Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Mkuu hyo

mkuu hyo sio ngano wala chai, for those believers and muumin watapewa hao virgins kwa idadi kulingana na daraja zao hapo ni baada ya kuingia peponi na hao mabint wana sifa kubwa kwa mujibu wa Allah mwenyewe note hawajawahi kutuliwa hata na nzi au sisimizi, fanya mema mkuu utawapata

Inatakiwa uwe mjinga sana kuamini upuuzi Kama huu
 
"the greatest crime that Humanity has done to its generation is promising them that there is a best life other than this one"-Sadhguru
 
Back
Top Bottom