Stars yatoka sare Swaziland

Stars yatoka sare Swaziland

Mafanikio mdogo ya tenga

Kufuzu Chan.
Kuchukua challenge.

Malinzi hata apewe 20 years hata nusu fainali ya challenge hamtafika_!!



Kwanza shame kule town arudi karume

Ha! Ha! Ha! Naona umekiri kuwa ni mafanikio madogo....ulimwengu utashangaa kutaja ubingwa wa Challenge kuwa ni mafanikio...
 
nguvu nimekueleza vizuri....mwanzo mbaya daima hua hauna matokeo mazuri...Huyu ambaye ameanza na priority ya kubadili jezi unategemea nini kutoka kwake...?

Eti na kuhamishia ofisi posta ndio priority ya Malinzi.....Ndio maana nasema huyu Jamal Malinzi ni Disgrace to our soccer

mwanzo mbaya hauna mwisho mzuri? acha kukariri wewe 2010 wc spain alifungwa game ya kwanza na kuchukua kombe, pia swala la jezi watu wengi tulilalamika kuwa hazina utambulisho wa taifa na malinzi alitolea ufafanuzi kuwa zile jezi alizikuta, sasa analeta jezi zenye utambulisho wa taifa mnalalamika mnataka nini nyie watu?
 
Last edited by a moderator:
Huyu Lonestriker anajifanya haoni huo uchafu......Kuna mwenzake nguvu nae anajifanya kipofu....Tenga ametuwezesha Kufuzu Chan na Kuchukua challenge.

Huyu poyoyo Jamal Malinzi anaanza na ufisadi....

Ukitaja mafanikio ya kubeba Challenge basi hata Ndolanga anatufaa zaidi maana chini yake tulibeba kombe hilo bila hata wadhamini, tulibeba Ubingwa Castle Challenge cup....

Unaongelea CHAN ambayo sisi tumekuwa tukiweka kikosi kamili ilhali wenzetu wanaleta vikosi C na kutusumbua mpaka kesho.
 
Last edited by a moderator:
Ha! Ha! Ha! Naona umekiri kuwa ni mafanikio madogo....ulimwengu utashangaa kutaja ubingwa wa Challenge kuwa ni mafanikio...

eti chan mara challenge upuuzi mtupu, kwa tuliofatilia challenge tunajua mazingira ya ushindi yalivyopatikana, pili tulicheza final na timu ya taifa ambayo nchini kwao walikuwa hawajui kama kunatimu ya taifa lao iko tz inashindana
 
mwanzo mbaya hauna mwisho mzuri? acha kukariri wewe 2010 wc spain alifungwa game ya kwanza na kuchukua kombe, pia swala la jezi watu wengi tulilalamika kuwa hazina utambulisho wa taifa na malinzi alitolea ufafanuzi kuwa zile jezi alizikuta, sasa analeta jezi zenye utambulisho wa taifa mnalalamika mnataka nini nyie watu?

Na ni nyie watu wengi mlilalamika ofisi zihamishiwe posta? Hivi hao watu wengi walitoa maoni wapi kuhusu jezi? na huo uwingi ulipimwaje? Ndugu dont judge things by looking at its face.....
 
Ukitaja mafanikio ya kubeba Challenge basi hata Ndolanga anatufaa zaidi maana chini yake tulibeba kombe hilo bila hata wadhamini, tulibeba Ubingwa Castle Challenge cup....

Unaongelea CHAN ambayo sisi tumekuwa tukiweka kikosi kamili ilhali wenzetu wanaleta vikosi C na kutusumbua mpaka kesho.

tatizo hawa wanazani sisi ni mashabiki oya oya, tunafatilia soka, waulize wakutajie kikosi kilichocheza fainali na tz hadi tukachukua challenge (kikosi cha tembo) kama wanamjua mchezaji hata mmoja
 
Ukitaja mafanikio ya kubeba Challenge basi hata Ndolanga anatufaa zaidi maana chini yake tulibeba kombe hilo bila hata wadhamini, tulibeba Ubingwa Castle Challenge cup....

Unaongelea CHAN ambayo sisi tumekuwa tukiweka kikosi kamili ilhali wenzetu wanaleta vikosi C na kutusumbua mpaka kesho.

Ndolanga alikua na matatizo yake mengine mengi tu hasa ya wizi...ambayo hana tofauti na huyu Malinzi

Tenga alileta nidhamu ya kitaasisi...

Hata hayo mafanikio unayosema machache Tenga aliyapata...

Sasa huyu Malinzi wenu kuna hata dalili ya hayo mafanikio?

Kuna mipango gani endelevu ya kuendeleza soka inayoonekana?

Au ni kuhamishia ofisi posta?

Shomire bana
 
Na ni nyie watu wengi mlilalamika ofisi zihamishiwe posta? Hivi hao watu wengi walitoa maoni wapi kuhusu jezi? na huo uwingi ulipimwaje? Ndugu dont judge things by looking at its face.....

mwanzo mbaya mwisho mbaya na hiyo tolea ufafanuzi
 
tatizo hawa wanazani sisi ni mashabiki oya oya, tunafatilia soka, waulize wakutajie kikosi kilichocheza fainali na tz hadi tukachukua challenge (kikosi cha tembo) kama wanamjua mchezaji hata mmoja

Mkuu...kunaweza kuwa na mtu hamfahamu mchezaji hata mmoja lakini akawa na mawazo,mtazamo chanya sana kwenye soka letu...Kwa hio usijisifu kufahamu majina ya watu
 
mwanzo mbaya mwisho mbaya na hiyo tolea ufafanuzi

Msingi ukiwa mbovu nyumba haitakuwa imara.....Nimekuuliza Na ni nyie watu wengi mlilalamika ofisi zihamishiwe posta? Hivi hao watu wengi walitoa maoni wapi kuhusu jezi? na huo uwingi ulipimwaje?
 
Ndolanga alikua na matatizo yake mengine mengi tu hasa ya wizi...ambayo hana tofauti na huyu Malinzi

Tenga alileta nidhamu ya kitaasisi...

Hata hayo mafanikio unayosema machache Tenga aliyapata...

Sasa huyu Malinzi wenu kuna hata dalili ya hayo mafanikio?

Kuna mipango gani endelevu ya kuendeleza soka inayoonekana?

Au ni kuhamishia ofisi posta?

Shomire bana

we jamaa kuelewa huwezi kabisa, hivi ni watanzania wangapi wana kiu na challenge pamoja na chan? na ni wangapi unahisi wana kiu na afcon? sio utoe idadi kwani nafahamu hakuna idadi kamili, unadhani wapi wako wengi kati ya wanaotamani chan na afcon?
 
Mkuu...kunaweza kuwa na mtu hamfahamu mchezaji hata mmoja lakini akawa na mawazo,mtazamo chanya sana kwenye soka letu...Kwa hio usijisifu kufahamu majina ya watu

point yangu sio kufahamu wachezaji namaanisha kuwa tulicheza na wauza machungwa wa tembo ni si timu ya taifa
 
we jamaa kuelewa huwezi kabisa, hivi ni watanzania wangapi wana kiu na challenge pamoja na chan? na ni wangapi unahisi wana kiu na afcon? sio utoe idadi kwani nafahamu hakuna idadi kamili, unadhani wapi wako wengi kati ya wanaotamani chan na afcon?

Unajua ndugu nakushangaa sana

Hebu nikuulize wewe

Watanzania wana kiu na nini?

Na je unaiona hio kiu kukatwa na Uongozi wa TFF chini ya malinzi?
 
Unajua ndugu nakushangaa sana

Hebu nikuulize wewe

Watanzania wana kiu na nini?

Na je unaiona hio kiu kukatwa na Uongozi wa TFF chini ya malinzi?

naamini watanzania wengi wana kiu na afcon na si chan, malinzi apewe muda tu
 
Ndolanga alikua na matatizo yake mengine mengi tu hasa ya wizi...ambayo hana tofauti na huyu Malinzi

Tenga alileta nidhamu ya kitaasisi...

Hata hayo mafanikio unayosema machache Tenga aliyapata...

Sasa huyu Malinzi wenu kuna hata dalili ya hayo mafanikio?

Kuna mipango gani endelevu ya kuendeleza soka inayoonekana?

Au ni kuhamishia ofisi posta?

Shomire bana

Kumtetea kiongozi aliyekaa miaka TISA na kushindwa AFCON tano ni kazi niliyojua lazima itakushinda tu, naona umeingia kwenye ukabila sasa.
 
Kumtetea kiongozi aliyekaa miaka TISA na kushindwa AFCON tano ni kazi niliyojua lazima itakushinda tu, naona umeingia kwenye ukabila sasa.

Mkuu tusibishane sana hapa...its a matter of time....huyu malinzi huyu I swear before ardhi na mbingu and before GOD hatachukua Challenge,hataenda popote kwenye AFCON na hatashinda taji lolote la kimataifa.....Huo wa kwako ni ushabiki mandazi.....Mtu mwenye mipango endelevu anaonekana hata katika kupanga timu yake na mipango yake...kwa huyu mhaya Jamal Malinzi aliyejaza wahaya pale TFF hakuna kitu....misifa tu ya kuhamishia ofisi posta
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom