Stars yatoka sare Swaziland

Stars yatoka sare Swaziland

Tenga amedumu miaka tisa kwenye uongozi, ulitaka akae miaka mingapi zaidi ndio atufikishe huko mbali?
MIAKA TISA kwenye uongozi, nini kikubwa alichokifanya cha kujivunia? Katika muda huo Taifa Stars ilishindwa kufuzu AFCON tano, 2006, 2008, 2010,2012, 2013.

Hakuna timu ya vijana iliyofuzu michuano ya Afrika ambayo tungesema ni mtaji wa badaae.

Muda wa miaka Tisa ulitosha kuandaa timu ya vijana ambayo tungekuwa tunaitarajia kufuzu AFCON kwa sasa.

Timu ya taifa iliweza angalau kuwa inapata ushindi katika kipindi cha Tenga.

Tenga amejenga nidhamu ya taasisi ya TFF ...Kumbuka enzi za FAT ya kina ndolanga...

Tenga ndiye aliyeanzisha ligi kuu inayoeleweka na kuweza kuvutia wadhamini wa kutosha kwenye ligi kuu....

Timu ilivyokua inaenda kwa kipindi cha paulsein na tenga ilianza kuwa timu inayoaminika...kwamba unaweza ukaiamini stars itashinda....

Chini ya huyu mtu hovyo kuwahi kutokea katika soka Jamal Malinzi kuna kipi kipya? au Jezi?
 
Last edited by a moderator:
Timu ya taifa iliweza angalau kuwa inapata ushindi katika kipindi cha Tenga.

Tenga amejenga nidhamu ya taasisi ya TFF ...Kumbuka enzi za FAT ya kina ndolanga...

Tenga ndiye aliyeanzisha ligi kuu inayoeleweka na kuweza kuvutia wadhamini wa kutosha kwenye ligi kuu....

Timu ilivyokua inaenda kwa kipindi cha paulsein na tenga ilianza kuwa timu inayoaminika...kwamba unaweza ukaiamini stars itashinda....

Chini ya huyu mtu hovyo kuwahi kutokea katika soka Jamal Malinzi kuna kipi kipya? au Jezi?

Wadhamini wa kutosha kwenye Ligi Kuu? Tusichanganye mabadiliko yanayotokana na utandawazi na kuyafanya kuwa mafanikio ya kiongozi.

Ligi Kuu inayoeleweka!!! Mbona Ligi Kuu isiyoelewaka ya kina Ndolanga iliweza kutoa timu zilizofika hatua ya makundi ya Ligi ya mabingwa Afrika ( Yanga 1998 na Simba 2003). Ligi Kuu ya Tenga unayosema ya kueleweka ilitoa bingwa wa Ligi aliyefika wapi kwenye michuano ya Afrika?

Sikumbuki wala sijaona sehemu yoyote ambayo Taifa Stars ilishinda MECHI TATU MFULULIZO kwenye hicho kipindi ambacho wewe unasema tulikuwa angalau.

kulinganisha uongozi wa mwaka mmoja na uongozi wa miaka tisa ni vichekesho, tuwaachie mabingwa wale wa magazeti yetu ya copy and paste na habari viporo.

Nidhamu ya taasisi ni hoja iliyokaa kisiasa zaidi, suala la kufikirika zaidi kuliko uhalisia.
 
Last edited by a moderator:
Wadhamini wa kutosha kwenye Ligi Kuu? Tusichanganye mabadiliko yanayotokana na utandawazi na kuyafanya kuwa mafanikio ya kiongozi.

Ligi Kuu inayoeleweka!!! Mbona Ligi Kuu isiyoelewaka ya kina Ndolanga iliweza kutoa timu zilizofika hatua ya makundi ya Ligi ya mabingwa Afrika ( Yanga 1998 na Simba 2003). Ligi Kuu ya Tenga unayosema ya kueleweka ilitoa bingwa wa Ligi aliyefika wapi kwenye michuano ya Afrika?

Sikumbuki wala sijaona sehemu yoyote ambayo Taifa Stars ilishinda MECHI TATU MFULULIZO kwenye hicho kipindi ambacho wewe unasema tulikuwa angalau.

kulinganisha uongozi wa mwaka mmoja na uongozi wa miaka tisa ni vichekesho, tuwaachie mabingwa wale wa magazeti yetu ya copy and paste na habari viporo.

Nidhamu ya taasisi ni hoja iliyokaa kisiasa zaidi, suala la kufikirika zaidi kuliko uhalisia.

Mkuu.....Wadhamini hawawezi kupeleka pesa zao katika sehemu ambayo wanaona kuna ubabaishaji...uimara wa uongozi na taasisi unasaidia sana kuutia wadhamini...And Tenga was strong....

Kwamba Rushwa kipindi cha ndolanga na ufisadi mkubwa hadi rage akafungwa ni hoja ya kisiasa?

Kwamba madai ya wadhamini wa sasa Vodacom kwamba TFF inatumia pesa zao visivyo ni siasa?

Kiongozi mzuri anaonekana tu hata anapoanza na jinsi anavyoweka vipaumbele vyake...Kwa huyu Disgrace ya soka la Tanzania Jamal Malinzi kipaumbele chake ni Jezi?? seriously Jezi? mtu anaweka hadi shindano la ku design jezi....

Kwa huyu malinzi kweli priority ni kumfukuza kocha ambaye tulianza kuona matumaini kwake.....

Nakuomba sana usihusishe sana kufeli na kufanikiwa kwa simba na Yanga na TFF...Hizo timu nazo ni janga la nchi hii na zina matatizo yake lukuki...

Hapa tuongelee TFF na timu ya Taifa........

Malinzi anataka kupeleka mambo kibabe ili kuzikimbia chalenge...Tenga was smart alikua ni mtu fair na mwenye msimamo....

Huyu malinzi uchaguzi tu wa Simba umeonesha true colors zake......

Ndio maana nasema tunahitaji watu kama kina Tenga....kwanza ukimwangalia tu Tenga unaona ni mtu smart anayejua anachofanya...ila ukimwangalia malinzi unaona mtu mjanja mjanja na mwizi mwizi....yani yupo yupo tu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu.....Wadhamini hawawezi kupeleka pesa zao katika sehemu ambayo wanaona kuna ubabaishaji...uimara wa uongozi na taasisi unasaidia sana kuutia wadhamini...And Tenga was strong....

Kwamba Rushwa kipindi cha ndolanga na ufisadi mkubwa hadi rage akafungwa ni hoja ya kisiasa?

Kwamba madai ya wadhamini wa sasa Vodacom kwamba TFF inatumia pesa zao visivyo ni siasa?

Kiongozi mzuri anaonekana tu hata anapoanza na jinsi anavyoweka vipaumbele vyake...Kwa huyu Disgrace ya soka la Tanzania Jamal Malinzi kipaumbele chake ni Jezi?? seriously Jezi? mtu anaweka hadi shindano la ku design jezi....

Kwa huyu malinzi kweli priority ni kumfukuza kocha ambaye tulianza kuona matumaini kwake.....

Nakuomba sana usihusishe sana kufeli na kufanikiwa kwa simba na Yanga na TFF...Hizo timu nazo ni janga la nchi hii na zina matatizo yake lukuki...

Hapa tuongelee TFF na timu ya Taifa........

Malinzi anataka kupeleka mambo kibabe ili kuzikimbia chalenge...Tenga was smart alikua ni mtu fair na mwenye msimamo....

Huyu malinzi uchaguzi tu wa Simba umeonesha true colors zake......

Ndio maana nasema tunahitaji watu kama kina Tenga....kwanza ukimwangalia tu Tenga unaona ni mtu smart anayejua anachofanya...ila ukimwangalia malinzi unaona mtu mjanja mjanja na mwizi mwizi....yani yupo yupo tu

Hayo madai ya wadhamini kudai pesa kutumika vibaya umeyasikia wapi? Kuna msemaji yeyote wa kampuni ya wadhamini amenukuliwa?

Au na wewe unaamini stori za Mwananchi na Mwanaspoti ambazo kila siku wanaishia kusema 'juhudi za kuwatafuta wahusika hazikufanikiwa baada ya wote kuwa wamezima simu'

Kwa akili ya kawaida, meneja wa Vodacom au TBL anaweza kukosekana hewani au ofisini kwake kwa zaidi ya wiki?

Narudia tena, Tenga alileta nini kikubwa kwenye miaka yake TISA ya uongozi wa mpira? Our football was shit before, during and after Tenga rule. Tunahitaji mbinu nyingine, kuanza ksema sijui bora enzi za fulani na fulani ni kujidanganya sana.
 
Last edited by a moderator:
Hii nchi tungejaribu kuweka vipaumbele na kwenye michezo mingine labda tinaweza kupata chochote kwenye kandanda naona tumefeli!Tenga kamaliza mda wake na lawama sawa na waliopita na huyu nae ndo kwanza ana miaka miwili keshachokwa!
 
Jamal Malinzi

Hivi huyu anaweza kweli kuliinuwa soka la Tanzania? I doubt.


cc Bishanga

Siku tulipowacharaza Benin 4-1 hatukuona wala kusoma maneno kama haya. Kwa kweli uongozi unahitaji moyo wa subira. CC. Jamal Malinzi (Muwe mnachagua timu za kueleweka hata tukifungwa haina noma kuliko kutoa sare na vibonde kama hawa).
 
Last edited by a moderator:
Hayo madai ya wadhamini kudai pesa kutumika vibaya umeyasikia wapi? Kuna msemaji yeyote wa kampuni ya wadhamini amenukuliwa?

Au na wewe unaamini stori za Mwananchi na Mwanaspoti ambazo kila siku wanaishia kusema 'juhudi za kuwatafuta wahusika hazikufanikiwa baada ya wote kuwa wamezima simu'

Kwa akili ya kawaida, meneja wa Vodacom au TBL anaweza kukosekana hewani au ofisini kwake kwa zaidi ya wiki?

Narudia tena, Tenga alileta nini kikubwa kwenye miaka yake TISA ya uongozi wa mpira? Our football was shit before, during and after Tenga rule. Tunahitaji mbinu nyingine, kuanza ksema sijui bora enzi za fulani na fulani ni kujidanganya sana.

You must be blind......Kabla ya Tenga taifa stars ilikua inamfunga nani?
 
Siku tulipowacharaza Benin 4-1 hatukuona wala kusoma maneno kama haya. Kwa kweli uongozi unahitaji moyo wa subira. CC. Jamal Malinzi (Muwe mnachagua timu za kueleweka hata tukifungwa haina noma kuliko kutoa sare na vibonde kama hawa).

Mkuu Makoye mwana gete gete,

Kocha na uongozi mzima TFF ni vipofu, sisi hatuna mashindano karibuni, sasa kulikuwa na umuhimu gani kupeleka timu ile ile ambayo imeshindwa kufuzu?

Kama nia ni kujiandaa na na mashindano makubwa yajayo, kocha na uongozi walitakiwa uifumua timu na kuchagua vijana ambao tuanze kuwaandaa tayari kwa WC2018. Sasa unamuita Ntiro, kweli tuko serious? Hawa wachezaji wote wazee tulitakiwa tuache wawajibike na vilabu vyao, tujenge vijana au timu tayari kwa 2018 na kuendelea.

Huu mtindo wa kujagua kwa majina, tumeona jinsi Kapombe alivyoitwa wakati hayuko fit kabisa, wite tuliona. Kuna uwezekano huyu kocha hana uhuru na ufanyakazi wake (i mean anaingiliwa kazi) au uwezo wake ni duni.
 
Tunahitaji kiongozi Mwenye fikra yakinifu mbunifu na Mwenye nia ya dhati ya kuendeleza soka letu, ni aibu miaka 30 bila kushiriki hata kombe la bara la Africa
 
You must be blind......Kabla ya Tenga taifa stars ilikua inamfunga nani?

I might be blind lakini nahisi umeanza kuifuatilia Taifa Stars baada ya Tenga kuingia madarakani. A simple google search will give you good answers to your question.
 
Kama wanakagua wewe umejuaje TFF wamepiga hela hata kabla ya ripoti ya wakaguzi kutoka?

Taifa starz maboresho unajua hesabu zk zmekaaje? mpango wa kuhama karume ambao hata fifa wameupinga, unajua umewanenepesha watu wangapi pale tff?
hv unajua kisa kizima cha jezi mpya za starz?
Kaa hivo hivo!
 
pelegrinius-rutahyuga_300_175.jpg

Mshauri wa masuala ya kiufundi wa Rais wa TFF, Jamali Malinzi, Pelegrinius Rutahyuga.

TIMU ya soka ya taifa, Taifa Stars jana ilitoka sare bao ya 1-1 dhidi ya wenyeji wao Swaziland katika mechi iliyochezwa mjini Mbabane. Mechi hiyo ilikuwa ya kimataifa ya kirafiki inayotambuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).

Kabla ya kwenda Mbabane, Stars ikiwa na wachezaji 20 iliweka kambi ya siku tatu Johannesburg, Afrika Kusini. Habari kutoka Mbabane zinasema mchezo ulikuwa mkali, lakini mwamuzi anadaiwa kuiuma Taifa Stars.

“Mchzeo ulikuwa mzuri, huku Swaziland hali ya hewa ilikuwa baridi kali sana, vijana walijitahidi sana, lakini kuna mambo mengine sio ya kulalamikia, waamuzi hawakuchezesha kwa haki hata kidogo, alitunyima penalti ya wazi kabisa na alitoa kadi za njano nyingi upande wetu bila mpangilio,” alisema mshauri wa masuala ya kiufundi wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Jamali Malinzi, Pelegrinius Rutahyuga.

Rutahyuga alisema bao la Stars lilifungwa na mshambuliaji wa kimataifa anayecheza soka ya kulipwa TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Thomas Ulimwengu.

Rutahyuga alisema Stars inatarajiwa kurejea nchini leo kujiandaa na ratiba nyingine.

Wachezaji waliokwenda Mbabane chini ya Kocha Mkuu Mart Nooij ni Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta wanaocheza TP Mazembe, Mwinyi Kazimoto anayecheza soka ya kulipwa Qatar na Juma Lazio anayechezea Zesco ya Zambia.

Wengine ni nahodha Nadir Haroub, Kelvin Yondani, Amri Kiemba, Shomari Kapombe, Aggrey Morris, Deogratius Munishi.

Aidha wengine ni Aishi Manula, Said Moradi, Oscar Joshua, Himid Mao, Emmanuel Simwanda, Salum Abubakari, Saidi Ndemla, Haruna Chanongo, Simon Msuva, Abubakar Mtiro, Hassan Isihaka, Erasto Nyoni na Salim Mbonde.

Chanzo:Habari leo
 
Mafanikio mdogo ya tenga

Kufuzu Chan.
Kuchukua challenge.

Malinzi hata apewe 20 years hata nusu fainali ya challenge hamtafika_!!



Kwanza shame kule town arudi karume
 
Taifa starz maboresho unajua hesabu zk zmekaaje? mpango wa kuhama karume ambao hata fifa wameupinga, unajua umewanenepesha watu wangapi pale tff?
hv unajua kisa kizima cha jezi mpya za starz?
Kaa hivo hivo!

Tanzania kichwa cha mwendawazimu, si ajabu tukasikia ofisi za tff zimehamishiwa Rwanda kisha fifa kuja kutengua uamuzi na kuamuru ofisi zibaki palepale Karume. Hayo ndo maajabu ya huyo mwongozaji wa tff.
 
Timu ya taifa iliweza angalau kuwa inapata ushindi katika kipindi cha Tenga.

Tenga amejenga nidhamu ya taasisi ya TFF ...Kumbuka enzi za FAT ya kina ndolanga...

Tenga ndiye aliyeanzisha ligi kuu inayoeleweka na kuweza kuvutia wadhamini wa kutosha kwenye ligi kuu....

Timu ilivyokua inaenda kwa kipindi cha paulsein na tenga ilianza kuwa timu inayoaminika...kwamba unaweza ukaiamini stars itashinda....

Chini ya huyu mtu hovyo kuwahi kutokea katika soka Jamal Malinzi kuna kipi kipya? au Jezi?

bila shaka unatumika, mbaya zaidi unatumika vibaya! enzi za tenga timu ilikuwa inashinda alafu ikishinda ilikuwa inakatwa point hadi kushindwa kufuzu afcon? au walikuwa wanashinda chumbani? tenga mlimuona bora kwa kukaa miaka isiyopungua8 tff, iweje huyu mwenye mwaka mmoja tu mnamshambulia? chuki zako hazikufikishi popote
 
Last edited by a moderator:
nguvu nimekueleza vizuri....mwanzo mbaya daima hua hauna matokeo mazuri...Huyu ambaye ameanza na priority ya kubadili jezi unategemea nini kutoka kwake...?

Eti na kuhamishia ofisi posta ndio priority ya Malinzi.....Ndio maana nasema huyu Jamal Malinzi ni Disgrace to our soccer
 
Last edited by a moderator:
pelegrinius-rutahyuga_300_175.jpg

Mshauri wa masuala ya kiufundi wa Rais wa TFF, Jamali Malinzi, Pelegrinius Rutahyuga.

TIMU ya soka ya taifa, Taifa Stars jana ilitoka sare bao ya 1-1 dhidi ya wenyeji wao Swaziland katika mechi iliyochezwa mjini Mbabane. Mechi hiyo ilikuwa ya kimataifa ya kirafiki inayotambuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).

Kabla ya kwenda Mbabane, Stars ikiwa na wachezaji 20 iliweka kambi ya siku tatu Johannesburg, Afrika Kusini. Habari kutoka Mbabane zinasema mchezo ulikuwa mkali, lakini mwamuzi anadaiwa kuiuma Taifa Stars.

"Mchzeo ulikuwa mzuri, huku Swaziland hali ya hewa ilikuwa baridi kali sana, vijana walijitahidi sana, lakini kuna mambo mengine sio ya kulalamikia, waamuzi hawakuchezesha kwa haki hata kidogo, alitunyima penalti ya wazi kabisa na alitoa kadi za njano nyingi upande wetu bila mpangilio," alisema mshauri wa masuala ya kiufundi wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Jamali Malinzi, Pelegrinius Rutahyuga.

Rutahyuga alisema bao la Stars lilifungwa na mshambuliaji wa kimataifa anayecheza soka ya kulipwa TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Thomas Ulimwengu.

Rutahyuga alisema Stars inatarajiwa kurejea nchini leo kujiandaa na ratiba nyingine.

Wachezaji waliokwenda Mbabane chini ya Kocha Mkuu Mart Nooij ni Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta wanaocheza TP Mazembe, Mwinyi Kazimoto anayecheza soka ya kulipwa Qatar na Juma Lazio anayechezea Zesco ya Zambia.

Wengine ni nahodha Nadir Haroub, Kelvin Yondani, Amri Kiemba, Shomari Kapombe, Aggrey Morris, Deogratius Munishi.

Aidha wengine ni Aishi Manula, Said Moradi, Oscar Joshua, Himid Mao, Emmanuel Simwanda, Salum Abubakari, Saidi Ndemla, Haruna Chanongo, Simon Msuva, Abubakar Mtiro, Hassan Isihaka, Erasto Nyoni na Salim Mbonde.

Chanzo:Habari leo

Hebu ona hawa wanatumia tu pesa zetu na kuzifuja hovyo

Timu ya taifa chini ya malinzi haitakaa ifike popote

Kwanza wamejazana wahaya tu pale TFF....

Na kwa nature yao ya kuji boost wakaacha majengo ya TFF pale karume na kwenda kupanga Ohio Street ,Posta....Hio ni nini kama sio kutaka kutumia fedha vibaya tu
 
Taifa starz maboresho unajua hesabu zk zmekaaje? mpango wa kuhama karume ambao hata fifa wameupinga, unajua umewanenepesha watu wangapi pale tff?
hv unajua kisa kizima cha jezi mpya za starz?
Kaa hivo hivo!

Huyu Lonestriker anajifanya haoni huo uchafu......Kuna mwenzake nguvu nae anajifanya kipofu....Tenga ametuwezesha Kufuzu Chan na Kuchukua challenge.

Huyu poyoyo Jamal Malinzi anaanza na ufisadi....
 
Last edited by a moderator:
Naomba kuuliza, huko TFF mshauri wa "kiufundi wa Rais wa TFF" anachaguliwa au anaajiriwa?

Pelegrinius Rutahyuga
 
Huyu Lonestriker anajifanya haoni huo uchafu......Kuna mwenzake nguvu nae anajifanya kipofu....Tenga ametuwezesha Kufuzu Chan na Kuchukua challenge.

Huyu poyoyo Jamal Malinzi anaanza na ufisadi....

samahani ndugu unataka malinzi ayafanye yote hayo kwa mwaka mmoja? tenga kipindi anachukua uongozi watu wengi tulishachoka na madudu ya fat, so hakupata shida kuiongoza taasisi tatizo kwa malinzi wanaomkwamisha ni wengi mno, embu tukumbushe ilikuwaje maximo mwanzo hakuwa na vigezo vya kuifundisha kili stars na baadae akaifundisha! hayo sio madudu ya tenga?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom