karibu na Patrick wakagonganisha glasi.Waliendelea kunywa na kadiri muda ulivyozidi kusonga ndivyo maongezi na vicheko vilivyozidi.Walikumbushana mambo mengi na hasa nyakati zile walizokuwa wapenzi,Ulikuwa ni wakati wa furaha mno kwa wote.Maongezi yalikolea na kulikuwa na kila dalili kwamba walianza kulemewa na kilevi.Savanna akainuka pale alipokuwa amekaa na kuelekea katika redio akaweka muziki laini sana halafu akamfuata Patrick
“Patrick can we dance?
Bila ubishi Patrick akainuka akakumbatiana na Savanna wakaanza kucheza.Patrick akahisi kama chaji za umeme zinapita mwilini mwake pale kifua cha Savanna kilichobeba chuchu laini kilipokigusana na kifua chake.Kadiri muziki ulivyokuwa ukienda ndivyo walivyojikuta wakikumbatiana kwa nguvu zaidi.Muziki ulimalizika lakini bado waliendelea kukumbatiana kwa nguvu .Taratibu Savanna akaupeleka mkono wake wa kulia chini kidogo ya kiuno cha Patrick na kukutana na kitu kigumu kilichotuna.Taratibu na kwa ufundi Savanna akakishika kitu kile kilichotuna na kumfanya Patrick atoe mguno na kuhema kwa nguvu kisha akampiga Savanna busu zito lililomfanya aweweseke.Taratibu Patrick akausogeza mdomo wake karibu na Savanna na kuutoa ulimi wake na zoezi la kunyonyana ndimi likaanza huku wakishikana na kutomasana sehemu mbali mbali za mwili.Wote wawili walikuwa wakihema kwa nguvu na kila mmoja akiongea maneno ambayo mwenzie hakuweza kuyaelewa.
“Ouh,Ouh,ouh Patrick take ..m.me..to ..parr….r..paradise” akasema Savanna kwa sauti yenye kukwama kwama.Alikuwa hajiwezi tena kwa raha alizozisikia.Patrick akamuinua na kwenda naye chumbani.Kilichoendelea huko ni miguno na vilio vya utamu uliopitiliza
* * * *
Mlio wa saa ya ukutani ndio uliomstua Patrick akafumbua macho na kutazama ukutani kulikokuwa na saa kubwa.Ilikuwa ni saa mbili za asubuhi.Pembeni yake alikuwa amelala Savanna akiwa katika usingizi mzito.Patrick akamtazama na kutabasamu
“Gosh ! Usiku wa jana kamwe sintausahau katika maisha yangu.Sijawahi kuwa na usiku wa kipekee kama ule.Nilijihisi kama nimetoka kabisa katika ulimwengu huu.Ouh Savanna I didn’t know how much I still love you.Umenirudishia tena furaha yangu iliyopotea.” akawaza Patrick halafu akainama na kumbusu Savanna shavuni na mara Savanna akafumbua macho.
“Ouh Patrick thank you so much.You are so sweet” akasema Savanna
“Thank you for the wonderfull night.Sijawahi kuwa na usiku mzuri kama wa jana.Nimekuwa nikiuota usiku kama ule kwa miaka mingi.Ahsante sana Patrick..Ahsante sana” akasema Savanna akamvuta tena Patrick kwake na kumpa busu zito.Patrick akatabasamu na kusema
“Savanna you are wonderfull,you are amazing.Baada ya usiku wa jana,najiona mtu mpya.Savanna naomba nitamke kwamba najiona ni kama mfalme mwenye nguvu mwenye uwezo wa kufanya chochote nikiwa nawe.Umenipa nguvu na matumaini.Siku zote nitaendelea kumshukuru Mungu kwa kunikutanisha nawe.Nina uhakika mkubwa kwamba kukutana kwetu haikuwa kwa bahati mbaya.Mungu alikuwa na makusudi yake na ndiyo maana leo hii ninathubutu kutamka kwamba pamoja na kwamba tuliachana na kila mmoja akaendelea na maisha yake ,lakini bado moyoni mwangu una nafasi ya kipekee kabisa.Bado ninakupenda Savanna na hata siku moja upendo wangu kwako haujapungua.Sitaki kubishana na moyo wangu kwamba wewe ndiye mwanamke ambaye umeumbwa kwa ajili yangu.Savanna ninaombi moja kwako” Patrick akanyamaza akamtazama Savanna ambaye machozi yalikuwa yanamtoka
“Omba chochote Patrick nitakupatia” akasema Savanna huku akifuta machozi yale ya furaha
“Savanna pengine ombi langu kwako linaweza kuwa gumu hasa kutokana na matukio ambayo yamekuwa yananitokea lakini napenda kuwa wazi kwako kwamba ninaomba nafasi nyingine katika moyo wangu.Ninakubaliana na maneno uliyoniambia jana kwamba natakiwa kuufungua moyo wangu tena.Nimeufungua moyo wangu kwako na nina imani wewe ndiye pekee ambaye utaweza kunisahaulisha mambo yote yaliyopita na kunifanya niwe na maisha yenye furaha sana hapa duniani.Naomba uwe malkia wangu Savanna.” Patrick aliyasema maneno haya taratibu na kwa hisia kubwa.Mara tu alipomaliza kusema ya moyoni mwake,Savanna aliinuka kwa kasi na kulitupa shuka pembeni kisha akamkumbatia Patrick kwa nguvu.Alikuwa akiweweseka huku akimpiga Patrick mabusu mfululizo
“Patrick unataka kunipa uchizi.Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikiota kuusikia mdomo wako ukitamka meneo haya mazito uliyonitamkia sasa hivi.Patrick nashukuru sana na sina cha kusema zaidi ya kukuhakikishia kwamba siku zote moyo wangu ulikuwa na nafasi kwa ajili yako pekee.Niliamini siku moja mimi na wewe tutakuwa pamoja hata kama si katika maisha haya basi katika maisha mengine baada ya kufa.Nimekuwa nikimuomba sana Mungu kwa jambo hili lakini hatimaye leo hii limekuwa kweli.Huu ni kama muujiza kwangu.Patrick nakukabidhi moyo wangu na kila kilicho changu.Naomba unitawale ee mfalme wangu.Niamuru chochote nitakutii” akasema Savanna kwa hisia kali huku akitokwa na machozi ya furaha.Ilikuwa ni kama ndoto.Hakuamini kama ile ndoto yake ya siku nyingi ya kuwa na Patrick leo hii imekuwa kweli.Walikumbatiana kwa furaha huku wakiepeana mabusu mfululizo na taratibu wakajikuta wakianza kuhama katika ulimwengu huu na kwenda katika ulimwengu uliojaa mahaba mazito.Migumo na mihemo ya kimahaba ndivyo vilitawala chumba hiki.Patrick akaufungua mpya wa mapenzi na Savanna.
TUKUTANE SEHEMU IJAYO...............
