Star TV yarudi Star Times baada ya Maridhiano

Star TV yarudi Star Times baada ya Maridhiano

radiation

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2013
Posts
241
Reaction score
254
kutokana na kuamriwa na mamlaka ya mawasiliano TCRA star tv wameamua kurudi rasmi na kuendelea kurusha matangazo yao kupitia startimes.

====================
Ufafanuzi toka Star TV
====================

Mkuu,

Tunaonekana kwenye Star Times kutokana na makubaliano na mazungumzo yanayoendelea ili kuwa na maslahi kwa wote kibiashara na kwa ajili ya kutoa huduma ya habari na burudani kwa jamii, na si vinginevyo.

Asante.
Tunapenda kuwashauri wapenzi wa Star TV wenye ving'amuzi vya Star Times wa-"scan" upya ving'amuzi vyao ili waweze kupata matangazo yetu. Asanteni.

======================
Ufafanuzi toka Star Times
======================

Habari yenu wana jamii forum

tunapenda kuwajulisha wateja wetu kuwa kwa sasa Chanel ya Startv imerudi hewani na inapatikana bure kabisa kama ilivyokuwa awali, wateja wetu wataendelea kuiangalia chanel hii pamoja na zingine tano, (ITV, EATV, CLAUDS TV kwa dar, CHANEL TEN) Bure hata muda wao wa hewani utakapokuwa umemalizika

tunapenda kuwashukuru kwa uvumilivu wateja wetu wote na tunawaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.

Tunapenda kuwakumbusha wateja wetu kuwa kuna changamoto nyingi sana, lakini tunajitahidi sana kuweza kutatua matatizo madogo madogo kwa wateja wetu. Tunashauri kama mteja wetu atakuwa na tatizo lolote ni vema akatoa taarifa na sio kukaa kimya kwani kukaa na tatizo kisha kulalamika sio kutatua tatizo. Tuna timu ya mafundi 100 ambao wanazunguka mitaani kutoa misaada bure kabisa ya kiufundi.

tafadhari kama kuna yeyote mwenyetatizo anaweza kututumia namba yake ya simu katika inbox yetu

tunashukuru sana
 
[h=5]Sahara Media Group Ltd
[/h][h=5]Star-TV is back on Star-Times, is available on DSTV and will conclude signing legal agreements with other digital broadcasting operators in the near future.

Star-TV has maintained a legal and healthy agreement with DSTV and we would like for everyone to follow in their footsteps.

We want to provide a premium service to all our customers with our intellectual property without compromising other... digital broadcasting operators.

....

We are effectively continuing our efforts to sell our continental digital decoders alongside our partners in an effort to enhance media content consumption with all Tanzanians.

....

We are glad to announce the arrival of our first lot of Continental Decoders at a price of Tsh. 130,000 (inclusive of installation) with 1 year free subscription to all channels.

Full Channel List: (60 channels by next year)

Star TV
ITV
Channel 10
Capital TV
EA TV
Citizen TV
TBC
VOA
France 24
DW

Up coming Channels:

Kidsco,
BBC World News,
TLC (Travel & Living Channel),
Discovery ID,
Discovery Science,
Aljazeera,
African Movie Channel,
Hope TV,
Zing Music,
Zee Cinema,
CCTV4,
CCTV9,
CCTV News.

Continental Decoder Features:

1. DVB-T/T2
2. Record Live TV to USB: USB 2.0 Flash Disk or External Hard Disk
3. Pause/Resume Live TV (time-shift)
4. Instant Recording
5. Record from EPG
6. 1080p High Definition Resolution
7. 8 Day Electronic Program Guid (EPG).
8. HDMI/Component/Composite Outputs
S/PDIF Output
9. Aspect Ratio
Adjustment 4:3/16:9
10. Subtitles, Parental Lock
11. Create Favourite Channels List

Decoder Availability:

Mwanza, Dar Es' Salaam
Other Regions: Update coming Soon

Further details

[/h]
 
kutokana na kuamriwa na mamlaka ya mawasiliano TCRA star tv wameamua kurudi rasmi na kuendelea kurusha matangazo yao kupitia startimes

asavali nilimic pikabom,futuhi,kikeke na vipind vizur tu.japo sjapenda warud humo startimes(ndo kingambuzi nachotumia nilitamani wote wajitoe ili huyo aliyekula dili akatuletea hz takataka za str times atie akili
 
Nimefurahi sana kuona Star tv wamerudi kwenye KISIMBUZI cha star time. Huo ndio uungwana.
 
kutokana na kuamriwa na mamlaka ya mawasiliano TCRA star tv wameamua kurudi rasmi na kuendelea kurusha matangazo yao kupitia startimes

Mkuu,

Tunaonekana kwenye Star Times kutokana na makubaliano na mazungumzo yanayoendelea ili kuwa na maslahi kwa wote kibiashara na kwa ajili ya kutoa huduma ya habari na burudani kwa jamii, na si vinginevyo.

Asante.
 
Tunapenda kuwashauri wapenzi wa Star TV wenye ving'amuzi vya Star Times wa-"scan" upya ving'amuzi vyao ili waweze kupata matangazo yetu. Asanteni.
 
Bila shaka kipengele cha LSA (legal Service Agreement) kimezingatiwa kwa pande zote mbili!
 
Mkuu,

Tunaonekana kwenye Star Times kutokana na makubaliano na mazungumzo yanayoendelea ili kuwa na maslahi kwa wote kibiashara na kwa ajili ya kutoa huduma ya habari na burudani kwa jamii, na si vinginevyo.

Asante.

Mkuu kwahio sasa hivi mtakuwa premium channel?

Na ni kweli kwamba mkiwa premium channel hamruhusiwi kuwa na matangazo ya biashara? Nimeona hii kupitia post ya TCRA kitu ambacho na kiona ni njia moja ya kufanya channel hiwe na wakati mgumu kujiendeleza. Swala la matangazo ya biashara ni kati ya kampuni za biashara na channel wenyewe ,serikali kazi yao kuchukua kodi sasa kwanini TCRA hiwakataze kufanya matangazo ya biashara kama mkiwa premium?

Swala lingine nataka kuuliza ni kwanini wale wenye tv zenye uwezo wa kupata digital channel wanashindwa kupata free local channels mpaka wanunue ving'amuzi wakati TCRA wanasema wanatakiwa wazipate bila wasi wasi?

Na je nikiwa na digital converterbox nitaweza kupata hizi digital channel za bure kwa kutumia antenna yangu kwenye tv hizi za zamani bila kushirikisha king'amuzi cha startimes na zingine?
 
baada ya mwaka unalipia kiasi gani kwa mwezi?
 
Afadhali, mana huku kwetu tayari watu walishatengeneza dili. Wanaunganisha kimagumashi kwa buku 2 tu unawashuhudia futuhi kiulaiiiiiniiii...
 
Habari za muda huu toka Startimes zimethibitisha Star Tv kurudi hewani kupitia kisimbuzi cha Startimes kwa hiyo ile sintofahamu iliyojitokeza sasa imekwisha
 
U-turns kwa bongo ni kitu cha kawaida. Don't trust anyone, except yourself.

Unaweza kumuunga mtu mkono, mara kesho anafanya bonge la U-turn, tena bila indicators.
 
kama imerudi tunashukuru mungu maana habari ni muhimu katika kila Tv station
 
Habari yenu wana jamii forum

tunapenda kuwajulisha wateja wetu kuwa kwa sasa Chanel ya Startv imerudi hewani na inapatikana bure kabisa kama ilivyokuwa awali, wateja wetu wataendelea kuiangalia chanel hii pamoja na zingine tano, (ITV, EATV, CLAUDS TV kwa dar, CHANEL TEN) Bure hata muda wao wa hewani utakapokuwa umemalizika

tunapenda kuwashukuru kwa uvumilivu wateja wetu wote na tunawaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.

Tunapenda kuwakumbusha wateja wetu kuwa kuna changamoto nyingi sana, lakini tunajitahidi sana kuweza kutatua matatizo madogo madogo kwa wateja wetu. Tunashauri kama mteja wetu atakuwa na tatizo lolote ni vema akatoa taarifa na sio kukaa kimya kwani kukaa na tatizo kisha kulalamika sio kutatua tatizo. Tuna timu ya mafundi 100 ambao wanazunguka mitaani kutoa misaada bure kabisa ya kiufundi.

tafadhari kama kuna yeyote mwenyetatizo anaweza kututumia namba yake ya simu katika inbox yetu

tunashukuru sana
 
Back
Top Bottom