Steven Kanumba: Has a Very Touching Story!

Ooooops! filamu yake niliiona mara ya mwisho tukiwa safarini toka Mbeya na basi la Sumry inaitwa "Kijiji cha Haki" niliipenda...R.I.P Kanumba!
 
I'm still shocked! Kifo chake kimesababishwa na nini? Ni mdogo sana jamaniiiii daah,gone too soon....RIP Kanumba,daima utakumbukwa na wengi. Binafsi nakukumbuka kwenye BBA,Mungu akurehemu.

"They say you need to pray, if you want to go to heaven. But they don't tell you what to say when your whole life has gone to hell". God help us.
 
Kwa vile wife na watoto ni fans wa Kanumba, saa hizi amewaamsha watoto wote wamekusanyika sebuleni as is ni msiba wetu!.

acha kusumbua familia......................nunua dvd yake muifaidi polepole huku mkichangia Bongo movie industry...............
 
acha kusumbua familia......................nunua dvd yake muifaidi polepole huku mkichangia Bongo movie industry...............
Rutashuba, sio mimi ni yeye, nilisema "ame"!. Kiukweli huu msiba mmemgusa sana, sikuzote nimekuwa nikijua wife anapenda movies za Kanumba, baada ya kutokea msiba leo, ndio nimegundua kuwa kumbe anachopenda sio movies za Kanumba, bali in actual fact, anapenda Kanumba!.

Kwa jinsi anavyohuzunika utadhani ni ndugu yake!, mpaka kimoyo moyo nikadhania ....

Anyway..

RIP SK The Great!
 
Kuna kitu hapo chunguza mjomba utabaini,inawezekana alijua kila kitu,maana ukienda kutafuta utajiri unapewa miaka ya kuwa na mafanikio then unavuta,huyu jamaa alianza kupata mafanikio 2004/2005 mpaka sasa ni miaka takriban 7,chunguza hapo!

Possibly.....
 
Rutashuba, sio mimi ni yeye, nilisema "ame"!. Kiukweli huu msiba mmemgusa sana, sikuzote nimekuwa nikijua wife anapenda movies za Kanumba, baada ya kutokea msiba leo, ndio nimegundua kuwa kumbe anachopenda sio movies za Kanumba, bali in actual fact, anapenda Kanumba!.

Kwa jinsi anavyohuzunika utadhani ni ndugu yake!, mpaka kimoyo moyo nikadhania ....

Anyway..

RIP SK The Great!





Eeeeh...!!! Baba, ishia hapohapo usiendelee na ikibidi muombe radhi mkeo kwa ka wivu kako...
 
kuna filamu yake ya Big Daddy alicheza na watoto wawili
mwanangu anaipenda sana, aliposikia Kanumba amefariki amelia sana
utadhani mtu mzima.

Ana yake huyo...
Kwani ana umri gani na ni jinsia gani?
 
Wababodi,

Japo mimi sio mshabiki wa Bongo Movies, wife na mabinti ni washabiki (Father of 6!, 3 girls & 3 boys).

Leo nimewahi home na kuangalia Clouds TV kipindi cha "Take One" na Zamaradi Mketema akimzungunzia Bongo Movies No. 1 Top Celeb, Steven Kanumba.

Story yake ni very touching. Ni product ya broken family aliyekumbana na madhila ya wicked step mother!. Jamaa ameteswa sana utotoni na mateso yake yamenigusa sasa na mimi nampenda huyu jamaa.

Kanumba sio tuu ana kipaji cha uigizaji, pia ana kipaji cha muziki anapiga kinanda, gitaa la Galaton na anaimba!.

Kimaisha yuko safi, nyumba nzuri, magari na pesa ya maana. Ni good looking Msukuma ana roho nzuri na hajaoa wala hana mchumba!. (eligible bachelour!).

Pia namkubali sana huyu dada Zamaradi Mketema ni kipaji na kichwa! nae yuko single!, si wa match tuu!.

Kwa mtakaotaka kuona angalieni marudio kesho saa 4.00 usiku Clouds. J4 ijayo part 2 ya Kanumba itaendelea!

Pasco.

Update:
Jamani, baada ya kupokea taarifa za kifo cha Steven Kanumba, nimeikumbuka hii post nilibandika tarehe kama ya leo exactlymiezi miwili iliyopita!.

Kwa vile wife na watoto ni fans wa Kanumba, saa hizi amewaamsha watoto wote wamekusanyika sebuleni as is ni msiba wetu!.

Ama kweli nimeamini maneno ya walimwengu "Wanaopendwa na Wengi, Hufa Wangali Vijana"!.

Nimeguswa sana!.

Rip Steven Kanumba!.

Pasco!.

Unaposema wanaopendwa na wengi hufa angali vijana je unaweza kunithibitishia?
Kama ukishindwa basi pokea salam toka kwa Keny Roggers, Bi Kidude, Maalim Muhidin Gulumo, Pele, na wengine waliouvuka umri wa ujana angali wakiwa hai....
 
Unaposema wanaopendwa na wengi hufa angali vijana je unaweza kunithibitishia?
Kama ukishindwa basi pokea salam toka kwa Keny Roggers, Bi Kidude, Maalim Muhidin Gulumo, Pele, na wengine waliouvuka umri wa ujana angali wakiwa hai....

queen Elizabeth,DAVID BECKHAM,
 
Big up Mkuu Pasco...

RIP Kanumba.

Binafsi nilipomsikia akitamka kuwa hana mpango wowote wa kuoa nikajua huyu kijana maisha yake yatakuwa mafupi. Kwa utajiri aliokuwa nao na jinsi maisha yetu wabongo yasivyo salama alihitaji HOME Management. Funzo kwa vijana wa kisasa

Bible inasema waheshimu baba na mama yako ili upate miaka mingi na kheri duniani.
 
Wababodi,

Japo mimi sio mshabiki wa Bongo Movies, wife na mabinti ni washabiki (Father of 6!, 3 girls & 3 boys).

Leo nimewahi home na kuangalia Clouds TV kipindi cha "Take One" na Zamaradi Mketema akimzungunzia Bongo Movies No. 1 Top Celeb, Steven Kanumba.

Story yake ni very touching. Ni product ya broken family aliyekumbana na madhila ya wicked step mother!. Jamaa ameteswa sana utotoni na mateso yake yamenigusa sasa na mimi nampenda huyu jamaa.

Kanumba sio tuu ana kipaji cha uigizaji, pia ana kipaji cha muziki anapiga kinanda, gitaa la Galaton na anaimba!.

Kimaisha yuko safi, nyumba nzuri, magari na pesa ya maana. Ni good looking Msukuma ana roho nzuri na hajaoa wala hana mchumba!. (eligible bachelor!).

Pia namkubali sana huyu dada Zamaradi Mketema ni kipaji na kichwa! nae yuko single!, si wa match tuu!.

Kwa mtakaotaka kuona angalieni marudio kesho saa 4.00 usiku Clouds. J4 ijayo part 2 ya Kanumba itaendelea!

Paskali.
Kwa wale ambao hawakubahatika kuiona hiki kipindi cha story ya Kanumba, saa hizi kinarudiwa Clouds TV.

Paskali
 
Back
Top Bottom