Stori za radi dhidi ya Kondoo ni za kweli?

Stori za radi dhidi ya Kondoo ni za kweli?

Radi ni mnyama?? Labda huko kwenu tu, anaishi wapi? Anakula nini?

Chief We Si Mzee Wa utafiti?
Nakushauri Nenda Mikoa Ya Kusini ...Utarudi Na Maswali Kama Yangu
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1418893436757.jpg
    1418893436757.jpg
    39.3 KB · Views: 177
kama radi ni mnyama,tutajie kitabu,tutakitafuta tukisome,msilete habari za kaka yangu,oooo mara babu yangu,hao ni akina nani katika ulimwengu wa wasomi?

Nami Niko Hapa Kuuliza Ili Niondoe Utata!
 
Ahsante Chief Sasa Vipi Kuhusu Habari Za Vita Vya Kondoo Na Radi?
Mkuu, Amini UsiAmini.. kila kiumbe kimejaaliwa na kipaji chake, Uwezo wake kiBilogyia pamoja na kuwa Mnyama au samaki au mdudu !!
KM ;- Mdudu kama "mbu" Mosquito Mbu huyu anauwezo wa kutambua |Blood type, Rangi ya ngozi, ana Xray machine ya kung'ata bila kujidhuru mwenyewe,,,,etc !!

Myama kama Mbwa huwa anauwezo wakutambua kwa kunusa harufu8, na kuwakashifu Viumbe shetwani/jini !!
Mnyama Ngamia ana uwezo wa kutambua umbali wa masafara....
Nyoka huua kwa sumu.....
Samaki hafungi macho yake 24/7....!!
na wanyama wengi wapo kiaina!!

Kwa hiyo ya kondoo ni kweli...kwa mtazamo wangu hainipi wasi.!
 
Radi ni mnyama wewe, kuna mzee mmoja mganga maarufu sana yupo pale Ikwiriri Rufiji, ni mfugaji mzuri sana wa radi. Kama unabisha wewe nenda pale Ikwiriri Rufiji, muulizie mzee Kajunjumele.

Kajunjumele? Kuna kijiji kimoja Unyakyusani huko Kyela chenye jina hilo......Strange coincidence!
 
Toka Udogo Hizi Habari Za Radi kupigana Na Kondoo Nimekuwa Nazisikia Sana Ila Sijawahi Thibitisha Hili. Kwanza Siamini kama Radi Ni Mnyama. Tena Anayeshuka Toka Angani Kuja Duniani. Wakaongeza Huyu mdudu (Radi) Ana Miguu 6, Kondoo Ana uwezo Wa Kumuona Na Kupambana Nae Mpaka Akakimbia Au Kufa Kabisa.

Kwa Yeyote Mwenye Uhakika Na Hili Anisaidie Niujue Ukweli.

Ahsante Jigo

Waulize wana Sumbawanga
 
Kajunjumele? Kuna kijiji kimoja Unyakyusani huko Kyela chenye jina hilo......Strange coincidence!

Yeah hutokea mara nyingi, ila hapo Rufiji sio jina la kijiji, ni jina la mtu
 
Mkuu, Amini UsiAmini.. kila kiumbe kimejaaliwa na kipaji chake, Uwezo wake kiBilogyia pamoja na kuwa Mnyama au samaki au mdudu !!
KM ;- Mdudu kama "mbu" Mosquito Mbu huyu anauwezo wa kutambua |Blood type, Rangi ya ngozi, ana Xray machine ya kung'ata bila kujidhuru mwenyewe,,,,etc !!

Myama kama Mbwa huwa anauwezo wakutambua kwa kunusa harufu8, na kuwakashifu Viumbe shetwani/jini !!
Mnyama Ngamia ana uwezo wa kutambua umbali wa masafara....
Nyoka huua kwa sumu.....
Samaki hafungi macho yake 24/7....!!
na wanyama wengi wapo kiaina!!

Kwa hiyo ya kondoo ni kweli...kwa mtazamo wangu hainipi wasi.!

Umedadavua Vizuri Sana Chief!...Hayo Ya Mbu Na Samaki Sikuyajua
Tena Wanasema MvuA Ikinyesha Na Kukawa Na Radi, Mfungie Kondoo Nje..Utaona Mtifuano Wake!
 
Sijawahi hata kusikia hizo story

Wewe Honey Faith kutoifahamu hii commonstory umri wako nadhani ndy umekugharimu, btw story husika sie tuliyozaliwa awali tumeikuta.
Angaa ungekua umeikuta kampuni kongwe ya Mafuta ya nishati e..g Petrol , Diseal iliyoitwa Agip basi story husika isingekusumbua!
Coz trademark ya Agip ilikua na picha ya mnyama mwenye miguu 6 sanjari na mdomoni akitoa miale ya moto!
Mnyama ambae ndiye tukiambiwa mwenye ability ya kupambana na Radi .
 
Last edited by a moderator:
analiwa mzee, ila nyama yake ni chungu balaa

teh teh teh
We LIKUD...UkiNitembelea Uniletee Mishkaki Ya Radi Nami Nionje
Badala Ya Chumvi Nitaila Kwa Sukari!
 
Last edited by a moderator:
Mlikuwa mnapigishwa story ili muwahi kulala tu au msicheze kwenye mvua.
 
Aisee Preta Rinda lako la Chrismas liko tayari je nilipeleke palepale tafadhali jibu nataka kusafiri!

Asante jirani.......peleka pale pale nitalipata muda muafaka kabisa........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom