Jamani mbona mwanzo story haileweki ilivyo wekwa inaeleweka kuanzia 41 hizo za nyuma yake zipo wapi sasa
Ujue hapa sielewi VIP ,Lege aliaza kutuma harafu baadae na wewe kuaza kutuma sasa mwanzo sahihi ni UPI wewe au legeMkuu mbona zipo anza kufatialia toka mwanzo mapungufu yapo ila haya japoteza mwelekeo wa story
Soma kuanzia mwanzo wa uzi story nzima ipoUjue hapa sielewi VIP ,Lege aliaza kutuma harafu baadae na wewe kuaza kutuma sasa mwanzo sahihi ni UPI wewe au lege
Ujue hapa sielewi VIP ,Lege aliaza kutuma harafu baadae na wewe kuaza kutuma sasa mwanzo sahihi ni UPI wewe au lege
Kawawa mkuu usingizi hauji nikiwaza bastora ys Lony isije ikampata savanna mkuu shusha ata mbili aisee ikikupendezaMimi nilichofanya apo nikundeleza alipo ishi LEGE
Mkuu tupiamo hata episode mbili tu usingizi umekata kabisa..Mimi nilichofanya apo nikundeleza alipo ishi LEGE