Stieglers Gorge Hydroelectric Project

Afadhali, He acted like a president! Nyiekwenda kwenda kwenye hizo hoteli mpaka mumzengee muishimiwa?
 
"Rais mla rushwa kamwe hawezi kupambana na rushwa" (- Mwl. JK Nyerere) Hebu tukumbushane ni nani aliyekuwa waziri wa nishati na madini mwaka 1994 wakati kina Chenge wakituingiza mkenge wa IPPTL? Kama nadharia hiyo ya Nyerere ni ya kweli basi tujue tumekwisha! Kelele zote kuhusu rushwa na ufisadi unaofanywa na Kikwete na wenzake leo ni za kisanii zisizo na hata chembe ya dhati kwani hata yeye katika ngazi za chini alihusika katika mikataba kama hii ya wenzake leo. Mkataba wa IPPTL uliojaa vipengelevya dhuluma na kuipora Tanzania mamilioni ya walalahoi ulisainiwa na mafisadi ambao ndiyo wakubwa wa serikali leo hii Kikwete akiwemo! Hapa nataka kupinga dhana ya "Kikwete himself has been misled into thinking that this project is too big and too costly, hence it would take too long to build the power plant. The president has now falsely given up hope of implementing this project during his ten-year rule."
Ndiyo tuseme si sahihi kusema Kikwete anapotoshwa au amepotoshwa na washauri wake wa karibu kwa vile hata yeye mwenyewe anaufahamu mchezo unavyofanyika. Ila iko siku yote yaliyofanywa na yanayofanywa gizani kulihujumu taifa letu tukufu yatawekwa hadharani na historia itawahukumu. Mungu ibariki Tanzania.

Natamani na kusubiri kuona siku ambayo tutapata viongozi wenye uchungu hasa na nchi yetu wakiwapanga foleni wahujumu wote wa uchumi wetu regardless wana umri gani, ikiwezekana na wanafamilia wao waliohusika, na kuwapiga risasi hadharani.

Nimekuwa nawafundisha wanangu kuwachukia mafisadi na wahujumu uchumi na ninataka kuwafundisha sasa kwamba ikitokea wakawa wakuu wa nchi hii wasisahau kuwapa adhabu za vifo watu hawa. Hili linawezekana na litakomesha mchezo huu. Ngoja niwatayarishe wanangu kuwa viongozi.
 
Natamani na kusubiri kuona siku ambayo tutapata viongozi wenye uchungu hasa na nchi yetu wakiwapanga foleni wahujumu wote wa uchumi wetu regardless wana umri gani, ikiwezekana na wanafamilia wao waliohusika, na kuwapiga risasi hadharani.

Nimekuwa nawafundisha wanangu kuwachukia mafisadi na wahujumu uchumi na ninataka kuwafundisha sasa kwamba ikitokea wakawa wakuu wa nchi hii wasisahau kuwapa adhabu za vifo watu hawa. Hili linawezekana na litakomesha mchezo huu. Ngoja niwatayarishe wanangu kuwa viongozi.

and tell them that R.A, EL and J.K are his top 3 enemies!? TEACH YOUR KIDS TO HATE THEM WITH INNERMOST PASSION!
 
Walisema he was late for being briefed na balozi wetu maana hata baadhi ya watu kwenye msafara walianza kelele kwamba mbona imechukua muda.Chini watanzania waliokuja kumpongeza walikuwa wanalia tu na wachache walikuwa na maswali hao waliwaka kweli wakitaka aje waanze kusogoa ilishazidi muda.JK hakuwa na ratiba ya kuonana na Watanzania wale ila walijitokeza wenyewe baada ya kusikia

"Raisi wetu JK anawasili leo saa 21:30 usiku kwaajili ya maadhimisho ya Siku ya maendeleo ya jumuiya za ulaya"...Watanzania Wote tumeombwa twende kuonana na Raisi hotelini kwake saa nne usiku.....! Hiyo ndo taarifa tuliyokua tumetangaziwa na balozi wetu.
 
"Raisi wetu JK anawasili leo saa 21:30 usiku kwaajili ya maadhimisho ya Siku ya maendeleo ya jumuiya za ulaya"...Watanzania Wote tumeombwa twende kuonana na Raisi hotelini kwake saa nne usiku.....! Hiyo ndo taarifa tuliyokua tumetangaziwa na balozi wetu.
Nchi ya wasanii mpaka mabalozi wasanii. Si wanapeana hapa ubalozi kama zawadi au kama retirement benefit kwa walioshindwa chaguzi?
 
Adui mkubwa wa maendeleo ya Afrika ni viongozi wetu. Nafikiri sasa inabidi tufike mahali tuanze kuandamana mitaani na mabango ya kulaani uhuni huu wa viongozi wetu pale unapokuwa umebainishwa. Tumechoka sasa na huu wizi na hujuma ya uchumi wetu na maendeleo ya watanzania kwa ujumla.

Kama sikosei mwaka jana Wachina walishatua TZ wakiwa full nondo kwa ajili ya ujenzi wa mitambo ya mradi huo kwa gharama zao wakapigwa stop. Huwezi kuamini.

hiyo yawachina kupigwa stop kuanza ujenzi wa mradi imenitia hasira natamani kulia
 
watu wengi walishastukia hili dili na ndio maana wengi wao hawakuja. Tangu mwenyekiti wa watz Ndugu mwasha alipoanza kutoa ratiba feki wajanja wakajua JK anakwepa maswali ndio maana anajidai ratiba yake ipo taiti. Na huu ni uongo mtupu, kazi alisubiri tu watu waondoke kesho yake akaende kuchezea mabembea kama kawaida yake.
 
Du poleni kwa kukaa hivyo, ina maana hata akija Ulaya bado anakuwa na saa za kiswahili? Saa 4 anatokea 4 na nusu? Mngeondoka tu watu hawaheshimu muda hasa viongozi.

Nadhani pia alimiss mbaya trip za kiwanja ngoja utamsikia anatia tim US muda si mrefu. Gharama zake watanzania watabeba tu ni watu wa AMANI na UKARIMU ULIOTUKUKA.
 
JK-Cairo-640x250.jpg
 
Ratiba ilisema kiongozi wa nchi atawasili hotelini saa nne kamili usiku, ataenda chumbani kwake then in 5 min atashuka chini kuongea na Watanzania...watu wakafika hotelini na kugandishwa hadi saa tano na nusu..alipofika yeye na mkewe akawap watu mikono na musala "Asante kwa kutukRibisha" then huyo shaaa chumbani, kwani... tulimuona tena??kuuliza tukaambiwa kasema hashuki chini tena...hayo si ni madharau?

Huyu ndo Raisi anejali Uzalendo kweli?

Kheeeeeeee ndio gharama ya kujikomba kwa rais Mwizi.
 
Nadhani pia alimiss mbaya trip za kiwanja ngoja utamsikia anatia tim US muda si mrefu. Gharama zake watanzania watabeba tu ni watu wa AMANI na UKARIMU ULIOTUKUKA.

Ni kweli kabisa mkuu watu wakitaka kupinga tu wanaambiwa wanachochea vurugu
 
kaja kula raha belgium nyie mnataka kuleta maswali yenu ambayo hata kuyajibu hawezi? mngemwandikia maswali kabla ili atafute majibu kabla...

halafu na hiyo baridi na afya yake mnataka kutuingiza gharama za uchaguzi mwingine nini?
 
It wounds my heart to find tanzanian behaving like non Tanzanian. Ill advising president for personal interest is not acceptable and if revealed those responsible should face a death penalt.

kikwete should be number 1 to face death penalt cause he is the one signed IPTL contract...
 
Kumbe tunateseka na joto lote hili na giza nene la mgao wa umeme kutokana na kazi ya mafisadi na viongozi wala rushwa? Wallahi nchi hii itakuwa masikini milele...

Waingereza na wamarekani walisema wangelijenga reli ya Tazara Kwa miaka kati ya 25 na 28. Mchina alisema ataijenga kwa miaka mitano lakini aliijenga kwa miaka minne na nusu. Ukitafuta uwiano wa Tazara na Ujenzi wa stigler goerge wa miaka 9, Wachina wataijenga Stigler goerge kwa miaka miwili na nusu. Mbona Dubai Ina mitambo ya umeme wa baharini na Ujenzi wa Dubai nzima na siyo mitambo hauzidi miaka 15.

Tumsaidie Raisi wetu wazalendo.
 
Jamani hapa wa kulaumiwa ni Kikwete au ni washauri wake...! Kuna watu kama akina Commisoioner of Energy mzee Mrindoko, huyu ni wa kufukuza kazi na anastahili afunguliwe mashtaka ya wizi wa mali ya Umma. Huyu ndio chanzo cha mauozo yoote haya yatokanayo na upungufu wa Umeme...!

Amekua Commissioner for more than 10 Yrs na katika kipindi chake ndio mamb yoote ya uozo wa IPTL, Richmond yametendeka...! Hapa wa kulaumiwa asiwe kikwete bali ni Makatibu wakuu, wakurugenzi na commissioners ambao ndio watu technical wanao jua hali halisi zaidi na ndio wanaopindisha mambo kila kukicha...!
 
Come on... Wote tulimsikiliza huyo msanii jinsi alivyoonesha kuwa ni mradi ambao utatumia miaka mingi sana kukamilika. Sasa ukisoma hiyo habari ya This Day (sijui kama umeisoma kabla ya kuchangia?!) utagundua kwamba kumbe mradi unakuwa sabotaged tu na mafisadi. Otherwise ni mradi ambao ulipaswa kutekelezwa siku nyingi sana, na huu upuuzi wa mgao wa umeme ungeshakuwa historia -- kwamba hapo zamani za kale Tanzania kulikuwa na tatizo la umeme na watu wake walilazimika kukaa gizani kwa masaa mengi kutokana na ujinga na usanii wa viongozi wao.

Good MzPunch. Tena hakuna cha mradi kutumia miaka nyingi sana, technologia ya sasa ya dunia ni tofauti sana na 1961 tulipopata uhuru.
Kazi kama hii kwa mfano kuzalisha MW700 za mwanzo hardly inachukia 2 years tu.
Tatizo ni usanii na maneno matamu yasiyotelezwa. Wape wachina huo mradi wa kujenga uone sisimizi hawa wnavyoshambuliaga kazi, provided usanii wa viongozi usipewe nafasi kuuingilia ujenzi wake. Fisadiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Back
Top Bottom