Hata mimi nashangaa wameitoa bila sababuNi wiki ya pili Sasa sijaangalia East Africa got talent kupitia clouds...... Wameitoa tena bila taarifa wamenikera. Naenda kununua Tena Azam pambafu Sana mimi
Na antenna piaClouds tv imeondolewa kwenye Dish
Wanapataje hasara wakati walitumia mitambo ya tbc?halafu pia kuna taarifa kuwa toka wameanza 2012 hawakuwahi kulipa kodi hadi 2018 ndo wameanzaWachina wanasema tokea wamefunga hiyo mitambo wanapata hasara wacheni wapandishe bei ili nao waanze kupata faida
Huwa najiunga weekend tuIcho kifurushi cha Siku unaungaje mkuu mana kwa mwezi ni hasara
Vifurushii vyao vikojee hiviiNasubir jibu la clouds tv kutoweka