mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,312
- 55,969
Mwana JF Steven Msaki ambaye ID yake siikumbuki ika najua ni member humu amefariki dunia
Kwa waliokulia masaki miaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 2000 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba
Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s, mzee wake alikuwa Don sana lakini mwamba alichagua kuishi low-profile
Kote alikosoma iwe Forodhani primary, St Anthon, Dakawa High School, Tumaini University na wizara ya Ardhi, walimchukulia powa kutokana na life style yake ya kujichanganya na kila aina ya watu
Wana Mbezi Beach hawatakusahau Bishoo Steve Msaki
Msalimie Babu Sikare😧
Kwa waliokulia masaki miaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 2000 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba
Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s, mzee wake alikuwa Don sana lakini mwamba alichagua kuishi low-profile
Kote alikosoma iwe Forodhani primary, St Anthon, Dakawa High School, Tumaini University na wizara ya Ardhi, walimchukulia powa kutokana na life style yake ya kujichanganya na kila aina ya watu
Wana Mbezi Beach hawatakusahau Bishoo Steve Msaki
Msalimie Babu Sikare😧