Ye Nyumbai
Senior Member
- Mar 24, 2011
- 125
- 37
Hawa wabunge wa ccm ni full kitchen party.
Kwa hiyo kumbe na wewe unajua adabu za mazungumzo, kuwa sio kila neno linasemwa tu popote.
Ingelikuwa watu wote wanatakiwa wafate huo ustaarabu wa Josephine tungesikia maneno ya waongo, wanafiki, wazandiki, vizabizabina na mengineyo aina kama hayo bungeni. Lakini hatuyasikii, watu wanakosoana kwa maneno ya kistaarabu. Si lazima uvunjie watu heshima ndo ujumbe wako ufike. Slaa, Zitto, Mbowe na wengineo hawatumii maneno hayo kufikisha ujumbe wao, na sio kama wanayoyasema yanashuka thamani.
Kwa hili, hapana, hakuna mstaarabu kati ya hao wawili
Samahani eehh.... dada ..eh..dada JoseNi kweli nilimtumia msg.nilimwambia hivi.
Apunguze ushabiki na unafiki anapokuwa anazungumzia hoja bungeni kwani hata katika kijiji chake watu ni masikini sana badala yake aongee uhalisia na si nadharia.Anadhalilisha fani yake.
Hii ni baada ya mimi kwenda kijijini kwake.
she can prove me wrong.
shhhhhh! ushawahi kunyweshwa gongo?Samahani eehh.... dada ..eh..dada Jose
Hivi..?
Mbona sikualikwa kwenye nanihii yenu na Dr..
Bado nafanya zoezi la kuandamana huku....
Halafu kwa protakailuliyo nayao imekaaje kumwandikia Muheshimiwa!
Sio bure Stella Manyanya na Josephine kuna kitu!! Ilikuaje mpaka wakawa wanatukanana kwenye sms? Sisi wote ni watu wazima tafakari
hommie.... hiyo ni name calling aisee.......:A S 114:Mkuu acid sorry MTM wewe kichwa sana big up bro.
hata Josephine ni memberStella got it wrong on Slaa kuhamasisha wananchi wasifanye kazi, sijawahi sikia huu upuuzi, lakini suala la sms naomba tusianze kurusha mawe, slaa is a member of JF, so he can as well clarify kuhusu sms kutoka kwa josephine...
nimeshajua na nime-acknowledge... a few posts behindhata Josephine ni member
kapewa pesa za kunyolea ndevu kahamia kwa waliompaHuyo si ndie aliijita Mpambanaji Ufisadi toka chama cha Magamba, Mafisadi wameisha au? Shame on her. Uinjinia huu wa kwenye siasa aibu tupu
|