Niambie Tu
Senior Member
- May 29, 2022
- 162
- 272
Habari.
Katika Kujiunga kwangu Jf leo nakuletea mikasa yangu bora na yenye kufundisha iliwahi kusimuliwa hapa ndani.
1..umughaka "Tulichomfanya Yule mchawi hatakuja kusahau kwamwe maishani" huu ni mkasa bora kwa mwaka 2022 wenye maudhui mazuri na matukio mengi ya kichawi yenye kusisimua na unafundisha jinai gani mtu unaweza kufanya kazi katika mazingira magumu
2.Msimuliaji Anaitwa Konda msafi mkasa unaitwa "JINSI MAPENZI YA MTOTO WA KIZULU DURBAN SOUTH AFRIKA YALIVYOTAKA KUNITOA ROHO" Aisee hapa huu mkasa unafundisha jinsi gani Mapenzi ya kweli yanaweza kujitokeza baina ya watu wa nchi tofauti na wakasaidiana katika nyakati zote ngumu na raha
3.Msimuliaji Anaitwa Akili sina na jina la mkasa linaitwa "usilogwe kuondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutaka kutafuta maisha"
Jamaa anatufundisha kutoka katika comfortable zone sio jambo jepesi na mziki wake sio wa kitoto kuna vingi kama utasoma utajifunza hapa
4.Msimuliaji anaitwa analyse "naitwa analyse na hii ndio story yangu ya maisha"
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1595587/
Kwangu mimi hii ndio mikasa bora kuwah kutokea humu jf.
Niambie na wewe mikasa yako bora!?
Katika Kujiunga kwangu Jf leo nakuletea mikasa yangu bora na yenye kufundisha iliwahi kusimuliwa hapa ndani.
1..umughaka "Tulichomfanya Yule mchawi hatakuja kusahau kwamwe maishani" huu ni mkasa bora kwa mwaka 2022 wenye maudhui mazuri na matukio mengi ya kichawi yenye kusisimua na unafundisha jinai gani mtu unaweza kufanya kazi katika mazingira magumu
Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane. Miaka ya fulani baada ya kumaliza shule ya sekondari,niliamua kwenda kumsalimia Ba'mdogo aliyekuwa mkuu wa shule fulani ya sekondari hapo kwenye hicho kijijini. Wana kijiji walikuwa wakimpa heshima kubwa Ba'mdogo kwasababu wanafunzi wote waliosoma...
www.jamiiforums.com
2.Msimuliaji Anaitwa Konda msafi mkasa unaitwa "JINSI MAPENZI YA MTOTO WA KIZULU DURBAN SOUTH AFRIKA YALIVYOTAKA KUNITOA ROHO" Aisee hapa huu mkasa unafundisha jinsi gani Mapenzi ya kweli yanaweza kujitokeza baina ya watu wa nchi tofauti na wakasaidiana katika nyakati zote ngumu na raha
Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho
Mwaka 2008 niliingia Durban baada ya kuitwa na jamaa zangu waliokuwa huko. Hawa jamaa zangu tuna undugu pia. Kaka yao kaoa shangazi yetu, na pia kaka yetu kaoa dada yao, ni kama tumeoleana, wao wameoa kwetu na sisi tumeoa kwao. Pia hawa jamaa tumesoma shule moja ya msingi japo madarasa tofauti...
www.jamiiforums.com
3.Msimuliaji Anaitwa Akili sina na jina la mkasa linaitwa "usilogwe kuondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutaka kutafuta maisha"
Jamaa anatufundisha kutoka katika comfortable zone sio jambo jepesi na mziki wake sio wa kitoto kuna vingi kama utasoma utajifunza hapa
Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha
Nilizaliwa mwishoni mwa miaka ya themanini katika kijiji cha chabutwa wilaya ya Sikonge mkoa wa Tabora, nilifanikiwa kupata elimu yangu ya msingi hapo kijijini, shuleni nilikuwa vizuri sana, si walimu tu bali hata wanafunzi walinipenda. Familia yetu ilikuwa ya maisha ya kawaida sana kwani baba...
www.jamiiforums.com
4.Msimuliaji anaitwa analyse "naitwa analyse na hii ndio story yangu ya maisha"
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1595587/
Kwangu mimi hii ndio mikasa bora kuwah kutokea humu jf.
Niambie na wewe mikasa yako bora!?