Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
bongo ukisikia watu wanamzungumzia mtu anayekula bata basi ujue ni wale mapopo ambao hawalali usiku wa manane!kuna wabishi wanakula bata zao ndefu tena mchana kweupe!wengine kujifungia ndani ndo starehe zao,wengine kusafiri.....starehe yako ipi au bata lako unalila kwa style ipi?............mnyama unyamani!