Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
hivi kweli dad yangu mpaka uje ufie na hawa marioo wa huku katika pita pita za kikazi,hata hujawahi ona mwanaume mwenye akili timamu dear lol
hebu ruka na ndege wanaokufanania dear achana na makalaghabao wa humu wengi watu wazima na wakezo lakini........
Kulikuwa na umuhimu gani wa kuquote Uzi wote Mrembo?
 
Nilijua lazima walitaka tu kukuchafua ndugu Bazazi!!! Fanyia kazi hii fursa mkuu!!!

Huyo sio member kwa sababu kuu moja tu #teamB mapenzi ni burudani na kama umesoma vizuri hilo andiko jamaa mapenzi ni opportunity(fursa) typically ni MARIO.....hawezi ishi bila hiyo kitu Vijana wa team yangu nao wanapiga mzigo waingize shilling ila huyo now unaweza kuta ana figure out akamvue nani pichu apate fedha
 
kukata mzizi wa fitina nimesha unga dots zangu weeee
ingawa wazembe wa kufikiri wameanza kunitwisha mchaga mie mzigo mzito
lkn nimefikia tamati zinc na dalaber wanajuana kindani na wote wana ids zaid ya moja zikiwemo id maarufu hapa jamvini.
wengine wametumika kama mbuzi wa kafara tu ila baadhi ya id zao zimeshiriki kikamilifu kwenye nyuzi zao zote mbili.

nikiri kwamba mimi sijampima huyo dem ujauzito manake kwanza siko karibu na wanapoish kwa wiki sasa ila nilitaka kushika watu ugoni na ukweli nimewakamata.
haya angaiken na mambo yenu sasa na mie naendelea na mwanangu mgonjwa lol!!
 
Last edited by a moderator:
kukata mzizi wa fitina nimesha unga dots zangu weeee
ingawa wazembe wa kufikiri wameanza kunitwisha mchaga mie mzigo mzito
lkn nimefikia tamati zinc na dalaber wanajuana kindani na wote wana ids zaid ya moja zikiwemo id maarufu hapa jamvini.
wengine wametumika kama mbuzi wa kafara tu ila baadhi ya id zao zimeshiriki kikamilifu kwenye nyuzi zao zote mbili.

nikiri kwamba mimi sijampima huyo dem ujauzito manake kwanza siko karibu na wanapoish kwa wiki sasa ila nilitaka kushika watu ugoni na ukweli nimewakamata.
haya angaiken na mambo yenu sasa na mie naendelea na mwanangu mgonjwa lol!!

Loading-splash.jpg ......'katajaa' sasa hivi. Pole kwa kuuguza gfsonwin.​
 
kukata mzizi wa fitina nimesha unga dots zangu weeee
ingawa wazembe wa kufikiri wameanza kunitwisha mchaga mie mzigo mzito
lkn nimefikia tamati zinc na dalaber wanajuana kindani na wote wana ids zaid ya moja zikiwemo id maarufu hapa jamvini.
wengine wametumika kama mbuzi wa kafara tu ila baadhi ya id zao zimeshiriki kikamilifu kwenye nyuzi zao zote mbili.

nikiri kwamba mimi sijampima huyo dem ujauzito manake kwanza siko karibu na wanapoish kwa wiki sasa ila nilitaka kushika watu ugoni na ukweli nimewakamata.
haya angaiken na mambo yenu sasa na mie naendelea na mwanangu mgonjwa lol!!
wanafahamiana,ila wana id's fake
 
kukata mzizi wa fitina nimesha unga dots zangu weeee
ingawa wazembe wa kufikiri wameanza kunitwisha mchaga mie mzigo mzito
lkn nimefikia tamati zinc na dalaber wanajuana kindani na wote wana ids zaid ya moja zikiwemo id maarufu hapa jamvini.
wengine wametumika kama mbuzi wa kafara tu ila baadhi ya id zao zimeshiriki kikamilifu kwenye nyuzi zao zote mbili.

nikiri kwamba mimi sijampima huyo dem ujauzito manake kwanza siko karibu na wanapoish kwa wiki sasa ila nilitaka kushika watu ugoni na ukweli nimewakamata.
haya angaiken na mambo yenu sasa na mie naendelea na mwanangu mgonjwa lol!!

Nami nilikuwa nakufatilia kimyakimya,duh kazi kwelikweli.Hongera kwa ugunduzi wako.

Pole sana kwa kuuguza,Mungu amponye mwanao,ampe afya njema mara dufu.
 
Last edited by a moderator:
kukata mzizi wa fitina nimesha unga dots zangu weeee
ingawa wazembe wa kufikiri wameanza kunitwisha mchaga mie mzigo mzito
lkn nimefikia tamati zinc na dalaber wanajuana kindani na wote wana ids zaid ya moja zikiwemo id maarufu hapa jamvini.
wengine wametumika kama mbuzi wa kafara tu ila baadhi ya id zao zimeshiriki kikamilifu kwenye nyuzi zao zote mbili.

nikiri kwamba mimi sijampima huyo dem ujauzito manake kwanza siko karibu na wanapoish kwa wiki sasa ila nilitaka kushika watu ugoni na ukweli nimewakamata.
haya angaiken na mambo yenu sasa na mie naendelea na mwanangu mgonjwa lol!!

kazi wanayo
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom