Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,339
Maisha yana changamoto nyingi sana.
Nakumbuka mwaka 2019 Nilihamia kwenye nyumba moja huko kilakala. Hiyo siku nafika tu pale, nikamkuta mpangaji mwenzangu na akaniambia hapa ni jau yeye mwenyewe ana mipango ya kuhama sababu mzee mwenye nyumba ni chuma ulete. Nikapuuzia.
Nikaendelea kuishi pia na majirani wakawa wanasema maneno hayo hayo, nikawa napuuzia maneno yao.
Niliishi pale vizuri tuu ila nikawa nawekeza pesa zangu kwenye kibubu kila siku nikienda kazini nikirudi na elfu 40 basi natia 20 kwenye kibubu na nikipata 10 naweka 5. Yaani hela ndogo kuweka kwenye kibubu ni 2000 na malengo yangu nikanunue pikipiki.
Eeeh baada ya miezi nane kupita nikasema nivunje kibubu, nilichokiona kwenye kibubu nilikuta 27000 tu.
Sikupiga mahesabu wakati naweka ila nilichokuwa nategemea hata nikute hata milioni moja, yaani sitasahau halafu mzee alipogundua kuwa nimemstukia kuwa yeye ni chuma ulete akanitumia barua nihame kodi yangu ikiisha.
Kweli nilikua siamini kama kuna chuma ulete kuanzia hapo, nikaamini maana walikua wanaishi na mkewe na hawana kazi yoyote na wanakula milo yote mitatu tena saafi.
Sitakaa nisahau yule mzee alinirudisha nyuma sanaaa". G Man, Dar.
WatuNiStory
www.safariforums.epizy.com
Nakumbuka mwaka 2019 Nilihamia kwenye nyumba moja huko kilakala. Hiyo siku nafika tu pale, nikamkuta mpangaji mwenzangu na akaniambia hapa ni jau yeye mwenyewe ana mipango ya kuhama sababu mzee mwenye nyumba ni chuma ulete. Nikapuuzia.
Nikaendelea kuishi pia na majirani wakawa wanasema maneno hayo hayo, nikawa napuuzia maneno yao.
Niliishi pale vizuri tuu ila nikawa nawekeza pesa zangu kwenye kibubu kila siku nikienda kazini nikirudi na elfu 40 basi natia 20 kwenye kibubu na nikipata 10 naweka 5. Yaani hela ndogo kuweka kwenye kibubu ni 2000 na malengo yangu nikanunue pikipiki.
Eeeh baada ya miezi nane kupita nikasema nivunje kibubu, nilichokiona kwenye kibubu nilikuta 27000 tu.
Sikupiga mahesabu wakati naweka ila nilichokuwa nategemea hata nikute hata milioni moja, yaani sitasahau halafu mzee alipogundua kuwa nimemstukia kuwa yeye ni chuma ulete akanitumia barua nihame kodi yangu ikiisha.
Kweli nilikua siamini kama kuna chuma ulete kuanzia hapo, nikaamini maana walikua wanaishi na mkewe na hawana kazi yoyote na wanakula milo yote mitatu tena saafi.
Sitakaa nisahau yule mzee alinirudisha nyuma sanaaa". G Man, Dar.
WatuNiStory
www.safariforums.epizy.com