Juu hapo umesema chuo hakina workshop yoyote ile. Then baadae unakuja kusema vifaa vibovu. Hivyo vifaa vibovu vinakaa wapi.?
Kuna baadhi ya course prac zake zinaingiliana mfano hydroulic fluid wanasoma Mech,Civil so kuna muingiliano ni kiwa na maana kuwa Mech wanatumia lab ya civil ingawa na penyewe vifaa ni vibovu.But Mech hawana karakana yeyote.Ndio maana mwaka wa tatu kuna baadhi ya prac hawafanyi ingawa zimeorodheshwa kwenye prospectors inatakiwa zisomwe lini.Mfano wa hizo prac ni AIR CONDITION na REFRIGERATOR.
Hayo ya ada elekezi ni ya serikali na kwa vyuo vya serikali walichofansya wao ni kumention ukomo wao wa kumlipia ada mtu kupitia HESLB.
Soma tena nilichokiandika hapa hukuelewa hoja yangu.
Mnalalamikia ada ya Milion 2.8 kwa degree ya engineering, Wakati kuna chekechea zinatoza milion 3 kufundisha watoto kusoma kuandika na kuimba nyimbo. Isitoshe hicho chuo ni cha private. Usilinganishe na UDSM CoET ambapo wanabackup ya serikali katika mambo mbalimbali.
Unaharalisha wizi unaofanyika huko chokechea uwe sawa na huku juu?.Chuo cha private kwa nini ada zao kwenye guide book iwe tofauti na unayoaambiwa chuoni?.Kipindi unakuja kusoma chuo muongozo wako katika ulipaji ada ni nani tofauti na guide book inayotolewa na TCU?.Mbona sauti hawana back up ya serikali lakini ada yao ni ya kawaida?.
Hapo kwenye Green kama ni kweli, Liangaliwe. Hakuna anayetetea uovu.