St Joseph ni jipu

St Joseph ni jipu

Wengi humu kama complex & hammer nahisi hamuelewi jinsi hali ilivyo. Ada mil 2.7 alafu huduma mbovu kila idara. Haki zetu nyingi kama mikopo serikalini tunacheleweshewa kwa sababu tusizozijua. Na haya malalamiko hayajanza leo ni miaka mingi tu. Sasa leo hii tunadai haki wanafunzi zaidi ya 3000, nyie mnasema tumekurupuka. Waziri naye haeleweki. Hamna m2 mpumbavu duniani mwenye akili timamu akakubaliana na huu upuuzi. Waziri wa nchi na cio huyu mama tu hadi kawambwa alichukua upande wa wahindi bila hata kutusikiliza. Tanzania we have a long way to go, you can't call this freedom!!!!.

KAMA UNAFKIRI NI MOB PSYCHOLOGY AU TUMEKURUPUKA UNA UGONJWA WA FIKRA.
 
Wengi humu kama complex & hammer nahisi hamuelewi jinsi hali ilivyo. Ada mil 2.7 alafu huduma mbovu kila idara. Haki zetu nyingi kama mikopo serikalini tunacheleweshewa kwa sababu tusizozijua. Na haya malalamiko hayajanza leo ni miaka mingi tu. Sasa leo hii tunadai haki wanafunzi zaidi ya 3000, nyie mnasema tumekurupuka. Waziri naye haeleweki. Hamna m2 mpumbavu duniani mwenye akili timamu akakubaliana na huu upuuzi. Waziri wa nchi na cio huyu mama tu hadi kawambwa alichukua upande wa wahindi bila hata kutusikiliza. Tanzania we have a long way to go, you can't call this freedom!!!!.

KAMA UNAFKIRI NI MOB PSYCHOLOGY AU TUMEKURUPUKA UNA UGONJWA WA FIKRA.
Si kwamba nasema hamna hoja mnayosema,waziri kawaambia atashughulikia na mengine mumpelekee na katoa agizo kwa UONGOZI wa chuo kushughulikia hayo matatizo na mengine ka-address TCU kuangalia ubora wa wahadhiri hapo St.Joseph,sasa mnalilia nini tena...muda uliowekwa umeisha.Je,vyuo vingine unafikiri navyo havina matatizo? Kaeni msome hayo ma-course yenu myamalize.
 
Si kwamba nasema hamna hoja mnayosema,waziri kawaambia atashughulikia na mengine mumpelekee na katoa agizo kwa UONGOZI wa chuo kushughulikia hayo matatizo na mengine ka-address TCU kuangalia ubora wa wahadhiri hapo St.Joseph,sasa mnalilia nini tena...muda uliowekwa umeisha.Je,vyuo vingine unafikiri navyo havina matatizo? Kaeni msome hayo ma-course yenu myamalize.
Mkuu angalia iyo vidio hapo juu.
 
TCU wametoka tamko juzi juzi tu kwamba St. Joseph Luguruni inakidhi viwango vya ubora wa elimu. Hivyo basi rudini darasani mkasome
Mkuu kama kitu hukijui ni vizuri ukakiacha tu!
Hichi chuo kina matatizo kuliko unavyoweza kudhania,kwa mfano kama chuo tu hakina lecturers na lab zenye sifa unategemea hao wanafunzi wanaomaliza hapo watakua na ubora gani?
Tatizo sio BOOM wala MITIHANI, tatizo ni kwamba chuo hiki kinatoa elimu isiyositahiki hata kidogo na TCU wanalijua vizuri sana!
 
Honestly speaking kazini nipo na vijana wawili waliosoma St. Joseph-B.E Civil. Wapo vizuri sana professionally, sasa sina uhakika kama St. Joseph ndio iliwa-shape to that extent au walipita sehemu nyingine pia. Kesho itabidi niwaulize.
 
Honestly speaking kazini nipo na vijana wawili waliosoma St. Joseph-B.E Civil. Wapo vizuri sana professionally, sasa sina uhakika kama St. Joseph ndio iliwa-shape to that extent au walipita sehemu nyingine pia. Kesho itabidi niwaulize.
Mkuu hapo kazini ni mwaka wa ngapi saivi isije kuwa ni wale waliomaliza 2013 kurudi nyuma
 
Mkuu inabidi uangalie pande zote. Hapa TZ kwa sasa Chuo kinachoongoza kwa kutoa wahitimu- Wahandisi
wengi 'wanaoajirika' kirahisi ni St. Joseph.. Umewahi kujiuliza ni kwa nini?
Wanaajirika kwa bei rahisi na niwaoga wa kupambana na soko la ajira
 
Honestly speaking kazini nipo na vijana wawili waliosoma St. Joseph-B.E Civil. Wapo vizuri sana professionally, sasa sina uhakika kama St. Joseph ndio iliwa-shape to that extent au walipita sehemu nyingine pia. Kesho itabidi niwaulize.
Angalia hio vidio ktk post no 66.
 
Back
Top Bottom