Statement: Positive results from Buzwagi processing trial

Statement: Positive results from Buzwagi processing trial


Nafikiri unafahamu kwamba serikali imefuta kodi kwa wakulima wadogo wadogo, wale wanaosafirisha mazao chini ya tani 1 kwa wakati mmoja. Sasa Magufuli amekuwa akiwaambia wakulima kwamba ili wasilipe kodi wasisafirishe mazao yanayozidi tani 1 kwa mara moja. Yaani kama mkulima kazalisha tani 1, basi awe anabeba kidogo kidogo hadi amalize mazao yake. Hata kama kazalisha zaidi ya tani 1, asombe kidogo kidogo ili asitozwe ushuru!! Sikiliza hotuba zake alizotoa Kigoma, juzi Manyara na kadhalika.
 
Nafikiri unafahamu kwamba serikali imefuta kodi kwa wakulima wadogo wadogo, wale wanaosafirisha mazao chini ya tani 1 kwa wakati mmoja. Sasa Magufuli amekuwa akiwaambia wakulima kwamba ili wasilipe kodi wasisafirishe mazao yanayozidi tani 1 kwa mara moja. Yaani kama mkulima kazalisha tani 1, basi awe anabeba kidogo kidogo hadi amalize mazao yake. Hata kama kazalisha zaidi ya tani 1, asombe kidogo kidogo ili asitozwe ushuru!! Sikiliza hotuba zake alizotoa Kigoma, juzi Manyara na kadhalika.
Hivi do u have any idea wakulima tunavyonyonywa. Hiyo evasion of tax ni issue ndogo sana, ukitukusanya bado utasikia vilio kibao, alafu hili si ni faida kwa wazawa, unajaribu kulinganisha na kodi hao wawekezaji wa kizungu wametuibia miaka nenda rudi. Ndio wapinzani mmefikia hapo kweli.
Lengo ni kumkosoa tu Mr president, dah. That is so low, to use it as a yard stick man.
 
DKT-NWHXoAAlcDt.jpg
 
Kampuni ya uchimbaji madini ya Buzwagi, ACACIA imetangaza kuwepo kwa mafanikio chanya katika mfumo mpya walioubuni wa kuchakata makinikia hapa hapa nchini.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ACACIA ni kwamba matarajio ni makubwa kuwa mafanikio haya yataongeza mapato ya mgodi kutoka hasi hadi chanya na kuokoa ajira ya maelfu ya watanzania.

Itakumbukwa kuwa miezi michache iliyopita Rais Dkt. John Pombe Magufuli aliagiza kusimamishwa kwa muda usafirishaji wa makinikia nje ya nchi na kudai kuwa inawezekana kabisa uchakataji wa makinikia ukafanyika hapa nchini ili kunusuru mali za asili za nchi yetu.
FB_IMG_1506094866985.jpg
 
Hahaha sizonje vp wametulipa tupate noah zetu???
 

Attachments

naona ushindi unakuja kwa ulazima... huyu ndio magufuli sio mtu wa mchezoooo..

mwanzo si walisema haiwezekani hadi yapandishwe meli kwenda duniani
 
Ni hivi zamani walikuwa wanaprocess kiasi kidogo cha dhahabu hapa nchini, halafu sehemu kubwa inauzwa nje kama makinikia lakini ndani yake ni dhahabu. Ndio sababu wameyumbwa kibiashara kutokana na zuio la makinikia wakati pamoja na kwamba wanaendelea na uuzaji dhahabu kama kawaida. Yaani Makinikia yalikuwa na faida kubwa zaidi kuliko dhahabu. Maajabu!
Nadhani kiingereza ni lugha iliyokuja na meli wengi kama wewe na mimi hatuelewi vizuri. Kwa maelezo hapo ni kuwa 65% ilikuwa inatokana na matofali ya dhahabu na 35% inatoka kwenye makinikia. Kutokana na makinikia kupigwa marufuku wameamua kubadilisha technology na mfumo wa uchenjuaji ambapo kuanzia sasa hawatatengeneza makinikia lakini watapata 85% ya dhahabu yote kama matofali
 
Nadhani kiingereza ni lugha iliyokuja na meli wengi kama wewe na mimi hatuelewi vizuri. Kwa maelezo hapo ni kuwa 65% ilikuwa inatokana na matofali ya dhahabu na 35% inatoka kwenye makinikia. Kutokana na makinikia kupigwa marufuku wameamua kubadilisha technology na mfumo wa uchenjuaji ambapo kuanzia sasa hawatatengeneza makinikia lakini watapata 85% ya dhahabu yote kama matofali

Sasa kama kweli walikuwa walikuwa wanapata 65% kwanini wameyumba kibiashara to the point downsizing ya shughuli zao kwa sasa is well beyond 35%? Msitake kufanya Watanzania wote ni malofa. Kwanini wanayumba kibiashara kiasi hicho kutokana na Makinikia wakati wanaendelea na production ya dhahabu?

Na kwenye kiingereza, don't get me started.
 
Good news!!

Ila nauliza washatoa mchango wa matibabu kwa ajili ya mtetezi wao Antipas?
 
Alafu kesho utasikia wanafanya mambo kwa siri wakati kila wanachofanya hukiweka wazi kwa serikali na wana hisa wao.

Wametuibia kupitia sheria na mikataba tuliosaini na si vinginevyo.

Tuache kujikosha na kutafuta kick wakati ujinga ulikuwa wetu.

Tatizo ni kuwaona wale wanaohoji maamuzi ya wale tunaowaona "miungu watu" kama wasaliti.

Hata sasa kuna mambo watu wakihoji wanaonekana kama wahalifu lakini huko baadae yatakuja kututokea puani.
Hebu jielekeze kwenye taarifa ya uzalishaji acha kulalamika tu.
Huo ni uthibitisho kuwa mchanga una dhahabu nyingi sana kama professor Mruma alivyobainisha
 
Hivi do u have any idea wakulima tunavyonyonywa. Hiyo evasion of tax ni issue ndogo sana, ukitukusanya bado utasikia vilio kibao, alafu hili si ni faida kwa wazawa, unajaribu kulinganisha na kodi hao wawekezaji wa kizungu wametuibia miaka nenda rudi. Ndio wapinzani mmefikia hapo kweli.
Pumbavu kabisa!
 
Back
Top Bottom