Chidu Mangalili
Senior Member
- Mar 24, 2017
- 144
- 96
Ni matokeo ya wapinzani kuliibua hilo bungeni na nje ya binge,hatimaye hongera ya udhubutu wa ufuatiliaji na ukamataji wa serekali ya sasa.
Wapelekee wanaccm wenzakoNina dushelele tu !....unataka kujisevia ?
Poa !Wapelekee wanaccm wenzako
Kunywa chai ulale CCM.Poa !
Kunywa kiroba ukashike ukuta mwana ukawa !Kunywa chai ulale CCM.
HahahahaKunywa kiroba ukashike ukuta mwana ukawa !
Kwa akili zako ajira nchini umeona ni udereva tu ndo unakufanya uachie madini yetu yaondoke??Badae tutasema mizigo bandarini imepungua, yale malori madereva watafute mashamba wakalime