Stella Manyanya amkaba koo Dr Slaa

Stella Manyanya amkaba koo Dr Slaa

Kwahiyo mtu mwenye ki certificate cha DIT na mwenye nondo dume ya Eng.ya UDSM kwa mfano,wote wana deserve the same title yaani Eng.Na mwenye MD na clinical officer/certificate ya radiology wote ni Ma Dr??Masihara haya sasa!Vipi na weledi na utendaji wao unafanana katika hizo taaluma zao??
 
Stella Manyanya bado anahesabika ni mtumishi wa TANESCO ingawa ni mbunge,yuko kwenye likizo ya bila malipo......

Si yeye tu,ni wabunge wengi ambao wako kwenye likizo ya namna hii,wakishapata ubunge wanaruhusiwa ama kuacha kazi ama kuomba likizo ya bila malipo mpaka watakapoacha ubunge wao....

Baada ya kuacha ubunge wanayo hiari ya kuendelea na ajira zao ama kuendelea na ustaarabu mwingine wa kuwa wastaafu....


Angalia waraka huu namba 1 wa mwaka 2000,pia kuna marekebisho ambayo yamefanywa katika waraka namba 2 na namba 3 kama sikosei...

Waraka Namba 1 wa Mwaka 2000​
KUHUSU WAGOMBEA UDIWANI, WAGOMBEA UBUNGE WA VITI MAALUM, UBUNGE WA KUTEULIWA NA RAIS KATIKA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA WAGOMBEA UBUNGE KATIKA BUNGE LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI​
1.0 Waraka wa Mkuu wa Utumishi wa Umma Na.1 wa Mwaka 2000 uliwekwa Masharti yanayowaongoza Watumishi wa Umma kushiriki katika shughuli za Kisiasa nchini.
2.0 Baada ya Masharti hayo kutumika kwa muda wa takriban mwaka mmoja na nusu, Serikali imeamua kufanya marekebisho katika Waraka huo kwa lengo la kuboresha Masharti hayo kwa Watumishi wa Umma watakaoamua kugombea au watakaoteuliwa katika nafasi zilizotajwa hapo juu kama ifuatavyo:
2.1 Watumishi wa Umma wanaoamua kugombea Udiwani
Watumishi wa Umma watakaoamua kugombea Udiwani wanaruhusiwa kufanya hivyo na endapo watabahatika kushinda wataendelea na ajira zao kwani Udiwani sio ajira.
Hata hivyo Watumishi wa Umma ambao ni waajiriwa katika Halmashauri (Council) hawaruhusiwi kugombea Udiwani katika Halmashauri wanazofanya kazi.
2.2 Watumishi wa Umma Wanaoamua Kugombea Ubunge Kupitia Viti Maalum
Watumishi wa Umma watakaoamua kugombea Ubunge kupitia Viti Maalulm wanaruhusiwa kufanya hivyo na endapo watashindwa wana hiari ya ama kuacha kazi na kulipwa mafao yao au kuchukua likizo bila malipo kwa kipindi chote cha uhai wa Bunge tangu Tume ya Uchaguzi itakapowatangaza kuwa Wabunge.
2.3 Watumishi wa Umma Wanaoteuliwa na Rais wa Kuwa Wabunge kwa Mujibu wa Ibara ya 66(1)(e) ya Katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 (Toleo la Mwaka 2000)
Watumishi wa Umma watakaoteuliwa na Rais kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Ibara ya 66(1)(e) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (Toleo la Mwaka 2000) wana hiari ya ama kuacha kazi na kulipwa mafao yao au kuchukua likizo bila malipo kwa kipindi chote cha uhai wa Bunge kuanzia siku watakayoteuliwa.
2.4 Watumishi wa Umma Watakaogombea Ubunge Katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki
Watumishi wa Umma watakaochaguliwa kuwa Wabunge katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki wanaweza kuendelea na kazi katika Utumishi wa Umma au kuchukua likizo bila malipo. Aidha, wakati wa kuhudhuria Vikao vya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki watalazimika kutoa taarifa kwa Waajiri wao na watapewa ruhusa maalumu ya kuhudhuria Vikao hiyvo.
3.0 MWISHO
Masharti mengine yanabaki kama yalivyo. Aidha, marekebisho haya yatatumika kuanzia tarehe ya Waraka huu; Isipokuwa kwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Afrika Mashariki marekebisho haya yatatumika kuanzia tarehe 15 Juni, 2001.

Mbunge kuendelea kuwa kwenye register ya utumishi wa umma kwangu ni tatizo la msingi - conflict of interest ni lazima hasa pale inapotekea kuwa mbunge huyo alikuwa senior officer or director. Na ikitokea mbunge huyo yuko kwenye kamati ya bunge inayohusika na ofisi ya mwajiri wake inakuwaje? Kuna shida ya wataalam kiasi gani mpaka serikali ipitishe huu waraka? Hii inabidi irekebishwe haraka.
 
Mkuu,
nadhani wale wanaotetea hoja potofu wataelewa zaidi ufafanuzi uliotoa..
Inapokuja kwenye swala la reality, hapa JF tunasema "a spade is spade" not a big spoon!!!

Kwahiyo mtu mwenye ki certificate cha DIT na mwenye nondo dume ya Eng.ya UDSM kwa mfano,wote wana deserve the same title yaani Eng.Na mwenye MD na clinical officer/certificate ya radiology wote ni Ma Dr??Masihara haya sasa!Vipi na weledi na utendaji wao unafanana katika hizo taaluma zao??
 
Stella Manyanya atema cheche Bungeni akimtuhumu Dr Slaa kwa kuwafundisha wananchi wasifanye kazi wakati yeye amewahamasisha wananchi wa kijiji chake (hakukitaja) wajitolee kufanya kazi za maendeleo, anasema ameudhiwa sana na kauli ya Dr Slaa kuwaambia wananchi wakisikia harufu ya chakula kizuri basi kinakuwa kimepikwa kwa mbunge.

Pia amemuonya anayeitwa Mchumba wa Dr Slaa kwa kumuandikia SMS za kumtukana, anasema eti alifuatilia hizo SMS akakuta zimetoka kwa Josephine Emmanuel.


Najiuliza hivi wabunge wa CCM hawana mambo ya kuchangia zaidi yakuingiza personalities?
Enginner mzima anaongea personal issues kwenye Bunge Kweli CCM inajua kuchakachua wasomi wetu. Sasa alitaka bunge limsaidieje? kwanza huyu mama ana jimbo?
 
Hivi jamani hii nchi yetu imelaaniwa na nani???
Hivi hii MIBUNGE ya Chama Cha Magamba-CCM huwa inateuliwa kwa vigezo gani hasa???

Yaani Engineer mzima wa Tanesco aliyesomea Usambazaji wa Umeme(Electric Power Distribution systems) anakaa Bungeni na kuongea pumba,majungu,fitna na wivu!!! Nina maswali machache kwa huyu Mhandisi uchwara toka TANESCO kama ifuatavyo:
  1. Hivi huyu Stella Manyanya katika kuchangia hotuba ya Bajeti ya ofisi ya WM, alishindwa nini kuongelea TATIZO LA UMEME LINALOTUKABILI WATANZANIA KWA SASA KWA KUWA NA MGAWO WA MIEZI 6 IJAYO????
  2. CV ya huyu JIKE/DUME(Maana picha yake inaonyesha kuwa ana mustachi na ndevu ka beberu) ameshindwa nini kwa mfano kuonyesha umahiri wake Bungeni kuwa yeye ni MHANDISI WA UMEME kutoka shirika la umma TANESCO na ana MBINU MBADALA ZA KUISHAURI SERIKALI KUONDOKANA NA TATIZO LA MGAWO ambalo kwa Wa-tz imekuwa ni wimbo wa Taifa!!!
  3. Kwa vile yeye ana mustachi na ndevu kama wanaume lakini amechagua upande wa wanawake,Je, anaweza kututhibitishia kuwa kile alichoongea kuhusu Dr. Slaa hakihusiani na kumtaka Dr. kimapenzi na ndiyo maana ana chuki na Josephine mke wa Dr.Slaa?
  4. Na kwa vile amechagua upande wa kuwa mwanamke ilhali kuna dalili za uanaume ndani yake,Je, anaweza kuruhusu uchunguzi wa Jopo la Madaktari Bingwa toka Muhimbili na KCMC kama alivyoafanyiwa mwanariadha M-south anayeitwa Semenya ili kuhakiki jinsia yake which is DOMINANT and which is RECESSIVE ili kuondoa shaka kuwa pengine jinsia ya KIUME ndiyo DOMINANT na hivyo anamtaka Josephine kimapenzi?
Niseme tu kwa heshima na taadhima kuwa Stella Manyanya amechemka katika hili na ametuchefua wana-CDM na amejiaibisha yeye mwenyewe na Chama chake cha Magamba. Ni aibu kwa Mhandisi kupeleka UMBEYA Bungeni!

SHAME ON YOU FAKE ENGINEER-STELLA MANYANYA. You don't deserve to be called an engineer. Your reasoning capacity seems to be very shallow man! Probably you graduated through bribes by unlocking your special Password under............!!!
 
Mkuu,
hatujazungumzia acquired doctorate (Ph. D) kama nilivyokoleza na kupigia mstari hapo chini kulingana na maelezo yako.
Hapa tunazungumzia "professional" doctor au engineer au lawyer..whatever "profession" you name..
Tusichanganye mambo wakuu, ni muhimu kuwekana sawa mapema!!
Ukweli ni kwamba Tanzania inaelekea kuwa ni Taifa la upotoshaji kwa kila kitu/jambo including masuala ya taaluma!!
Huu ujanjaujanja hauwezi kutufikisha mbali kama Taifa!!

Ninavyofahamu mie ni kuwa DIT ambayo zamani ilikuwa Dar Technical College, kwa sasa wanatoa Diploma na wanaomaliza wanaitwa Wahandisi.

Kuwa Dr si lazima usome uganga au mifugo. Unaweza kupewa huo U-Dr au ukasoma masomo mengine hadi degree ya tatu (ukiacha waganga) na ukimaliza basi unapata kitu inaitwa PhD yaani Doctor of Philosopy. Hawa nao huitwa Dr.

Mama anaweza kuwa na tatizo kama alilonalo Dr. Billal ambalo wengi waliosoma UDSM kwenye uhandisi, wanakumbuka ukali wa huyu mzee ila inapokuja kwenye siasa, si mkali kihivyo. Unaweza kukuta kiungozi, anapitwa mbali sana na Mbowe ambaye ukiwalinganisha na Billal au Prof. Lipumba/Kapuya unaona kuwa Mbowe kiuongozi anawaacha mbali sana.

Mnafanya makosa sana kuchanganya Siasa na akili za darasani/kazini.
 
Ni Hasara kwa taifa kuwa na wawakilishi wa namna hii bora angekuwa hajaenda shule kama prof majimarefu tungeelewa lakini mhandisi mzima anaongelea person issue bungeni ni aibu wanapoteza muda wakisubiria posho zao watuibie walala hoi.Shame on her.
Stella Manyanya atema cheche Bungeni akimtuhumu Dr Slaa kwa kuwafundisha wananchi wasifanye kazi wakati yeye amewahamasisha wananchi wa kijiji chake (hakukitaja) wajitolee kufanya kazi za maendeleo, anasema ameudhiwa sana na kauli ya Dr Slaa kuwaambia wananchi wakisikia harufu ya chakula kizuri basi kinakuwa kimepikwa kwa mbunge.

Pia amemuonya anayeitwa Mchumba wa Dr Slaa kwa kumuandikia SMS za kumtukana, anasema eti alifuatilia hizo SMS akakuta zimetoka kwa Josephine Emmanuel.


Najiuliza hivi wabunge wa CCM hawana mambo ya kuchangia zaidi yakuingiza personalities?
 
huu ni upuuzi! Umaskini uliokidhiri tanzania mbunge unaongelea sms isiyo na madhara yoyote tena bungeni! No logic here,wrong speech in a wrong place! Aaaaghrr!
 
utashangaa magazeti kuipa uzito hii habari! Tunaomba watu wa news room wawaachie watu wa udaku habari kama hizi na tujadili mgao usioisha
 
Naona alikuwa hana cha kuchangia,by the way ndo zao wabunge wa CCM majungu majungu na wao mwisho wa siku posho kama kawa we need people who are serious and deliver.
 
huyo mbunge kadhalilisha jimbo
hata kama katokewa na mtu harafu mchumba wake
anapiga kelele Bunge sio mahali pa mambo kama haya

tunawalipa kutetea mambo yetu wao wanakwenda kutetea chama kwa kutangaza
magomvi ya unyumba
kama JOSEPHINE kamtumia sms kumzuia ahache ukwere kwa waume za watu sisi inatusaidia nini?
hatoe hiyo message kabisa tujue kiliandika nini?

harafu inawezekana vipi mtu kufanya huo upelelezi bila kibari cha polisi? mambo ya namba za simu ni siri kubwa alitoa wapi hizo taarifa kwamba hiyo namba ni huyo mama?
 
Mhitimu wa Full Technician Certificate = Technician ama fundi mchundo ndiyo maana kuna neno Technician kwenye mtiririko wa FTC.
Mhitimu Advanced Diploma in Engineering (ADE)= ni Enginner kamili kama ilivyo kwa BSc. Eng. Kwa kuwa mama wa watu keshapiga ADE ya EE, basi anastahili cheo cha u-engieer pamoja na kwamba kaongea utumbo bungeni.
 
Nimewasoma huyo ni ndg yng kabisa Eng. B. Mahenge na kwao napafahamu ila amesahau alichotumwa na wananchi wake Bungeni mwache akalie majungu yatamgharimu mwisho wa msimu wake! Tunamsubiri atuletee hizo posho alizodai anazisaini kwa ajili ya kuja kutuletea wananchi wake kinyume cha hayo fagio litafuata.
 
Hivi jamani hii nchi yetu imelaaniwa na nani???
Hivi hii MIBUNGE ya Chama Cha Magamba-CCM huwa inateuliwa kwa vigezo gani hasa???

Yaani Engineer mzima wa Tanesco aliyesomea Usambazaji wa Umeme(Electric Power Distribution systems) anakaa Bungeni na kuongea pumba,majungu,fitna na wivu!!! Nina maswali machache kwa huyu Mhandisi uchwara toka TANESCO kama ifuatavyo:
  1. Hivi huyu Stella Manyanya katika kuchangia hotuba ya Bajeti ya ofisi ya WM, alishindwa nini kuongelea TATIZO LA UMEME LINALOTUKABILI WATANZANIA KWA SASA KWA KUWA NA MGAWO WA MIEZI 6 IJAYO????
  2. CV ya huyu JIKE/DUME(Maana picha yake inaonyesha kuwa ana mustachi na ndevu ka beberu) ameshindwa nini kwa mfano kuonyesha umahiri wake Bungeni kuwa yeye ni MHANDISI WA UMEME kutoka shirika la umma TANESCO na ana MBINU MBADALA ZA KUISHAURI SERIKALI KUONDOKANA NA TATIZO LA MGAWO ambalo kwa Wa-tz imekuwa ni wimbo wa Taifa!!!
  3. Kwa vile yeye ana mustachi na ndevu kama wanaume lakini amechagua upande wa wanawake,Je, anaweza kututhibitishia kuwa kile alichoongea kuhusu Dr. Slaa hakihusiani na kumtaka Dr. kimapenzi na ndiyo maana ana chuki na Josephine mke wa Dr.Slaa?
  4. Na kwa vile amechagua upande wa kuwa mwanamke ilhali kuna dalili za uanaume ndani yake,Je, anaweza kuruhusu uchunguzi wa Jopo la Madaktari Bingwa toka Muhimbili na KCMC kama alivyoafanyiwa mwanariadha M-south anayeitwa Semenya ili kuhakiki jinsia yake which is DOMINANT and which is RECESSIVE ili kuondoa shaka kuwa pengine jinsia ya KIUME ndiyo DOMINANT na hivyo anamtaka Josephine kimapenzi?
Niseme tu kwa heshima na taadhima kuwa Stella Manyanya amechemka katika hili na ametuchefua wana-CDM na amejiaibisha yeye mwenyewe na Chama chake cha Magamba. Ni aibu kwa Mhandisi kupeleka UMBEYA Bungeni!

SHAME ON YOU FAKE ENGINEER-STELLA MANYANYA. You don't deserve to be called an engineer. Your reasoning capacity seems to be very shallow man! Probably you graduated through bribes by unlocking your special Password under............!!!
mwanewani umetoboa ngomaa
 
Ni kweli Stella alikuwa anammendea Dr wa ukweli, Josephine alpogundua akaamua kumtolea uvivu, stella nae hasira za kutukanwa na josephine anaenda kuzitolea bungeni, badala ya kujadili budget anajadili isue zake binafsi...
Duh, kwa hiyo chanzo ni kibuti/kutoswa?hivi na magonjwa haya bado kuna haja ya kumng'ang'anìa mume/mchumba wa mtu?nina wasiwasi huyu mama ndo wale ''wachuna-buzi'' wa kimataifa, ila hapo kagonga mwamba.au labda kashamaliza za magamba, sasa anataka kujaribu za magwanda aone kama zina tofauti
 
Mkuu,
hao uliyowataja hakuna hata mmoja anayestahili hizo title..unless walifanya miujiza ndiyo wakapewa katika mazingira maalum..
Nikupe mfano: Bill Gates ambae hakuwahi ku-graduate lakini amefanya mengi katika ulimwengu wa science and technology..huyu wakimtunuku u-engineer wa heshima hakuna tatizo kabisa.
Lakini huyo Bi. Kagoda na Bi. Manyanya uliyowanukuu wamefanya yapi makubwa na ya ajabu hapa Tanzania ili tuwatunuku na kuwaenzi kwa hizo title?

Ndugu yangu ninakusikitikia sana, unaongea kitu gani hapa sasa?? nikuongezee kidogo kwa alichosema Balantanda hapo juu.

Lazima utofautishe tunuku za heshima na tunuku za kukaa darasani na kusomea. Kwa mfano Dr. Kikwete(tunuku) na Dr. Mpango(Darasani), ama Prof. Maji marefu(kujitunuku) na Prof. Lipumba(darasani), ama Dr. Augustine Mrema(tunuku) na Dr. Augustine Mahiga(darasani), hiyo ni mifano michache tu kati ya mingi.

Hata hivyo ni vizuri ukafahamu kwamba kwenye engineering kabla ya kumaliza masomo ni lazima kufanya project ama research ambayo inakuwa na credit kubwa sana miongoni mwa masomo yako na ukiifaulu ndipo unakuwa eligible kutunukiwa cheti cha degree ama adv.diploma. Ukifeli project ama research hata kama umefaulu masomo mengine huwezi kusajiliwa na bodi ya wahandisi.

Dr. Aisha Kigoda anastahili kuitwa Dr. kwa kuwa ana Adv. Diploma na Eng. Stella Manyanya ni stahili yake kuitwa engineer kwa kuwa ana Adv. Diploma. Hebu jaribu kutofautisha taaluma na personal wishes, nimekuambia tangu mwanzo usibishe kitu usichokijua na kwa mara nyingine tena nasema take it from me, once you have Adv. Diploma in Engineering wewe ni engineer na unAtambuliwa na bodi ya wahandisi ERB.
 
Nimewasoma huyo ni ndg yng kabisa Eng. B. Mahenge na kwao napafahamu ila amesahau alichotumwa na wananchi wake Bungeni mwache akalie majungu yatamgharimu mwisho wa msimu wake! Tunamsubiri atuletee hizo posho alizodai anazisaini kwa ajili ya kuja kutuletea wananchi wake kinyume cha hayo fagio litafuata.
Kwa kumbukumbu zangu sidhani kama huyu kilaza Stella Manyanya ana jimbo, ninavyojuwa mimi huyu ni mbunge wa hisani tu kama kina mama Madabida.
Kama wewe ndugu huyu ni mbunge wako kweli, basi tafadhali tujulishe ni mbunge wa jimbo gani? JF sio sehemu ya porojo.
 
Kwahiyo mtu mwenye ki certificate cha DIT na mwenye nondo dume ya Eng.ya UDSM kwa mfano,wote wana deserve the same title yaani Eng.Na mwenye MD na clinical officer/certificate ya radiology wote ni Ma Dr??Masihara haya sasa!Vipi na weledi na utendaji wao unafanana katika hizo taaluma zao??

Usichanganye madawa mkuu, hapa tunazungumzia Adv. Diploma vs Bachelor degree

Ingawa kuna tatizo watu wengine wakisikia tu neno certificate wanachanganyikiwa, kuna nchi nyingine degree wanaita diploma ama certificates mfano Geremany na nyinginezo. Kwakuwa watanzania wengi wanathamini neno degree wakiamini kwamba ndio elimu "nondo" basi si ajabu wasomi wetu wengi kujivika madoctorate ya kufoji ili waonekane wasomi.

Na bahati mbaya sana watu wengi inaonekana hawaifahamu hii kitu inayoitwa FTC-Full Technician Certificate, hizi ni kozi miaka mitatu na zilikuwa zinatolewa na vyuo kama DIT, TCA, MIST, NIT na Karume Technical College.
 
Mkuu,
nadhani wale wanaotetea hoja potofu wataelewa zaidi ufafanuzi uliotoa..
Inapokuja kwenye swala la reality, hapa JF tunasema "a spade is spade" not a big spoon!!!

Mkuu achana na huyo, hana uhakika na anachokizungumza, angalau huyu hapa chini anaelewa mfumo wa elimu ya FTC ulivyo, atakufaa sana ukijifunza kutoka kwake, wengiune wanaandika tu kutafuta sifa pasipokujua FTC ni kozi ya namna gani.

Mhitimu wa Full Technician Certificate = Technician ama fundi mchundo ndiyo maana kuna neno Technician kwenye mtiririko wa FTC.
Mhitimu Advanced Diploma in Engineering (ADE)= ni Enginner kamili kama ilivyo kwa BSc. Eng. Kwa kuwa mama wa watu keshapiga ADE ya EE, basi anastahili cheo cha u-engieer pamoja na kwamba kaongea utumbo bungeni.

Na hii hapa tena ni nyongeza yako.

Usichanganye madawa mkuu, hapa tunazungumzia Adv. Diploma vs Bachelor degree

Ingawa kuna tatizo watu wengine wakisikia tu neno certificate wanachanganyikiwa, kuna nchi nyingine degree wanaita diploma ama certificates mfano Geremany na nyinginezo. Kwakuwa watanzania wengi wanathamini neno degree wakiamini kwamba ndio elimu "nondo" basi si ajabu wasomi wetu wengi kujivika madoctorate ya kufoji ili waonekane wasomi.

Na bahati mbaya sana watu wengi inaonekana hawaifahamu hii kitu inayoitwa FTC-Full Technician Certificate, hizi ni kozi miaka mitatu na zilikuwa zinatolewa na vyuo kama DIT, TCA, MIST, NIT na Karume Technical College.

na kama bado tu hujaelewa mtafute Sikonge ama Engineer ama Fillipo watakusaidia, hao wanaifahamu vizuri FTC na hata hivyo ilishawahi kujadiliwa hapa hii kitu sijui kama ulikuwepo JF ma hukubahatika kuuona huo mjadala, jaribu kuutafuta utaupata ili kujielimisha zaidi.
 
Back
Top Bottom