meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Umeisoma ukaielewa hiyo statement?ahsante lissu, ulisema yote haya lakini ukaishia kupigwa risasi. hatuibiwi kwenye matope Bali kwenye dhahabu yenyewe na mikataba mibovu tuliyoingia wenyewe.
Umeisoma ukaielewa hiyo statement?ahsante lissu, ulisema yote haya lakini ukaishia kupigwa risasi. hatuibiwi kwenye matope Bali kwenye dhahabu yenyewe na mikataba mibovu tuliyoingia wenyewe.
Soma vizuri uelewe taarifa apo serikali ndiye mshindi ipende nchi yako...JPM Hongera kwa ujasiri wako mpaka hao wezi wameanza kunyookaahsante lissu, ulisema yote haya lakini ukaishia kupigwa risasi. hatuibiwi kwenye matope Bali kwenye dhahabu yenyewe na mikataba mibovu tuliyoingia wenyewe.
Acha kupotosha mkuu...Badala ya kuzalisha kopa, silver na dhahabu kama walivyokuwa wanasema, sasa wanazalisha dhahabu na silver tu. Kopa yote wanatupa, je nani amepata hasara. Umejiuliza hili swali.
Ndio nimeuliza inakuwaje sasaMkuu hoja ya copper,Rhodium and other precious metals iko pale pale sisi sio mburula
Kwenye mazingira ganiInaachwa hapa hapa nchi.
Haya majitu ni janga la Taifa mkuu.Umeisoma ukaielewa hiyo statement?
Poa siku njemaSijakuelewa unachomaanisha "mazingira gani"?
We jamaa ni mzito sana kuelewa, halafu upo negative sided... Hela yenu ya kopa kutoka wapi? Hata kama kopa itatupwa , itakuja kuchenjuliwa tena baada ya technologia kukua. .. Soma uelewe kwanza kabla ya kukomentWewe hujui kitu kuhusu hili. Tuhoji hela yetu ya kopa inalipwaje. Tuwaulize
Ndio usubiri matokeo ya majadiliano sasa.Ndio nimeuliza inakuwaje sasa
Basi hiyo kopa wawape wajasiriamaliBadala ya kuzalisha kopa, silver na dhahabu kama walivyokuwa wanasema, sasa wanazalisha dhahabu na silver tu. Kopa yote wanatupa, je nani amepata hasara. Umejiuliza hili swali.
Huyo hana ABC ya anachojaribu kuongea,hajui kitu hajui hata metallurgy ikoje,hajui kopa inaweza kukaa pale hata miaka mia siku tukiamua kujenga smelter yetu wajukuu wanaweza kuprocessSoma taarifa vizuri...mbona mnapenda kuskia mabaya tu yakiipata serikali ya Tanzania hivi mmezaliwa Kenya au Uarabun? kwa ufupi mwizi ameshkwa pabaya tumia jicho la tatu kuiptia hiyo taarifa ukweli ni kua makampuni ya Madini yalikua yanatuibia na mawakala wao ambao wengine ni Watanzania wenzatu wasiolipenda Taifa letu ambao wengine baada ya awamu hii walaiamua kuhama nchi...haya makampuni bado wanatakiwa kudhibitiwa vizuri
Mpaka teknolojia ikue, we kweli hujui ulisemalo. Una maagano na Mungu kuwa teknolojia itakuwa. Thats was only my challenge to u, and u have failed it. Hunijui mimi ni nani, wala sikujui. Mimi nazingumzia maslahi ya nchi, wewe unaleta stori hapa. Get out wherever u see my comments.We jamaa ni mzito sana kuelewa, halafu upo negative sided... Hela yenu ya kopa kutoka wapi? Hata kama kopa itatupwa , itakuja kuchenjuliwa tena baada ya technologia kukua. .. Soma uelewe kwanza kabla ya kukoment
Hujui ulisemalo.Kuanzi sasa sitochangia kitu tena kwenye thread hii. Nitakuwa naangalia tu.Basi hiyo kopa wawape wajasiriamali
Mkuu inapelekwa kwenye sehemu ya takataka, sasa hapo haijatupwa.
Serikali ni bora ihoji, je hiyo kopa inayopelekwa kwenye shimo la taka, hela yetu inakuwaje
Sijaona unachojua. Bora kimya tuWewe hujui kitu kuhusu hili. Tuhoji hela yetu ya kopa inalipwaje. Tuwaulize