daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 2,499
- 2,204
habari, planet note ina battery iliyounganishwa moja kwa moja, tafadhari fika na simu yako ofs za startimes kwa msaada zaidiNaulizia kama kuna spare battery ya planet note(startimes).
No, yangu haina built-in battery, and naulizia pia kama kuna spare kioo cha planet notehabari, planet note ina battery iliyounganishwa moja kwa moja, tafadhari fika na simu yako ofs za startimes kwa msaada zaidi
Nashukuru wapendwa Startimes kwa kunirejeshea hizi local channels, lakini nashangaa Clouds tv ambayo ni miongoni mwa local channels hamjanifungulia kulikoni mbona mnafanya kazi kwa mitego? hebu nifungulieni bwana.Tafadhalini Startimes wengine hamtutendei haki, mfano mimi king'amuzi changu chenye smart card na. 02035066969 hakioneshi kabisa chaneli zile za ndani zinazotakiwa kuoneshwa bila malipo isipikuwa TBC 1, lakini pia ninapolipia kifurushi cha mambo basi hunigharimu tshs 6,000/= kuangalia baadhi chaneli pamoja na hizo za ndani lakini baada ya siku 7 zinafungwa na kubakia TBC 1 tu. Je kuna nini hapa, kama mmenielewa naomba ufafanuzi wa tatizo hili na kama hakuna maelezo basi naomba mnifungulie hizo chaneli za ndani kama TCRA walivyoagiza, natanguliza shukrani.
Habari wote,Habari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
King'amuzi changu kinaandika OTA DOWNLOAD, hakionyeshi programs. Nifanyeje??habari, planet note ina battery iliyounganishwa moja kwa moja, tafadhari fika na simu yako ofs za startimes kwa msaada zaidi