Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,886
Inakuwaje Hawa Nyani Wa Sasa Hawataki Kubadirika Kuwa Watu?
Binadamu alivyobadilika na kuwa senema.......kuna nyani anataka kuwa mtu siku hizi.......shetani mwenyewe anatuogopa.........
Inakuwaje Hawa Nyani Wa Sasa Hawataki Kubadirika Kuwa Watu?
Wewe Honey Faith kutoifahamu hii commonstory umri wako nadhani ndy umekugharimu, btw story husika sie tuliyozaliwa awali tumeikuta.
Angaa ungekua umeikuta kampuni kongwe ya Mafuta ya nishati e..g Petrol , Diseal iliyoitwa Agip basi story husika isingekusumbua!
Coz trademark ya Agip ilikua na picha ya mnyama mwenye miguu 6 sanjari na mdomoni akitoa miale ya moto!
Mnyama ambae ndiye tukiambiwa mwenye ability ya kupambana na Radi .
majigo nitafute tuondoane upweke hii hali sio nzuri
tuyuku kondoo hahangaiki pale radi inapopiga, ule mwanga, wa watu wa pwani wanaita umesa unapowaka kondoo husimama na kuinamisha kichwa, unapotokea muungurumo anainua kichwa na kuendelea na safari, ile kuinamisha kichwa wakati wa mwanga wa radi ndo watu husema anapambana na radi, lakini ule mwanga unapowaka kondoo husimama na kuinamisha kichwa, unapokuja muungurumo anainua kichwa anaendelea na mambo yake,Radi ni umeme. Kondoo ni mnyama mwenye uwezo mdogo wa kusikia. Inapopigwa radi ule mwungurumo wake humshitua sana kondoo na kumfanya aanze kuhangaika. Watu na imani zao wanahitimisha kuwa kondoo anapigana na radi. Siyo kweli. Kama isivyo kweli hadithi ya radi na nguo nyekundu.
Ahsante sana mkuu kwa kunipa ufafanuzi zaidi.tuyuku kondoo hahangaiki pale radi inapopiga, ule mwanga, wa watu wa pwani wanaita umesa unapowaka kondoo husimama na kuinamisha kichwa, unapotokea muungurumo anainua kichwa na kuendelea na safari, ile kuinamisha kichwa wakati wa mwanga wa radi ndo watu husema anapambana na radi, lakini ule mwanga unapowaka kondoo husimama na kuinamisha kichwa, unapokuja muungurumo anainua kichwa anaendelea na mambo yake,