One Day yote yataisha haya InshaAllah.
daaah!kaTanzania ketu haka jamani katasurvive kweli mpaka kaweze kudevelop?najiuliza kama kuna aliye safi katika uongozi wa nchi yetu maana kila kona kuna mtu/fisadi limetega means za kuitafuna nchi.kweli kama tutafika tutakua hoi bin taaban
Tanzania zaidi ya uijuavyo. Tutafika tukiwa tumechoka balaaaaaaaaaaaaaa.
Kumbe tunateseka na joto lote hili na giza nene la mgao wa umeme kutokana na kazi ya mafisadi na viongozi wala rushwa? Wallahi nchi hii itakuwa masikini milele...
Am beggining to loose faith kama kweli tutafika..... Maybe wajukuu zetu... Kazi tunayo bila kubadilika hapa.... Sijui tu.:embarrassed::redfaces:ray2:Tanzania zaidi ya uijuavyo. Tutafika tukiwa tumechoka balaaaaaaaaaaaaaa.
Kumbe tunateseka na joto lote hili na giza nene la mgao wa umeme kutokana na kazi ya mafisadi na viongozi wala rushwa? Wallahi nchi hii itakuwa masikini milele...
Kikwete himself has been misled into thinking that this project is too big and too costly, hence it would take too long to build the power plant. The president has now falsely given up hope of implementing this project during his ten-year rule."
I hate when writters say some one was mislead how dare would he do that its him with his arrogance and failure to atributte his priorities for the development of this country not any way round