we nawe utaona umefanya bidii kuleta habari za kanumba? Si Ndallo kaambatanisha kitu hii kwenye webu ya Kanumba?
Sipati picha siku wadau humu wakitaka kujua profile yangu, maana wengi hawajui hii ID ya Tegelezeni inatumiwa na mtu maarufu na mwenye makeke hapa nchini................LOL
Kina Kanumba wanaogopa nini kuweka profile zao mezani wapenzi wa filamu zao wakawajua kiundani kama hawa mastar wa nje?
Hahahahaaaa "THE GREAT" na 0 form6 hahahahahahaaaa! Ajiendeleze tuu tena nw hana haja ya kuxoma atoe kidogo apate cheti cha div1 serikali ya JK nikutabasamu tuu kama una vijisenti
Sio kwamba namtetea kanumba,la hasha,nimemaliza mwaka mmoja nae pale jite alikuwa hkl yeye na myamba,kanumba ana div 2
Sio kwamba namtetea kanumba,la hasha,nimemaliza mwaka mmoja nae pale jite alikuwa hkl yeye na myamba,kanumba ana div 2
UbarikiweWewe utakuwa kanumba kama siyo then hawara yake Kijana we2 wa Kisukuma
0938
m
stephen kigina
16
iv
general-f physics-s chemist-s biology-d basic a-f
0939
m
stephen zacharia
10
ii
general-s history-d kiswahi-c english-c
0940
m
steven kanumba
12
ii
general-s history-c kiswahi-d english-e
Hii hapa. . . .
Info zaidi chungulia Kanumba, The Great
Steven Charles Kanumba (born January 8, 1984), is a multi award winning Tanzanian actor, with a career spanning more* than a decade. Kanumba has received numerous awards, including; Best Actor of the Year, 2006, Best Actor in Tanzania Award, 2007, Best Artist of the Year* Award, 2007/2008.
Kanumba began acting at an early age, acting in as many church plays as he could, until he had the opportunity after leaving school to act and train with the Kaole Sanaa Group and receive special training with Dr Nyoni at the University of Dar es Salaam which served as a* major stepping stone for his mainstream acting career.
Kanumba began his acting career with appearances in a host of local Tanzanian soap operas like, Jahazi, Dira and Tufani just to name a few. He then expanded his horizon by venturing into the film industry, his first movie being Haviliki,* which was just the beginning of great journey, for* The Great.
Not only is Kanumba a Tanzanian household name, but he's also acted in Nollywood (Nigeria) with some of the greatest names on the Nollywood scene which expanded his career and experience from just being a Tanzanian star to an African star with ambitions of acting in Hollywood.
Having achieved so much before the age of thirty, Kanumba feels that he's only just begun. He looks forward to a long and fruitful career in every area of* the film industry.
Not only is he a successful film star and producer, he is also very active in philanthropy. He has recently been named the OXFAM GROW ambassador for Tanzania.
*
Kanumba extends his love and gratitude to each and everyone that has helped along the way in his career; "first and foremost The Lord God, My Family especially my Mother, Chrissant Mhengga, Kaole Sanaa Group, Mr & Mrs. Mtitu G Game, Sharifa Kalala, Sanura Husein,* Vicent Kigosi, Producers, Directors, Artists, Friends and Loved ones and last but not least my fans all around the world".
0938 m stephen kigina 16 iv general-f physics-s chemist-s biology-d basic a-f 0939 m stephen zacharia 10 ii general-s history-d kiswahi-c english-c 0940 m steven kanumba 12 ii general-s history-c kiswahi-d english-e
Huo ni unafiki tu, na tatizo lingine kubwa wabongo ni kukurupuka mtu hujafanya utafiti kutafuta profile kwenye blog yake unaleta mada zisizo na kichwa wala miguu na kwa kuwa wabongo kwetu majungu ndiyo kazi wakaanza mara ooh hawana cha kuandika wewe unacho, na comment zingine ambazo ukizisoma kwa umakini utagundua kwamba watu wanataka kuandika tu. Weka profile yako wewe kwanza tuione acha maneno yasiyo na maana. Elimu yako haimsaidii yeye kama unaona wewe umesoma sana kushinda yeye basi mwache kijana wa watu.Fanya kazi mwaka mpya huu.
hawana cha kuweka mkuu!!!
Mtawavua nguo bure si unajua hizi kazi ni kubahatisha tu, au kipaji kama cha bongo soccer stars ambao hawafundishiki