Jamani, baada ya kupokea taarifa za kifo cha Steven Kanumba, nimeikumbuka hii post nilibandika tarehe kama ya leo exactlymiezi miwili iliyopita!.
Kwa vile wife na watoto ni fans wa Kanumba, saa hizi amewaamsha watoto wote wamekusanyika sebuleni as is ni msiba wetu!.
Ama kweli nimeamini maneno ya walimwengu "Wanaopendwa na Wengi, Hufa Wangali Vijana"!.
Nimeguswa sana!.
Rip Steven Kanumba!.
Pasco!.
Kwa
kweli huu ni ujumbe kwa watu wote walioko physical kwenye
relationships! Nina rafiki wa kike, mumewe akichelewa kurudi anamuwasha
kibao. Nimempigia na kumuonya tena. Wanaume na wanawake mlioko
physical, it is not worth it kuvumilia relationship ya kupigana. Mtu
anazima ndoto zako, umejuana nae 2 years ago! Damn!
Jana niliwanunulia familia 'kijiji cha haki' ....dah!
RIP Steve!
Big up Mkuu Pasco...
RIP Kanumba.
Binafsi nilipomsikia akitamka kuwa hana mpango wowote wa kuoa nikajua huyu kijana maisha yake yatakuwa mafupi. Kwa utajiri aliokuwa nao na jinsi maisha yetu wabongo yasivyo salama alihitaji HOME Management. Funzo kwa vijana wa kisasa
kuna filamu yake ya Big Daddy alicheza na watoto wawili
mwanangu anaipenda sana, aliposikia Kanumba amefariki amelia sana
utadhani mtu mzima.
Kuna kitu hapo chunguza mjomba utabaini,inawezekana alijua kila kitu,maana ukienda kutafuta utajiri unapewa miaka ya kuwa na mafanikio then unavuta,huyu jamaa alianza kupata mafanikio 2004/2005 mpaka sasa ni miaka takriban 7,chunguza hapo!