zacon franco
Senior Member
- Jun 26, 2018
- 103
- 110
Kitu kimoja umetaja hapo cha "government sucks". Kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya kuamini amini mambo kama ya kuwepo kwa Mungu na kupata uongozi mbovu.
Watu wanaoamini kuwapo kwa Mungu ni rahisi sana kuwa manipulate kisiasa na kuwashikia akili.
Ukisoma historia ya falme kubwa zilivyoweza kushika watu wengi, utaona katikati ya utawala wowote mkubwa, ni lazima kuwe na imani ya Mungu.
Wafalme wa Mesopotamia walitambua hili, Waisraeli walitambua hili, Wamisri walitambua hili, Wachina walitambua hili, Wagiriki walitambua hili, Warumi walitambua hili mpaka Constantine akaukumbatia Ukristo na kuhariri Biblia ya leo kwa sababu za kisiasa.
Mpaka ukija kwa watawala wa enzi hizi wakina George W Bush,Obama na Donald Trump wote wametumia dini kupata urahisi kutawala.
Na watawala wanajua kwamba watu wengi hawana muda wa kuchunguza vitu kwa kina, hivyo wanawanasa kwenye mtego wa "For God and Country".
Ndiyo hapo unapoambiwa habari za "fulani chaguo la Mungu". Wakitutajia Mungu tu, wanajua wengi wetu tunapeleka akili likizo!
Na hapo ndipo wanapopata nafasi za kupiga bila mjadala.
ndo serikali yetu ya sasa . wanamquote mungu kila sekunde wapatayo while wana abuse human rights and their constitutional powers , at the same time wamewaconvince a large group of people that they are doing it for the good of the country.
And they are succeeding because of people's prayers.. ! ! ! ! ! ! ! last time i believed in this was when i was 15 ,
its sad that there are adults who would rather you keep quiet than prove to them that their whole life philosophy is a lie.
Moreover they have been used and abused.