sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
Kumbe vijana wengi mna ushuhuda hapa!
Yan nimecheka mpaka machozi khaaa.... Watu wana vituko jamani lol
Kumbe vijana wengi mna ushuhuda hapa!
vipi unanitumia picha yako kwanza ama wewe unataka tukutane tu hivi hivi bila picha? ama nikutumie yangu kwanza
nisamehe mama ..sitarudia tena...vipi hujambo lakini? utakuwa na muda lini ?mie sijaipenda topic yako,
wadada,duniani kote amani imetoweka kwa sababu ya nyie wanaume ,ndio wadada wanatumia madawa mbali mbali kwa imani watabadilisha muonekano wa maumbile yao,mie kiuhalisia ni mnene sana eleven stones ila naamini kuna mtu atakayenipenda nilivyo,kama hanipendi asepe kimya kimya sio kuanzisha thread umepata nini sasa...:A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
mie sijaipenda topic yako,
wadada,duniani kote amani imetoweka kwa sababu ya nyie wanaume ,ndio wadada wanatumia madawa mbali mbali kwa imani watabadilisha muonekano wa maumbile yao,mie kiuhalisia ni mnene sana eleven stones ila naamini kuna mtu atakayenipenda nilivyo,kama hanipendi asepe kimya kimya sio kuanzisha thread umepata nini sasa...:A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
mie sijaipenda topic yako,
wadada,duniani kote amani imetoweka kwa sababu ya nyie wanaume ,ndio wadada wanatumia madawa mbali mbali kwa imani watabadilisha muonekano wa maumbile yao,mie kiuhalisia ni mnene sana eleven stones ila naamini kuna mtu atakayenipenda nilivyo,kama hanipendi asepe kimya kimya sio kuanzisha thread umepata nini sasa...:A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
JF kuna Mambo, stess free zone, akia nani vile!
kijana naona umeleta experience nyingi na umetupasa ambayo mengi tunakutana nayo hapa.kuna wanaoponda thread yangu ila hawajui kuwa nimewasaidia baadhi ya watu hapa.First date zina mambo sana.
Ukikaa na mtu 15 minutes tu zinatosha hapo hapo ushajua huyu ni NDIO au HAPANA maana tabia haijifichi.
Mwengine unakuta binti amekuja wewe hujafungua hata mdomo ameshaongea maneno mia tatu.
Mwengine amewahi kwenye ki date 2 hrs before amekula na kunywa halafu anasubiria wewe ukija ulipe :biggrin:
Mwengine hata hajaulizwa anaanza akufunguka kuhusu wapenzi wake wa zamani na jinsi walivyomtenda...
Mwengine stori zake unamuona tu huyu kichwani sufuri! ukishaondoka pale unajisikia sijui kama umetua mzigo gani hizo ndio dates from HELL lol.
Yan nimecheka mpaka machozi khaaa.... Watu wana vituko jamani lol
haha ha ha ...multiple IDsTeh teh teh teh
Umepatikana, ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini. Haya unajifanya kumponda mdada wa watu kumbe sifa zote anazo, yuleeee yuko na classmate mwenzake. Umeumbuka mzee mzima, confidence hauna ndio maana ukaja na gia eti yuko kama dume maneno kibaoooo!
Jipange utaishia kubwabwaja wenzako wanapata wapenzi wa ukweli humuhumu JF.
dah....nina bad experience...sasa pale steers sijui stiiz..kila mtu atalipa mwenyewe ama nani atatakiwa alipe bill?
I don't have a car, nina miguu tu
Huwa na i-oil
First date zina mambo sana.
Ukikaa na mtu 15 minutes tu zinatosha hapo hapo ushajua huyu ni NDIO au HAPANA maana tabia haijifichi.
Mwengine unakuta binti amekuja wewe hujafungua hata mdomo ameshaongea maneno mia tatu.
Mwengine amewahi kwenye ki date 2 hrs before amekula na kunywa halafu anasubiria wewe ukija ulipe :biggrin:
Mwengine hata hajaulizwa anaanza akufunguka kuhusu wapenzi wake wa zamani na jinsi walivyomtenda...
Mwengine stori zake unamuona tu huyu kichwani sufuri! ukishaondoka pale unajisikia sijui kama umetua mzigo gani hizo ndio dates from HELL lol.