Star TV yarudi Star Times baada ya Maridhiano

Star TV yarudi Star Times baada ya Maridhiano

majanga....decoda ninunue mie, salio niweke mie, channel ukate weweee....majanga....ona majanga


Pota, majanga gani hayo unayolalamika, tafadhari jaribu kuelewa tulichokuelezea, kuwa startv itapatikana pale tu ambapo ilikuwa inapatikana kupitia signal za analogue, sio sisi startv wenyewe ndo wamependa iwe hivyo. sisi kama startimes tunapenda wateja wetu wote wafurahie chanel hiyo
 
habari chaza tutajaribu kukupigia simu kupitia namba iliyoandikwa kwenye acc yako 02035418564, kukupatia msaada, stay tuned

Clouds tv ilikua inapatikana mikoa yote...mkaiondoa!nataka kujua hapa morogoro ntaanza kuiona lin kwenye king'amuzi chenu?
 
Pota, majanga gani hayo unayolalamika, tafadhari jaribu kuelewa tulichokuelezea, kuwa startv itapatikana pale tu ambapo ilikuwa inapatikana kupitia signal za analogue, sio sisi startv wenyewe ndo wamependa iwe hivyo. sisi kama startimes tunapenda wateja wetu wote wafurahie chanel hiyo

Hapa Moro inapatikana kwa analojia...lkn kwenye king'amuzi haipo
 
majanga....decoda ninunue mie, salio niweke mie, channel ukate weweee....majanga....ona majanga


Pota, majanga gani hayo unayolalamika, tafadhari jaribu kuelewa tulichokuelezea, kuwa startv itapatikana pale tu ambapo ilikuwa inapatikana kupitia signal za analogue, sio sisi startv wenyewe ndo wamependa iwe hivyo. sisi kama startimes tunapenda wateja wetu wote wafurahie chanel hiyo
 
Izz decoder aina zote zipo, mikoa yote ukitoa Dar es Salaam tunauza T2 decoder tu, hata hapa dar es salaam pia ukitembelea maduka yetu zipo, bei ni ile ile, wala usitie shaka hazina tofauti na DVB t1

Tofauti ipo!kuweni wakweli...ukinunua DVB T1 ukaja nayo Morogoro haifanyi kazi,utaambiwa ununue DVB T2...Kwa hio waambieni watu wasinunue visimbuzi vyenu vya DVB T1 Kwan wakihamia mikoa mingine havitafanya kazi
 
Habari yenu wana jamii forum

tunapenda kuwajulisha wateja wetu kuwa kwa sasa Chanel ya Startv imerudi hewani na inapatikana bure kabisa kama ilivyokuwa awali, wateja wetu wataendelea kuiangalia chanel hii pamoja na zingine tano, (ITV, EATV, CLAUDS TV kwa dar, CHANEL TEN) Bure hata muda wao wa hewani utakapokuwa umemalizika

tunapenda kuwashukuru kwa uvumilivu wateja wetu wote na tunawaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.

Tunapenda kuwakumbusha wateja wetu kuwa kuna changamoto nyingi sana, lakini tunajitahidi sana kuweza kutatua matatizo madogo madogo kwa wateja wetu. Tunashauri kama mteja wetu atakuwa na tatizo lolote ni vema akatoa taarifa na sio kukaa kimya kwani kukaa na tatizo kisha kulalamika sio kutatua tatizo. Tuna timu ya mafundi 100 ambao wanazunguka mitaani kutoa misaada bure kabisa ya kiufundi.

tafadhari kama kuna yeyote mwenyetatizo anaweza kututumia namba yake ya simu katika inbox yetu

tunashukuru sana

Hebu tupe mawasiliano ya mafundi wenu 100 wanaopita mitaani, maana nawasikia tu kuwa wanapita mitaani lakini sijawahi kuwaona. Ving'amuzi vyenu vina matatizo sana wakati wa kuwasha, lakini mkipigiwa simu mnasema tuje Bamaga wakati watu tuna mambo mengi katika kusaka riziki.
Bi mkubwa wangu anatumia king'amuzi chenu na anawapenda, ila mnamboa kwa tabu zenu wakati wa kuwasha.
 
Izz decoder aina zote zipo, mikoa yote ukitoa Dar es Salaam tunauza T2 decoder tu, hata hapa dar es salaam pia ukitembelea maduka yetu zipo, bei ni ile ile, wala usitie shaka hazina tofauti na DVB t1
StarTimes Tanzania, ahsante mkuu!

Ila kua mkweli mkuu kama tofauti ipo, kwani ubora wa matangazo unayopokea kupitia DVB T2 ni wa kiwango cha juu sana kuliko T1

Hata FTA channels unapata nyingi uki-scann kisimbuzi chako cha T2

Ngoja nijipange ili ninunue DVB T2 kwani ndio 'sippy soda" kwa sasa.
 
Last edited by a moderator:
Hongera star tv naamini mmefikia muafaka wenye maslahi pande zote mbili na pia asanteni kwa ushujaa mliouonyesha kwa kudai maslahi yenu. Pia nashukuru kwani nimejifunza jambo kumbe Tanzania yetu hadi ugome ndipo haki yako uipate. Taratiiiiiiibu tutafika KANANI
 
mcnbc ukiwa moro unaipata freshiii ukija dar haipo

kuna chanel kwenye sehemu kama Moro unazipata ukija dar hupati sijuwi kwa nini ?

Mcnbc ipo moro,Dar haipo
sasa nahisi kina uhuni unafanyika
 
habari yako Boss, chanel ya MSNBC hatunayo kwa sasa katika king'amuzi chetu, na hii ilitokana na matatizo ya kiufundi toka kwa owner wa chenel, hii ni miongoni mwa chanel ambazo zinapendwa sana na wapenzi wetu, kwa kuwa tatizo lilitokea upande wa provider wa chanel, imetupa tabu sana kutatua tatizo mapema, lakini wataalamu wetu wanafanya kazi kwa ukaribu na watu wa MSNBC kutatua tatizo

pia sio kwamba tuliitoa kimya kimya la hasha ilikata ghafla na sisi tulituma flash SMS katika ving'amuzi kuwataarifu wateja wetu.


asante kwa maelezo

sasa Kaizer unaipata livipi?
 
Last edited by a moderator:
Vipi mbona kwenye easy tv hampatikani? au nao bado hakijaeleweka mambo ya maslahi?
Tunapenda kuwashauri wapenzi wa Star TV wenye ving'amuzi vya Star Times wa-"scan" upya ving'amuzi vyao ili waweze kupata matangazo yetu. Asanteni.
 
Katika mchakato wa kunadi mfumo wa digitali, wasemaji wa TCRA walisikika mara kadhaa wakiwahakikishi wananchi kuwa televisheni zenye leseni ya kitaifa zitaonekana bure katika ving'amuzi vyote!, walikwenda mbali zaidi na kutuhakikishia kuwa hakuna haja ya kununu ving'amuzi zaidi ya kimoja ili kuangalia matangazo ya televisheni za kitaifa.

Nimeshangazwa na kujitoa kwa STAR TV katika mfumo wa startimes kwa zaidi ya juma moja sasa na TCRA wako kimya kama vile hawakuwahi kutuhakikishi kuwa wao ndio wadhibiti wa mawasiliano.

Wananchi tunataka kusikia kauli yenu TCRA
 
Mbona hilo swala lilishatolewa ufafanuz humu na wahusika wote, startv, TCRA, na startimes? na inasemekana startv imesharudi kundini.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom