Stieglers Gorge Hydroelectric Project



Usilete masuala ya kusikia mkuu; kama ni kusikia tu, hata mie nimesikia kuwa hiyo tathmini ya mazingira ilitolewa kisanii tu ... ili mradi usifanyike na wakubwa waendelee na mipango ya umeme wa dharura.
Kauli yako hii ndio ukweli halisi mpaka leo, kama uko hai Mungu aendelee kukupa maisha marefu na mazezeta kama huyo fundimchundo hawastahili kuwa hai mpaka leo hii.
 
Leo katika magazeti nimesoma kichekesho limoja kuwa eti moshi mweusi wamuingia Ngeleja. Nikajiuliza hivi editors wanachekesha au? Huyu Waziri ni pandikizi la RA. Katika timu hiyo walikuwa ni pamoja na Masha, Maige, Ngeleja na Bashe alitakiwa ila kwa bahati mbaya ikashindikana!!! Ngeleja anatumikia wazee na hawawezi kumwondoa. Hebu tusikilizie tuone!! Mafisadi are powerful my friend, na kwa sasa wameshikilia Bunge!!! Hakuna kitu kitapita pale bila ngumi kupigwa hadharani. Cha msingi, tujipange kwa 2015 Chadema wawe na kituo chao cha kuhesabia Kura kwa haraka ili kupata uhakika. Yaani suala la mawakala na wasimamizi wa Chadema, kikata, kiwilaya na kila mkoa ni muhimu ili matokeo yangie mtandaoni haraka sana. Kwa mbinu hii mtaweza kukaba hao wachakachuaji.
Hivi hizi akili zenu 'why' mlikubali zikapeperushwa na 'pesa' za Lowassa na kundi lake la Rostam Aziz
 
Environmental Impact Assessment ni nini kwa Kiswahili?

Ni Tathimini ya athari za mazingira. Mradi wowote mkubwa ukijengwa haswa maeneo yenye uoto wa asili, vyanzo vya maji au ndani ya Hifadhi za Taifa, kabla hujaanza kujenga kuna wataalamu wa mazingira wanapima athari za mradi katika mazingira hayo.
 
Kumbe tunateseka na joto lote hili na giza nene la mgao wa umeme kutokana na kazi ya mafisadi na viongozi wala rushwa? Wallahi nchi hii itakuwa masikini milele...
Duh hivi hawa mafisadi walokwamisha hili watakwenda kumjibu nini Mungu kwa haya mambo walokuwa wanafanya na kusababisha shida nyingi kwa wananchi wa Tanzania?
 
Hivi hizi akili zenu 'why' mlikubali zikapeperushwa na 'pesa' za Lowassa na kundi lake la Rostam Aziz
Wengine ilibidi tuombe kushuka porini, tuendelee na mapambano wakati wenzetu walivyo badili safari kutoka ukombozi mpaka kula makombo! Sasa wanasikilizia mziki ambao hawajawahi uhisi hata kuwahi kuufikiria ungewafika na wakalazimika kucheza sindimba ngoma ya ukae...The best is yet to come...Kwa Bwana Yesu kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kuwa ni Bwana huku duniani, kule kuzimu na hata mbinguni...Hii ni next level never seen before!
 
Kumbe Kikwete hajawa misled wala nini, Ikulu yenyewe ilizuia kampuni moja ya Canada kuwekeza kwenye mradi huu ambao ungeikomboa Tanzania kutoka kwenye dimbwi la umaskini!

06/18/2008 AFRICA ENERGY INTELLIGENCE N°466


TANZANIA

Stieglers Gorge Halted



The Tanzanian president‘s office has asked the Rufiji Basin Development Authority to block the entry of Canada's Energem Resources into a project to build a 900 MW hydro power station at Stieglers Gorge headed by Infrastructural Development Finance. (...) [68 words] [1.3€]
Source: DAR ES SALAAM - Stieglers Gorge Halted - Tanzania - Africa Energy Intelligence
@FaizaFoxy soma hii comment usilazimishe kwamba JK alihusika kwenye ujenzi wa JNHPP
 
Back
Top Bottom